Kim Il Kwon
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 1,219
- 1,035
Yaani mtoa mada kabwabwaja hisia zake tuu, hakuna facts zozote.Nani anababaika na Wakenya wanaokula mlo mmoja kwa siku? Dhiki kibao labda wewe unayeshinda kwao ndio unababika nao. Rudi kajipange na upuuzi wako
Umeeleza vizuri sana, Na huo ndio UkweliSasa kama wao wenyewe kwa wenyewe wanadharauliana itakuaje wasitudharau sisi? Kama wenyewew kwa wenyewe hawapendani itakuaje watupende sisi? Hao watu wako na roho mbaya in nature, n by the way sio kila wafanyacho wakenya na sisi tufanya na sio kila wasichofanya na sisi tusifanye. Hatupo kwenye mashindano, tunawafatilia n it doesnt cost us anything, wao mioyo yao imejawa na chuki so wanaona kutufatilia kama itakua kutuabudu or something like that bt for us its not a big deal, yani watanzania tuko na upendo wa hivo tu by nature, we love every one n we want to know them.
Hatujawaomba watufatilie, wala haitatuongezea chochote kutufatilia na wasipotufatilia hatupungukiwi pia. Hao watu wameumbwa kwa kuishi kimatabaka, yani kujiona yeye bora kuliko mwingine thats why hata jamii zao hazipiki chungu kimoja seuze taifa jingine??
I dont think if this is some thing of a big deal to brag about, am just feeling so sorry for them kwa kua na roho mbaya.
Na sisi wabongo kufatiliana ni kitu cha kawaida yan ni kama a part of our culture so tunafatiliana wenyewe kwa wenyewe hadi nchi jirani and so do Kenyans wanachukiana na kudharauliana wenyewe kwa wenyewe na hata nchi jirani.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Lowasa alijipeleka huko nina uhakika hakualikwa rasmi na Uhuru Kenya, ndo huo huo muendelezo wa kujipendekeza!
Mtoa mada acha kuporomoka tu. Wakenya wanafatilia Media, entertainment more specifically music industry, sports na politics za bongo kuliko uwezo wako wa ufahamu ulipoishia. Ulipaswa uulize wajuvi wakuelimushe katika hili kuliko kukurupuka na hisia zako tu. I admit, Kenya a bit ahead of Tz in some aspects but not obsessive to Tanzanians as you uttered.
Chizi huyo, endelea kucheka tu, hakuna namna[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Wewe ndo unawababaikia kwavile wanakupa mkate wa kila siku...
Mkuu nilishawai kukutana na Taxi driver wa Nairobi anajua tracks zote za Prof Jay...na bongo movie anazijua zaidi yangu mimiMimi simbabaikii mtu ila nimeleta ukweli kama unapinga sema kama Watanzania hatuangalii TV na kusoma Magazeti ya Kenya lkn hkn Mkenya anayefwatilia habari zetu!
Ni kawaida TZ yetu hata ukienda bar ukakuta wanaangalia program za Kenya lkn sijawahi kuona Kenya wakiangalia TV zetu, IPP walijaribu na EATV lkn hkn anayeangalia!
Hapo kwa profesa jay ni kawaida wakenya wanapenda sana mziki wa Bongo lakini Bongo movie? Hapana! Hizo movie zenu ngumu sana kutizama. Poor acting na storyline zisizoeleweka!Mkuu nilishawai kukutana na Taxi driver wa Nairobi anajua tracks zote za Prof Jay...na bongo movie anazijua zaidi yangu mimi
Khaaa rabishNimefika Kenya mara nyingi lkn ukiondoa Raisi wa TZ hkn Kiongozi wa TZ ambaye Mkenya wa kawaida anamfahamu achilia mbali hata kumsikia!
Lkn hapa Bongo tuko obsessed na Kenya, tunajua na kufwatilia kila kitu, mpaka tunachukuwa upande wa vyama vyao vya Kisiasa, Kenya wanaijua CCM tu lkn TZ tunajua na kufwatilitilia kila Chama cha Siasa cha Kenya na Viongozi wake, hata hapa JF tumeweka jukwaa maalumu kwa ajili ya Kenya na wachangiaji wakubwa ni Watanzania, Kenya hili lisingewezekana, kwanza Mkenya wa kawaida anamdharau Mtanzania!
Ujumbe wangu ni upi? Tunawababaikia Wakenya tukubali au tukatae, hkn Mkenya anayejua TV ya TZ lkn Watanzania wote wanajua TV za Kenya!
