Watz ni maboya sana, nusu ya watoto wa tanzania wanaishi maisha hayo au mnataka kila mtoto ajitokeze kueleza matatizo ya nyumbani kwao , in short TZ ni failed state watu wanashida hadi wananuka , mmemsahau yule mze muuza samaki. hata wanaochanga siwaelewi huyo mzazi ni wa kumkamata na kuhakikisha mtoto anasoma shule kwa utaratibu siyo hizi huruma za kijinga zinazotafutwa hapa,Watanzania wanalalamikia utaratibu uliowekwa na Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma Mh Dina Mathamani wa kumsaidia kijana aliyeibuliwa na mitandao hivi karibuni wa kufunguliwa account za bank wakidai nia yao ni kupewa kijana huyo pamoja na dada yake ili wawasaidie kwa kuwasomesha na sio kuchanga fedha katika account za bank zilizofunguliwa
Malalamiko ya Watanzania yamewasilishwa kupitia comments katika post iliyorushwa na kituo cha habari cha ITV
Ushahidi: https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/share/v/1JAziEe8oh/
Wao wanadai wanataka kuwachukua wawapeleke shule moja kwa moja ila kuchanga fedha wanahofia zitaliwaWatz ni maboya sana, nusu ya watoto wa tanzania wanaishi maisha hayo au mnataka kila mtoto ajitokeze kueleza matatizo ya nyumbani kwao , in short TZ ni failed state watu wanashida hadi wananuka , mmemsahau yule mze muuza samaki. hata wanaochanga siwaelewi huyo mzazi ni wa kumkamata na kuhakikisha mtoto anasoma shule kwa utaratibu siyo hizi huruma za kijinga zinazotafutwa hapa,
Kila mtu ana namna yake ya kutoboa angemlea vyema asingetoboa sawa na diamond asingetelekezwa angekuwa masikini fulani hivi asiyejulikana.Watz ni maboya sana, nusu ya watoto wa tanzania wanaishi maisha hayo au mnataka kila mtoto ajitokeze kueleza matatizo ya nyumbani kwao , in short TZ ni failed state watu wanashida hadi wananuka , mmemsahau yule mze muuza samaki. hata wanaochanga siwaelewi huyo mzazi ni wa kumkamata na kuhakikisha mtoto anasoma shule kwa utaratibu siyo hizi huruma za kijinga zinazotafutwa hapa,
WaoHuyo mtoto alikuwa anachunga ng'ombe wao au wa mtu mwingine??
Kwa nini wazazi wake wasiuze ng'ombe wamsomeshe??
Kama hauwezi kusaidia BASI USIKASHIFU.waache watakaosaidia wasaidieWatz ni maboya sana, nusu ya watoto wa tanzania wanaishi maisha hayo au mnataka kila mtoto ajitokeze kueleza matatizo ya nyumbani kwao , in short TZ ni failed state watu wanashida hadi wananuka , mmemsahau yule mze muuza samaki. hata wanaochanga siwaelewi huyo mzazi ni wa kumkamata na kuhakikisha mtoto anasoma shule kwa utaratibu siyo hizi huruma za kijinga zinazotafutwa hapa,
Kwa nini anasaidiwa wakati wanazo ng'ombe??Kama hauwezi kusaidia BASI USIKASHIFU.waache watakaosaidia wasaidie
Hao watoto wamekuwaje Kwan?Kwa nini anasaidiwa wakati wanazo ng'ombe??
Alikutwa anachunga ng'ombe na kuishi maporini badala ya kwenda shule.Hao watoto wamekuwaje Kwan?
Ng'ombe wake au wazazi wake!Kwa nini anasaidiwa wakati wanazo ng'ombe??
Hapa posta mjini kati watoto ambao hawaend shule mbona wengi sana hata pakulala hawanaAlikutwa anachunga ng'ombe na kuishi maporini badala ya kwenda shule.
Huko Siberia mmefanikiwa Kwa kiasi gani?Watz ni maboya sana, nusu ya watoto wa tanzania wanaishi maisha hayo au mnataka kila mtoto ajitokeze kueleza matatizo ya nyumbani kwao , in short TZ ni failed state watu wanashida hadi wananuka , mmemsahau yule mze muuza samaki. hata wanaochanga siwaelewi huyo mzazi ni wa kumkamata na kuhakikisha mtoto anasoma shule kwa utaratibu siyo hizi huruma za kijinga zinazotafutwa hapa,
wapeni elimu na sio kuwa changia tuu an hizo hela zitaliwa na watu wasio julikana. urithi wa mtoto ni elimu tu hamna kingineWatz ni maboya sana, nusu ya watoto wa tanzania wanaishi maisha hayo au mnataka kila mtoto ajitokeze kueleza matatizo ya nyumbani kwao , in short TZ ni failed state watu wanashida hadi wananuka , mmemsahau yule mze muuza samaki. hata wanaochanga siwaelewi huyo mzazi ni wa kumkamata na kuhakikisha mtoto anasoma shule kwa utaratibu siyo hizi huruma za kijinga zinazotafutwa hapa,
Mkuu kama anaemiliki hao ng'ombe ndio babake basi anawajibika kwa huyo mtoto pia labda kama kuna issue ingine inayosababisha watu wachangie.Ng'ombe wake au wazazi wake!