Watanzania wako obsessed na Kenya kuliko kinyume chake!

Watanzania wako obsessed na Kenya kuliko kinyume chake!

Sio kweli hata kidogo, wakenya ni wabaguzi sana tena sana, haiwezikani useme mnaheshimiana wakati mnatambuana kwa ukabila, serikali inaendeshwa kwa misingi hiyo hiyo, hadi vyuo vikuu vinaendeshwa kwa misingi ya ukabila, makundi ya mitandao nayo ipo katika misingi ya ukabila, kama unabisha, hebu lete orodha ya watumishi wa serikali kwa kila wizara, kuanzia CS makatibu wakuu, waiurugenzi hadi chini, utakuta zaidi ya 60% ni kabila moja, anza na wizara ya fedha, nenda Bank Kuu ya Kenya, nenda wizara ya uchukuzi.....huko ndiko kupendana na kuheshimiana?. Hivi ukisikia watu wa magharibi na wale toka mikoa ya pwani wakilalamika unadhani ni vichaa?, wanataka kujitenga kwa kuhisi wanaonekana second class citizens, unaona malalamiko yao sio sawa kwasababu wewe ni miongoni mwa wale wanaodharau na kuwatenga wengine?
.....Kweli nyani haoni kundule, mbona juzi mmekatana mapanga na kuuwana kisa udiwani tuu?
 
Hakuna Mkenya ndani ya Kenya anayeongelea chadema au Lowasa achilia mbali hata tu kusikia kama kuna mtu anaitwa Lowasa, lkn nyie hapa mko obsessed na Uhuru Kenya na Chama chake mpaka hata mmegeuza kuwa ajenda ya chadema!

Nimekwenda Kenya mara nyingi na sikuwahi kusikia mtu akiitaja chadema au Lowasa sana sana watamuongelea Raisi Magufuli, Kikwete au hata Mkapa wakati mwingine lkn siyo chadema au Lowasa kama nyie mnavyopoteza muda wenu hapa kuwajadili!
....Kenya ipi unayozungumzi? Isijekuwa unaishia hapo Taveta halafu unahitimisha nimeenda Kenya mara nyingi.
 
hio ni wakati ambapo siasa za nchi zimepamba moto. lakini ndani ya miaka minne watu wanaishi pamoja, wanaoana, na kufanya biashara kwa kushirikiana.
waLuo na waKikuyu wameona hata kutoka kwa watoto wa Uhuru na Raila. James Orengo pamoja na Babu Owino wameoa waKikuyu
Mbona huzungumzii katika ajira za serikali?, sasa ulitaka baada ya uchaguzi wafanye nini kama tayari nafasi zote za ajira na sehemu muimu za uchumi wameshapeana wakikuyu, Kalenjin na masai?, ulitaka hawa walioachwa nje ya mfumo huo walete fujo?, Ok this time wamechoka na wanasema wanataka kujitenga na wapo tayari kuleta fujo, hivyo ndivyo unavyotaka itokee ndiyo uamini kwamba Kenya mnabaguana na hampendani?, hata ikitokea hivyo, bado utasema hao wanaoleta fujo ni watu wachache lakini hakuna ubaguzi, hiyo ndiyo inayoitwa, "kutokubalian na ukweli"
 
.....Kweli nyani haoni kundule, mbona juzi mmekatana mapanga na kuuwana kisa udiwani tuu?
Unajua maana ya ubaguzi na ushabiki?, Yanga na Simba wakipigana, au Arsenal na Chelsea wakipigana huo ni ubaguzi?, kama akili yako ni ndogo usichangie mijadala mizito kama hii, ninakushauri rudi kwa Zari, Wema Sepetu na Hamisa Mobeto, hao ni size yako.
 
