Watanzania wakamatwa na vilipuzi wakiviingiza Kenya kimagendo

Watanzania wakamatwa na vilipuzi wakiviingiza Kenya kimagendo

Tafuta mtu akutafsirie Kingereza maana imeelezwa vizuri tu kwenye taarifa.

The suspects are a driver of the truck and his turnboy, both identified as Tanzanian, and a person who presented himself at the station with a mining permit and claiming to be the owner of the detonators.

“Upon being interviewed, the driver claimed the detonators were handed over to him at Taveta town to be delivered to the owner at Mwatate,” KRA said in the statement.

Mimi kingereza changu kibovu mkuu, sina lugha ya kitumwa ni mwafrika halisi na huru. Hebu niambie utaifa wa huyo jamaa aliejipeleka hapo station ku-claim kuwa huo mzigo wa vilipuzi ni wa kwake?
 
Hamna kesi hapa zaidi ya upuuzi na chuki, mwenye detonators ni mkenya na ana mining permit ya kutumia hizo detonators, mwandishi na Polisi wa Kenya wote wanaonekana ni wapuuzi tu.
 
The suspects are a driver of the truck and his turnboy, both identified as Tanzanian, and a person who presented himself at the station with a mining permit and claiming to be the owner of the detonators.

“Upon being interviewed, the driver claimed the detonators were handed over to him at Taveta town to be delivered to the owner at Mwatate,” KRA said in the statement.

Mimi kingereza changu kibovu mkuu, sina lugha ya kitumwa ni mwafrika halisi na huru. Hebu niambie utaifa wa huyo jamaa aliejipeleka hapo station ku-claim kuwa huo mzigo wa vilipuzi ni wa kwake?

Sasa kama unajua hukusoma kingereza, ulikua kilaza darasani acha kung'ang'ania dhidi ya waliojituma.
Tafuta mtu akutafsirie nini maana ya "presented himself at the station"
 
Sasa kama unajua hukusoma kingereza, ulikua kilaza darasani acha kung'ang'ania dhidi ya waliojituma.
Tafuta mtu akutafsirie nini maana ya "presented himself at the station"

You`re such a koon man.. nauliza what is the nationality of that person who presented himself in that station? Mpeni mzigo wake na aende.
 
Habari yako wewe mwenyewe hujaisoma umekuja na lawama.
Gari limetoka Tanzania na mzigo likiendeshwa na dereva akiwa na suka wake wote Watanzania. Wakafika Taveta (Kenya) wakapakia mzigo wa huyo Mkenya anayedai ana vibari vya uchimbaji.

Kwa hiyo vyombo vyenu vya habari vinaupa uzito uraia wa wasafirishaji badala ya uraia wa mmiliki.
Kenyans are worshipping us, bila kututaja kwenye media zao news haina mvuto
 
Hawa c wanamaumivu na vikwazo vya ndege zao ndiomaana wana chuki Sana na Watanzania
Hahahaha juzi tena nimesoma mahali waziri wao katangaza tena kwa mara ya pili kwamba KQ itaanza kutua Tanzania, ni week sasa holaa 😅😅😅😅

Yaani wananyanyasika mpaka wanatia huruma
 
Hahahaha juzi tena nimesoma mahali waziri wao katangaza tena kwa mara ya pili kwamba KQ itaanza kutua Tanzania, ni week sasa holaa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Yaani wananyanyasika mpaka wanatia huruma
Ahahahaha wanzao wako bize mikoani wao wanawaza ndege kutua TANZANIA wakati hiko sio kabisa kipaombele cha ilani ya ccm [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
You`re such a koon man. Nauliza what is the nationality of that person who presented himself in that station? Mpeni mzigo wake na aende.

Nilikuambia hakua abiria kwenye hilo gari, ukang'ang'ania, lugha huwa inawatesa sana, tatizo lenu uzembe, haya usiku mwema.
 
Mungeanza kuwa makini na mmiliki wa hiyo mali kwanza.

Asikupe tabu wote lazima wachunguzwe, kuingiza vilipuzi kutokea kwenu huko ni hatari sana.
 
Kenya bwana wanashindwa kuelewa kwamba hao Watanzania waliokamatwa ni madereva wenye mali ni Wakenya.
 
Wakenya wa nakuja kuwaje mazee [emoji1787][emoji23].
Mwandishi wa habari, huyu fara nae ame copy na kupaste utopolo.
 
Manyang'au hayanaga akili, yamejaa wivu
 
Acha ufala wewe sasa mzigo wa mke ya mwenzenu na ana vibari Sasa hao wa tanzania wamewakosea nini
Mnapenda attention nyie mburula.

Kwanini mseme mkenya ambaye kasema ni vyake mnawataja wa TZ
Akili zenu mgando nyie
Huyo Mk254 nadhani kiwango chake Cha elimu ni Cha chini Sana.
 
Nilikuambia hakua abiria kwenye hilo gari, ukang'ang'ania, lugha huwa inawatesa sana, tatizo lenu uzembe, haya usiku mwema.

Nimekwambia huyo aliejipeleka kituoni na kusema mzigo ni wa kwake ni mkikuyu sio? Maana kikuyu ndio wanajua domo domo tu..kichwani hamna kitu.
 
Back
Top Bottom