Pre GE2025 Watanzania wabubujishwa na machozi ya furaha na matumaini kwa ushindi wa Lissu. matumaini kwa upinzani kurejea?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwenye mitandao na hata Benk kunyonyolewa kimya kimya kumezidi mh Lisu hapana shaka ni tumaini LA wengi
 
Nimekulipia fuso la Savannah
 
Nyenyere
 
Na Lucas Mwashambwa Dodoma Tanzania
 
Hatuwezi kuwa na Taifa la walamba asali. Ni aibu sana kwa Tanzania kufikia hatua tuliyonayo sasa. Tumaini pekee ni upinzani imara chini ya TAL
 
Aende upinzani😇, Tanganyika Packers Kawe, itakuwa ni open space au itajengwa Chuo cha VETA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…