.....Kweli nyani haoni kundule, mbona juzi mmekatana mapanga na kuuwana kisa udiwani tuu?
Unajua maana ya ubaguzi na ushabiki?, Yanga na Simba wakipigana, au Arsenal na Chelsea wakipigana huo ni ubaguzi?, kama akili yako ni ndogo usichangie mijadala mizito kama hii, ninakushauri rudi kwa Zari, Wema Sepetu na Hamisa Mobeto, hao ni size yako.
 
Wewe umekwenda Kenya, mimi nimefanya kazi Kenya muda mrefu sana, ni kweli kwamba Chadema au Lowasa sio maarufu kwa sababu Lowasa alikuwa CCM miaja yote, na CCM ni maarufu sana Kenya na Afrika nzima, kabla ya Dr.Slaa kuhamia Chadema mwaka 2005, Chadema hakikuwa chama Chenye nguvu hata ndani ya nchi, vipi unataka kifahamike huko Kenya wakati bado hakijawa na nguvu?, Chadeama kilianza kuwa na nguvu baada ya uchaguzi wa 2010, kumbuka Lowasa bado alikuwa ndani ya CCM, Kenya wasingemjua, alipotoka CCM, ndipo alipoanza kujulikana kuanzia 2015, utawezaji kumlinganisha na Raila ambaye ameanza kupambana na serikali ya Kenya kuanzia miaka ya 70?

Pia sababu kubwa inayofanya nchi nyingi zikiwemo zile za Ulaya kufuatilia siasa za Afrika, ni kutokana na fujo na mauaji yanayoambatana na uchaguzi wa nchi husika, juzi Angola wamefanya uchaguzi, nani alishughulika kufuatilia?, au uchaguzi wa Zambia, Namibia, Botswana, na nchi zote ambazo zinaendesha uchaguzi kwa amani na utulivu. Linganisha na Zimbabwe, Uganda, Kenya, DRC, na nchi zingine ambazo uchaguzi unaambatana na fujo na mauaji, hilo ndilo linalofanya watanzania na nchi zingine kufuatilia kwa makini uchaguzi wa Kenya.
STATEHOUSE in PANIC as Raila MAN WINS Tanzania's CCM Presidential nominations
Ndugu umemjibu vizuri sana,nilitaka nimwambie hivi,

Mtoa maada sajajuia vizuri ni wakike au kiume,maana maada yake imechanganya mambo ya kiume na kike mf maneno haya(kifupi Wakenya don’t give a shit about you,) haya ni maneno yakike pale wivu wa mapenzi ukimshika na kamjua mgoni wake ,
Acha nikupe darasa, kumjua jirani yako kuliko ww akujuavyo kunafaida kubwa sana. Sijui age yako ila sisi enzi zetu darasa la nne mpaka la saba kwenye somo la Geographia tulianza kujua ramani ya Tz,na mikoa yake nakila mkoa na sifa zake,mfano kwenye mtihani unaulizwa Almasi inachimbwa wapi? dhahabu wapi? korosho, nk,then tukaja ramani ya east africa< hapa lazima ujue jina la nchi na miji mikuu yake na baadhi ya miji kama jinja,kampala nairobi,kisumu kericho Turkana na sifa za hiyo miji,mfano unaweza ulizwa kwenye mtihani,ziwe Turkana lipo wapi? unatakiwa kujibu,
kutoka hapo tunakuja tonasoma ramani ya africa na nchi na miji mikuu yake,utamaduni nk,mfano unaweza kuulizwa Victoria falls ipo wapi? au Kakao inalimwa wapi? then tunamaliza na ramani ya dunia,
Haya yote tulisoma sio kwamba tulikua tunajipendekeza au kugive shit ila kupanua uweza wa kuchambua mambo nakujua unaishi katika ulimwengu gani,

Sasa wewe unababaishwa na wekenya ambao hata ukiwauliza Serengeti ipo wapi wankwambia hawajui,mt kilimanjaro wanakwambia unaonekana vizuri ukiwa Kenya,ila mkenye huyo huyo muulize mauaji ya albino yanatokea wapi atakutajia nchi,mkoa hadi Kijiji
Wivu,roho mbaya na majigambo ndio yamewajaa,

