Watanzania wakamatwa na vilipuzi wakiviingiza Kenya kimagendo

Watanzania wakamatwa na vilipuzi wakiviingiza Kenya kimagendo

Ana jaribu kukueleza ujinga wa Mwandishi kwa passive language tu kuwa, driver na turnboy sio issue . Mwenye mzigo amejitambulisha na vibali kwanini taarifa ianze kuwa adress dereva na turnboy.

Kwanini isisomeke kuwa Raia wa Kenya akamatwa na na vilipuzi kwenye lori lililokuwa na dereva mTz? Amefanya as if dereva na tingo wake ndio hoja.

Ni ujinga wa kiuandishi si kosa lake.
Mfano.

1.Polisi ampiga risasi raia wa kigeni
2. Raia wa kigeni apigwa risasi na polisi.

Je huoni hizi sentensi mbili kama zinafanana japo zina malengo tofauti?

Mwandishi ni Mjinga . Wakenya wenye uelewa wanajua wengi wao ni waelewa sana

Taarifa zimeanza kwa aliyekamatwa, sasa show zingine zaidi ya hapo zitaendelea kutolewa maelezo, ila waliokamatwa pamoja na vilipuzi kwa sasa ndio mwanzo wa taarifa.
Ukikamatwa umesheheni bangi, taarifa zinaanzia kwako, sasa akijitokeza mtu aseme bangi uliyokamatwa nayo ni ya kwake, anakua secondary target wa taarifa, maana huyo wa kuibuka na kusema ni vyake anaweza akawa ni show fulani hivi imetengenezwa kuziba ukweli, na watakamatwa wengi.
Mngekua na akili mngetuma wapelelezi wenu ili kubaini wapi huko Tanzania ndio ghala na duka la hivi vilipuzi, lakini kwa namna mnavyokuaga na kasoro, mumeishia kutetea na kupindisha pindisha.
 
Ndio maana imesemwa kwenye taarifa kwamba upelelezi na uchunguzi unaendelea kubaini chuya na mchele, itabidi hao Watanzania waeleze.
Huyo mwenye mali yeye haimbidi kueleza?
 
Huyo mwenye mali yeye haimbidi kueleza?

Kila mmoja ataeleza, huyo anayedai kuwa ndiye "mwenye" mali, na wote waliokamatwa na vilipuzi, inaanzia kwa waliokamatwa, kisha wengine wote watakaokuja na sound zao watahojiwa pia.
 
Kila mmoja ataeleza, huyo anayedai kuwa ndiye "mwenye" mali, na wote waliokamatwa na vilipuzi, inaanzia kwa waliokamatwa, kisha wengine wote watakaokuja na sound zao watahojiwa pia.
raia wa wapi huyo mwenye mali?
 
QUOTE="msakaa jr, post: 36696416, member: 434248"]
Hawa jamaa wanamatatizo sana
[/QUOTE]
JF ikingia hoja ya mkenya na mtanzania kujibizana huwa very interested. Sasa 254 njooni mtusaidie kampeni Kuna kitu huku TZ tunataka iwe Kama KANU.
 
Hivyo vilipuzi walipakia taveta kenya baada ya kuvuka boda, ni hapo tamaa ya dereva na utingo wake walipakia mzigo bila kujua ndani kuna nini ili wapate hela ya kula tu njiani
Box 100 hujui ndani kuna nini? Tumia akili kidogo
 
raia wa wapi huyo mwenye mali?

Tutazunguka huu mbuyu mpaka ukome, haijabanika "mwenye mali" nani, tuliyemkamata ndiye aseme kwanza alikotoa na alikusudia kumpokeza nani.
 
“Upon being interviewed, the driver claimed the detonators were handed over to him at Taveta town to be delivered to the owner at Mwatate,” KRA said in the statement
Mi naomba kujulishwa Taveta iko mkoa gani Tanzania?

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Kunya ni wakuwapuuza,acha wajitekenye wacheke wenyewe,wanye wakalale.over
 
Tutazunguka huu mbuyu mpaka ukome, haijabanika "mwenye mali" nani, tuliyemkamata ndiye aseme kwanza alikotoa na alikusudia kumpokeza nani.
Mbuyu utauzunguka pekeo.

"... and a person who presented himself at the station with a mining permit and claiming to be the owner of the detonators. "

Mnajisifia kujua kiingereza lakini kumbe bogus kiasi ulichoandika hukielewi? Au Tangu ulivoleta uzi hadi sasa uraia wa huyo jamaa haujabainika bado? Immigration officer wanafanya kazi gani kwenu? au ndio wanaouza Covid 19 test kit kwa watanzania? 😀
 
Back
Top Bottom