Kuna Watanzania hata wanasoma Magazeti ya Kenya lkn hkn Gazeti la TZ linaloweza kuuzwa Kenya na kununuliwa.
Mfano hai Tundu Lisu kakimbizwa Kenya hakuna Mkenya ambaye angeweza kukimbizwa TZ, chadema wako obsessed na Raisi Uhuru Kenya na Chama chake lkn nina uhakika Wanachama wa Chama cha Uhuru Kenya hawajawahi hata kuisikia chadema, achilia mbali hata tu kujua kama kuna mtu anaitwa Mbowe!
Tundu Lisu kalazwa Kenya lkn hkn hata high ranking official mmoja wa Chama cha Uhuru Kenya aliyefika kumuona, kwa kifupi Wakenya don’t give a shit about you, acheni kujipendekeza, ...
Its correctSasa kama wao wenyewe kwa wenyewe wanadharauliana itakuaje wasitudharau sisi? Kama wenyewew kwa wenyewe hawapendani itakuaje watupende sisi? Hao watu wako na roho mbaya in nature, n by the way sio kila wafanyacho wakenya na sisi tufanya na sio kila wasichofanya na sisi tusifanye. Hatupo kwenye mashindano, tunawafatilia n it doesnt cost us anything, wao mioyo yao imejawa na chuki so wanaona kutufatilia kama itakua kutuabudu or something like that bt for us its not a big deal, yani watanzania tuko na upendo wa hivo tu by nature, we love every one n we want to know them.
Hatujawaomba watufatilie, wala haitatuongezea chochote kutufatilia na wasipotufatilia hatupungukiwi pia. Hao watu wameumbwa kwa kuishi kimatabaka, yani kujiona yeye bora kuliko mwingine thats why hata jamii zao hazipiki chungu kimoja seuze taifa jingine??
I dont think if this is some thing of a big deal to brag about, am just feeling so sorry for them kwa kua na roho mbaya.
Na sisi wabongo kufatiliana ni kitu cha kawaida yan ni kama a part of our culture so tunafatiliana wenyewe kwa wenyewe hadi nchi jirani and so do Kenyans wanachukiana na kudharauliana wenyewe kwa wenyewe na hata nchi jirani.
anasema ukweli.Khaaa rabish
Yaani ni uchafu mtupu unaongea hembu ONA aibu
Kupresent mawazo yako ndio yawe ya watanzania na wakenya mimi nimeowa na nafanya biashara Kenya huna LA kuwadanganya watu ndugu
Hapo umenena nduguSio kweli hata kidogo, wakenya ni wabaguzi sana tena sana, haiwezikani useme mnaheshimiana wakati mnatambuana kwa ukabila, serikali inaendeshwa kwa misingi hiyo hiyo, hadi vyuo vikuu vinaendeshwa kwa misingi ya ukabila, makundi ya mitandao nayo ipo katika misingi ya ukabila, kama unabisha, hebu lete orodha ya watumishi wa serikali kwa kila wizara, kuanzia CS makatibu wakuu, waiurugenzi hadi chini, utakuta zaidi ya 60% ni kabila moja, anza na wizara ya fedha, nenda Bank Kuu ya Kenya, nenda wizara ya uchukuzi.....huko ndiko kupendana na kuheshimiana?. Hivi ukisikia watu wa magharibi na wale toka mikoa ya pwani wakilalamika unadhani ni vichaa?, wanataka kujitenga kwa kuhisi wanaonekana second class citizens, unaona malalamiko yao sio sawa kwasababu wewe ni miongoni mwa wale wanaodharau na kuwatenga wengine?
wakikuyu wanawaheshimu wakikuyu wenzao. na wajaluo kwa wajaluo wenzao, wapokot, wapotit wenzao. lkn si kwa wakikuyu kwa wajaluo, wakikuyu kwa wapokot etc. etcwaKenya wanaheshimiana sana tena sana sijawai pata kuona na pia ni wakarimu. japo tofauti hutokea kila baada ya miaka mitano watu wakianza kujitenga kwa mirengo ya kisiasa.
hio ni wakati ambapo siasa za nchi zimepamba moto. lakini ndani ya miaka minne watu wanaishi pamoja, wanaoana, na kufanya biashara kwa kushirikiana.wakikuyu wanawaheshimu wakikuyu wenzao. na wajaluo kwa wajaluo wenzao, wapokot, wapotit wenzao. lkn si kwa wakikuyu kwa wajaluo, wakikuyu kwa wapokot etc. etc