Watanzania walalamikia utaratibu wa Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma Mh Dina Mathamani wa kumsaidia kijana Shauri John Bintanya

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Watanzania wanalalamikia utaratibu uliowekwa na Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma Mh Dina Mathamani wa kumsaidia kijana aliyeibuliwa na mitandao hivi karibuni wa kufunguliwa account za bank wakidai nia yao ni kupewa kijana huyo pamoja na dada yake ili wawasaidie kwa kuwasomesha na sio kuchanga fedha katika account za bank zilizofunguliwa

Malalamiko ya Watanzania yamewasilishwa kupitia comments katika post iliyorushwa na kituo cha habari cha ITV

Ushahidi: https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/share/v/1JAziEe8oh/
 
Watz ni maboya sana, nusu ya watoto wa tanzania wanaishi maisha hayo au mnataka kila mtoto ajitokeze kueleza matatizo ya nyumbani kwao , in short TZ ni failed state watu wanashida hadi wananuka , mmemsahau yule mze muuza samaki. hata wanaochanga siwaelewi huyo mzazi ni wa kumkamata na kuhakikisha mtoto anasoma shule kwa utaratibu siyo hizi huruma za kijinga zinazotafutwa hapa,
 
Wao wanadai wanataka kuwachukua wawapeleke shule moja kwa moja ila kuchanga fedha wanahofia zitaliwa
 
Kila mtu ana namna yake ya kutoboa angemlea vyema asingetoboa sawa na diamond asingetelekezwa angekuwa masikini fulani hivi asiyejulikana.
 
Kama hauwezi kusaidia BASI USIKASHIFU.waache watakaosaidia wasaidie
 
Alikutwa anachunga ng'ombe na kuishi maporini badala ya kwenda shule.
Hapa posta mjini kati watoto ambao hawaend shule mbona wengi sana hata pakulala hawana

Serikali iingilie kati hawa watoto hapa dar wamekuwa wengi sana
 
Huko Siberia mmefanikiwa Kwa kiasi gani?

Maana nimeona street hustlers pia
 
wapeni elimu na sio kuwa changia tuu an hizo hela zitaliwa na watu wasio julikana. urithi wa mtoto ni elimu tu hamna kingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…