(kwanza Mkenya wa kawaida anamdharau Mtanzania!) unasema mkenya wakawida,its true maana ni utamaduni wao,wamelelewa hivyo,Hivi uliwa sikia Wtz labda kuna nchi wainadharau? jibu hakuna kwasababu tumefunzwa kumheshim kila mtu thats why mataifa mengi ya Africa uhuru wao wamepatia Tz pia hata maraisi wao wamepata elim zao hapa,Kingine ambcho hujui Kenya inshindana na TZ kiuchumi wakati TZ hata habari hatuna,mkenya akisikia TZ wafanya hivi na yy analipiza hata kama halina faida kwake,mfn Bomba la mafuta, na wao wanatoa lao linaanzia jUba maka mombasa,sasa,issue ya reli,Tz wanapanga kuunganisha reli from Dar to burundi mpaka Kongo, wao nao Wakajenga yakwao,sasa wauliza mnafaidika navyo? au mnaiga tu?

Inshort Kenya anaifatilia Tz kimajungu majungu,while Tz wanaifatilia Kenya in +VE way,

(Watanzania wote wanajua TV za Kenya!)
hapa reseach yako ni ya uwongo kweli kweli ,hauna tofauti naile ya wakenya wanajisifia eti 90% ya popuration yao wanatumia internet ,wakati hapo hapo report zao zinasema 60% ya wakenya hawanaumeme,25% ni watoto 40% nimasikini wakutupwa,yaani mlo kwa siku ni shida,

Unacho takiwa kujua wakenya wanapenda sifa kuliko kitu chochote,
 
Ila huko Kenya mnapenda muziki wa Tanzania mno.

Kwenye matatu zenu nilikuwa naskia nyimbo za kina Aslay throughout.
 
Ndugu umemjibu vizuri sana,nilitaka nimwambie hivi,

Mtoa maada sajajuia vizuri ni wakike au kiume,maana maada yake imechanganya mambo ya kiume na kike mf maneno haya(kifupi Wakenya don’t give a shit about you,) haya ni maneno yakike pale wivu wa mapenzi ukimshika na kamjua mgoni wake ,
Acha nikupe darasa, kumjua jirani yako kuliko ww akujuavyo kunafaida kubwa sana. Sijui age yako ila sisi enzi zetu darasa la nne mpaka la saba kwenye somo la Geographia tulianza kujua ramani ya Tz,na mikoa yake nakila mkoa na sifa zake,mfano kwenye mtihani unaulizwa Almasi inachimbwa wapi? dhahabu wapi? korosho, nk,then tukaja ramani ya east africa< hapa lazima ujue jina la nchi na miji mikuu yake na baadhi ya miji kama jinja,kampala nairobi,kisumu kericho Turkana na sifa za hiyo miji,mfano unaweza ulizwa kwenye mtihani,ziwe Turkana lipo wapi? unatakiwa kujibu,
kutoka hapo tunakuja tonasoma ramani ya africa na nchi na miji mikuu yake,utamaduni nk,mfano unaweza kuulizwa Victoria falls ipo wapi? au Kakao inalimwa wapi? then tunamaliza na ramani ya dunia,
Haya yote tulisoma sio kwamba tulikua tunajipendekeza au kugive shit ila kupanua uweza wa kuchambua mambo nakujua unaishi katika ulimwengu gani,

Sasa wewe unababaishwa na wekenya ambao hata ukiwauliza Serengeti ipo wapi wankwambia hawajui,mt kilimanjaro wanakwambia unaonekana vizuri ukiwa Kenya,ila mkenye huyo huyo muulize mauaji ya albino yanatokea wapi atakutajia nchi,mkoa hadi Kijiji
Wivu,roho mbaya na majigambo ndio yamewajaa,

