Watanzania waishio Marekani kwanini wasirudishwe nyumbani wakiwa na pingu mikononi kama wenzao wa Brazil na Mexico

Kweli nimeamini kuwa mchawi sio lazima uruke na ungo usiku
 
Wapo huko clabu hausi wanahamasisha migomo na maandamano usiku kucha sijui hata kazi wanafanya saa ngapi?
watu wanatekwa ww unaona sw , watu wanauliwa ww unaona sawa , ndio maana nasema kuanzia Gada hadi wengine vifo vyao chanzo ni sisi wenyew , watu weusi hatupendan hlf tunapenda kuhamisha magoli
 
Kwahio kama hawana faida wakija nyumbani sindio watakuwa mizigo kabisa?
 
Wivu ni ugonjwa mbaya sana.
Hao Mexico wakubali kupokea raia wao sasa wanawakataaje wakati ni raia wao
 
Roho koroshooo......
Mrudi Tz , hata huku kuna kazi za usafi, kusafisha mitaro ya maji taka na kutunza wazee na kuwaogesha. Huko Marekani wabaki wenye issue za Maana
 
Watanzania wenyewe huko ng'ambo kila wakipata pesa zinaishia disco, casino na kwenye mapaja ya mademu
 
Huo ni wivu na uchawi
Wamekosa Nini?.
Unafikiri Trump anarudishwa Kila mtu?

Au unafikiri Kila mtu ni illegal migrants?
 
Mrudi Tz , hata huku kuna kazi za usafi, kusafisha mitaro ya maji taka na kutunza wazee na kuwaogesha. Huko Marekani wabaki wenye issue za Maana
Mtawalipa sh ngapi?
 
Mkuu,

Unapenda kuona Watanzania wanarudishwa mpaka wakiwa hawarudishwi unauliza kwa nini hawarudishwi?

Watu wengi wana visa halali, wengine wamechukua green cards na mpaka uraia wanaishi kisheria ndiyo maana unaona hawarudishwi.

Mfano mimi nimechukua uraia miaka mingi, nafanya kazi, nalipa kodi, sina tatizo lolote na sheria za nchi, ninachangia uzalishaji vizuri, nina biadhara zangu zinajulikana, sasa Trump atanirudisha wapi na mimi nishatia nanga hapa na kesi ya kunivua uraia hana?

Na kuna wengine wengi kama mimi, na hata hao ambao hawana visa halali au uraia, kama haeana kesi au hawapi katika raid, kufikiwa na Trump si rahisi.
 
Wawe na faida Kwa Taifa? Nyie mliopo mna faida Gani Kwa Taifa?
Yaani kwenye Taifa lipi Kwa mfano unakopeleka Hela zimaisha bila maelezo?..
Kw ndugu na familia hayatuhusu Kila family ina utaratibu wake
 
Huyu roho mbaya na wivu vinamsumbia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…