(kwanza Mkenya wa kawaida anamdharau Mtanzania!) unasema mkenya wakawida,its true maana ni utamaduni wao,wamelelewa hivyo,Hivi uliwa sikia Wtz labda kuna nchi wainadharau? jibu hakuna kwasababu tumefunzwa kumheshim kila mtu thats why mataifa mengi ya Africa uhuru wao wamepatia Tz pia hata maraisi wao wamepata elim zao hapa,Kingine ambcho hujui Kenya inshindana na TZ kiuchumi wakati TZ hata habari hatuna,mkenya akisikia TZ wafanya hivi na yy analipiza hata kama halina faida kwake,mfn Bomba la mafuta, na wao wanatoa lao linaanzia jUba maka mombasa,sasa,issue ya reli,Tz wanapanga kuunganisha reli from Dar to burundi mpaka Kongo, wao nao Wakajenga yakwao,sasa wauliza mnafaidika navyo? au mnaiga tu?

Inshort Kenya anaifatilia Tz kimajungu majungu,while Tz wanaifatilia Kenya in +VE way,

(Watanzania wote wanajua TV za Kenya!)
hapa reseach yako ni ya uwongo kweli kweli ,hauna tofauti naile ya wakenya wanajisifia eti 90% ya popuration yao wanatumia internet ,wakati hapo hapo report zao zinasema 60% ya wakenya hawanaumeme,25% ni watoto 40% nimasikini wakutupwa,yaani mlo kwa siku ni shida,

Unacho takiwa kujua wakenya wanapenda sifa kuliko kitu chochote,
Mbona unawajua wakenya kiasi hiki, uliwahi kukaa Kenya?. Mkenya ukimuambia achague kuendelea kuwa hai bila kusifiwa, na kufa lakini huku nyuma vyombo vya habari vitarusha mazishi yake live na jeneza lake litakuwa na maandishi ya; THE BEST COFFIN IN THE WORLD, wakenya wengi watachagua kufa...hawa watu kupenda sifa ugonjwa wa kuambukiza kwao.
 
Khaaa rabish
Yaani ni uchafu mtupu unaongea hembu ONA aibu
Kupresent mawazo yako ndio yawe ya watanzania na wakenya mimi nimeowa na nafanya biashara Kenya huna LA kuwadanganya watu ndugu


Sema wapi nilipodanganya?
 
Its correct
If you want to fight them know them,join them,
Ni mbinu za zalibya juu ktk kumwin au kumuangusha mpinzani wako ninlzm umjue weakness zake na strength zake ss nashangaa ndugu yetu yule anawaona wa TZ ninwajinga
Afuatilie historian ya China mpk kufika hapo ilipo ilifanya nini kwa Europe na America?
Alijichanganya
Alijishusha
Alishirikiana na amerika ktk kila sector
Mwisho wa siku
Matokeo ndio hayo unayaona sasa ni nani asiyemjua mchina ktk ulimengu wa sasa?


Kwa hiyo sisi ni Wachina na Wakenya ndo Ulaya na US? Sasa kama hivyo kwa nini mnanishambulia kwa kusema Watz tunafwatilia zaidi khs Kenya klk kinyume chake?
 
Ndugu umemjibu vizuri sana,nilitaka nimwambie hivi,

Mtoa maada sajajuia vizuri ni wakike au kiume,maana maada yake imechanganya mambo ya kiume na kike mf maneno haya(kifupi Wakenya don’t give a shit about you,) haya ni maneno yakike pale wivu wa mapenzi ukimshika na kamjua mgoni wake ,
Acha nikupe darasa, kumjua jirani yako kuliko ww akujuavyo kunafaida kubwa sana. Sijui age yako ila sisi enzi zetu darasa la nne mpaka la saba kwenye somo la Geographia tulianza kujua ramani ya Tz,na mikoa yake nakila mkoa na sifa zake,mfano kwenye mtihani unaulizwa Almasi inachimbwa wapi? dhahabu wapi? korosho, nk,then tukaja ramani ya east africa< hapa lazima ujue jina la nchi na miji mikuu yake na baadhi ya miji kama jinja,kampala nairobi,kisumu kericho Turkana na sifa za hiyo miji,mfano unaweza ulizwa kwenye mtihani,ziwe Turkana lipo wapi? unatakiwa kujibu,
kutoka hapo tunakuja tonasoma ramani ya africa na nchi na miji mikuu yake,utamaduni nk,mfano unaweza kuulizwa Victoria falls ipo wapi? au Kakao inalimwa wapi? then tunamaliza na ramani ya dunia,
Haya yote tulisoma sio kwamba tulikua tunajipendekeza au kugive shit ila kupanua uweza wa kuchambua mambo nakujua unaishi katika ulimwengu gani,

Sasa wewe unababaishwa na wekenya ambao hata ukiwauliza Serengeti ipo wapi wankwambia hawajui,mt kilimanjaro wanakwambia unaonekana vizuri ukiwa Kenya,ila mkenye huyo huyo muulize mauaji ya albino yanatokea wapi atakutajia nchi,mkoa hadi Kijiji
Wivu,roho mbaya na majigambo ndio yamewajaa,

(kwanza Mkenya wa kawaida anamdharau Mtanzania!) unasema mkenya wakawida,its true maana ni utamaduni wao,wamelelewa hivyo,Hivi uliwa sikia Wtz labda kuna nchi wainadharau? jibu hakuna kwasababu tumefunzwa kumheshim kila mtu thats why mataifa mengi ya Africa uhuru wao wamepatia Tz pia hata maraisi wao wamepata elim zao hapa,Kingine ambcho hujui Kenya inshindana na TZ kiuchumi wakati TZ hata habari hatuna,mkenya akisikia TZ wafanya hivi na yy analipiza hata kama halina faida kwake,mfn Bomba la mafuta, na wao wanatoa lao linaanzia jUba maka mombasa,sasa,issue ya reli,Tz wanapanga kuunganisha reli from Dar to burundi mpaka Kongo, wao nao Wakajenga yakwao,sasa wauliza mnafaidika navyo? au mnaiga tu?

Inshort Kenya anaifatilia Tz kimajungu majungu,while Tz wanaifatilia Kenya in +VE way,

(Watanzania wote wanajua TV za Kenya!)
hapa reseach yako ni ya uwongo kweli kweli ,hauna tofauti naile ya wakenya wanajisifia eti 90% ya popuration yao wanatumia internet ,wakati hapo hapo report zao zinasema 60% ya wakenya hawanaumeme,25% ni watoto 40% nimasikini wakutupwa,yaani mlo kwa siku ni shida,

Unacho takiwa kujua wakenya wanapenda sifa kuliko kitu chochote,


Siyo kweli! Kufwatilia maisha ya mwingine kuliko anavyofwatilia yako ni inferiority complex, inaonyesha haujithamini na unamuhitaji klk anavyokuhitaji!

Ni lini uliona Mkenya anakuja kwenye TV za kwetu kuisema vibaya nchi yake kama wale takataka wenu Msigwa na Lema walivyofanya?
 
Siyo kweli! Kufwatilia maisha ya mwingine kuliko anavyofwatilia yako ni infereority complex, inaonyesha haujithamini na unamuhitaji klk anavyokuhutaji!

Ni lini uliona Mkenya anakuja kwenye TV za kwetu kuisema vibaya nchi yake kama wale takataka wenu Msigwa na Lema walivyofanya?
Wewe mbona akili yako ni hovyo sana?, sasa Msigwa na Lema kwenda kwenye vyombo vya habari ilipata baraka za watanzania au wao walienda kuishambulia nchi kutokana na uadui wao na CCM?

Kwanza kitendo cha TV za Kenya kushabikia ugomvi wa Tanzania ni kuonyesha jinsi gani Kenya inavyotaka kuiona Tanzania inaingia kwenye mgogoro, hawapendi kusikia Tanzania inawazidi kwa utulivu, wanataka kuonyesha hata huko mambo sio sawa.

Wewe sema ni TV gani hapa Tanzania inayozungumzia kuhusu Kenya kama jinsi TV za Kenya zinavyoizungumzia Tanzania?, ninahisi umepoteza kazi yako ya utapeli, hivyo unajaribu kutoa stress zako za maisha.
 
Wewe mbona akili yako ni hovyo sana?, sasa Msigwa na Lema kwenda kwenye vyombo vya habari ilipata baraka za watanzania au wao walienda kuishambulia nchi kutokana na uadui wao na CCM?

Kwanza kitendo cha TV za Kenya kushabikia ugomvi wa Tanzania ni kuonyesha jinsi gani Kenya inavyotaka kuiona Tanzania inaingia kwenye mgogoro, hawapendi kusikia Tanzania inawazidi kwa utulivu, wanataka kuonyesha hata huko mambo sio sawa.

Wewe sema ni TV gani hapa Tanzania inayozungumzia kuhusu Kenya kama jinsi TV za Kenya zinavyoizungumzia Tanzania?, ninahisi umepoteza kazi yako ya utapeli, hivyo unajaribu kutoa stress zako za maisha.


Lema na Msigwa walijipeleka kuikashifu nchi yangu na kwanza Wakenya wala hawakuwaangalia jinsi wanavyowadharau pmj na kujipendekeza kote, hkn hata aliyejua kama hata walihojiwa isipokuwa huku Bongo ndo ikawa News!
 
Lema na Msigwa walijipeleka kuikashifu nchi yangu na kwanza Wakenya wala hawakuwaangalia jinsi wanavyowadharau pmj na kujipendekeza kote, hkn hata aliyejua kama hata walihojiwa isipokuwa huku Bongo ndo ikawa News!
Wewe ndiye unayejidhalilisha kwa kuwasemea wakenya kwamba hawakuiangalia, kama vile ulikuwa ndani ya nyumba zote za wakenya, kwanini sasa wawaruhusu.watu.wasiotazamwa na kuwapa airtime?, wewe kama umepata basha toka Kenya ananya vizuri, isiwe sababu ya kumchukia basha wako wa Tanzania
 
Wewe ndiye unayejidhalilisha kwa kuwasemea wakenya kwamba hawakuiangalia, kama vile ulikuwa ndani ya nyumba zote za wakenya, kwanini sasa wawaruhusu.watu.wasiotazamwa na kuwapa airtime?, wewe kama umepata basha toka Kenya ananya vizuri, isiwe sababu ya kumchukia basha wako wa Tanzania


Nimekwenda Kenya mara nyingi sana, na huwa najichanganya nikiwa huko, sijawahi kusikia hata siku moja wakiongelea khs chadema, Mbowe au sijua Lowasa kama nyie mnavyopoteza muda hapa kuwajadili na maisha yao, kwanza hata habari ya TZ tu ni nadra sana kuwekwa front page ya Magazeti yao kama vile tunavyofanya hapa Tanzania, ukiwa Kenya hata kiongozi wa Tanzana anaweza kuja lkn hakuna anayejua kama kuna Kiongozi wa Tanzania yupo nchini lkn hapa Tanzania hata tu Waziri fulani wa Kenya akiwepo nchini nchi nzima tunajua!
 
Kwanza sina hakika kwamba Watanzania as a nation wanaweza kuwa obsessed in a lamentable way na kitu chochote. Hata ukisema wamekuwa obsessed na Dr. Shika au ku bet, two clear hits now, that is debatable.

What is to be obsessed exactly?

Pia, kuwa obsessed na nchi nyingine si kitu kibaya, as long as kuna malengo.

Wazungu walikuwa obsessed na Afrika kuliko Waafrika walivyokuwa obsessed na Ulaya,matokeo yake wazungu wakatawala Afrika.

Kwa hiyo, kuwa obsessed kunaweza kuonesha curiosity, kunaweza kuwa kitu kinachokupa nguvu kibiashara.
 
Nimefika Kenya mara nyingi lakini ukiondoa Raisi wa Tanzania hakuna kiongozi wa Tanzania ambaye Mkenya wa kawaida anamfahamu achilia mbali hata kumsikia!

Lakini hapa Bongo tuko obsessed na Kenya, tunajua na kufuatilia kila kitu, mpaka tunachukuwa upande wa vyama vyao vya Kisiasa, Kenya wanaijua CCM tu lakini Tanzania tunajua na kufuatilitilia kila chama cha siasa cha Kenya na viongozi wake, hata hapa JF tumeweka jukwaa maalumu kwa ajili ya Kenya na wachangiaji wakubwa ni watanzania, Kenya hili lisingewezekana, kwanza Mkenya wa kawaida anamdharau Mtanzania!

Ujumbe wangu ni upi? Tunawababaikia wakenya tukubali au tukatae, hakuna Mkenya anayejua TV ya Tanzania lakini watanzania wote wanajua TV za Kenya!
Kuna Watanzania hata wanasoma Magazeti ya Kenya lakini hakuna gazeti la Tanzania linaloweza kuuzwa Kenya na kununuliwa.

Mfano hai Tundu Lisu kakimbizwa Kenya hakuna Mkenya ambaye angeweza kukimbizwa Tanzania, CHADEMA wako obsessed na Rais Uhuru Kenyatta na chama chake lakini nina uhakika wanachama wa chama cha Uhuru Kenya hawajawahi hata kuisikia CHADEMA, achilia mbali hata tu kujua kama kuna mtu anaitwa Mbowe!

Tundu Lissu kalazwa Kenya lakini hakuna hata high ranking official mmoja wa Chama cha Uhuru Kenya aliyefika kumuona, kwa kifupi wakenya don’t give a shit about you, acheni kujipendekeza....
Kuna ukweli hapo. Sikujua vice president wenu ni mwanamke. Niliona juzi kwa inauguration ya president wetu. I have always wondered why every breaking News is here brought by some Tanzanian. Wengine watatafuta uchafu wote wa kenya kwenye mitandao... It's pathetic sometimes
 
Nimekwenda Kenya mara nyingi sana, na huwa najichanganya nikiwa huko, sijawahi kusikia hata siku moja wakiongelea khs chadema, Mbowe au sijua Lowasa kama nyie mnavyopoteza muda hapa kuwajadili na maisha yao, kwanza hata habari ya TZ tu ni nadra sana kuwekwa front page ya Magazeti yao kama vile tunavyofanya hapa Tanzania, ukiwa Kenya hata kiongozi wa Tanzana anaweza kuja lkn hakuna anayejua kama kuna Kiongozi wa Tanzania yupo nchini lkn hapa Tanzania hata tu Waziri fulani wa Kenya akiwepo nchini nchi nzima tunajua!
Wewe kama unakwenda Kenya na kurudi, mimi nimefanya kazi Kenya miaka sita na nimeizunguka Kenya sana, TV zao zinarusha habari za Tanzania kuliko TV za Tanzania zinavyoizungumzia Kenya, wewe inawezekana unatembelea vijijini, wakenya wanawakubali sana watanzania, kiujumla mkenya ni mtu mwenye kupenda sifa, ila ni wabaguzi sana, kwa taarifa yako, asili yangu mimi ni Kenya na karibu nusu ya ukoo wetu wapo Kenya, hayo unayosema ni uongo mtupu, ninahisi huna ajira na dili zako zimekwama unaanza kuonyesha flustrations zako humu.
 
Back
Top Bottom