Watanzania walalamikia utaratibu wa Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma Mh Dina Mathamani wa kumsaidia kijana Shauri John Bintanya

Watanzania walalamikia utaratibu wa Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma Mh Dina Mathamani wa kumsaidia kijana Shauri John Bintanya

Watz ni maboya sana, nusu ya watoto wa tanzania wanaishi maisha hayo au mnataka kila mtoto ajitokeze kueleza matatizo ya nyumbani kwao , in short TZ ni failed state watu wanashida hadi wananuka , mmemsahau yule mze muuza samaki. hata wanaochanga siwaelewi huyo mzazi ni wa kumkamata na kuhakikisha mtoto anasoma shule kwa utaratibu siyo hizi huruma za kijinga zinazotafutwa hapa,
Acha wivu dogo.
 
Watz ni maboya sana, nusu ya watoto wa tanzania wanaishi maisha hayo au mnataka kila mtoto ajitokeze kueleza matatizo ya nyumbani kwao , in short TZ ni failed state watu wanashida hadi wananuka , mmemsahau yule mze muuza samaki. hata wanaochanga siwaelewi huyo mzazi ni wa kumkamata na kuhakikisha mtoto anasoma shule kwa utaratibu siyo hizi huruma za kijinga zinazotafutwa hapa,
Kwahiyo unamuonea wivu? Mungu kaamua asaidiwe Kwa mfumo huo, yule mtoto aliyempeleka baba yake polisi kisa anataka kuuza nyumba Yao! Sahizi kawa mkubwa anapiga kidhungu tu watu wamempeleka, MUNGU alimfungulia mlango Kwa namna hiyo! Usiumie mkuu omba Mungu akukumbuke.
 
Mkuu kama anaemiliki hao ng'ombe ndio babake basi anawajibika kwa huyo mtoto pia labda kama kuna issue ingine inayosababisha watu wachangie.
sio kila baba ana akili Kama zako.baba yao uenda ameona elimu Haina maana
 
Watz ni maboya sana, nusu ya watoto wa tanzania wanaishi maisha hayo au mnataka kila mtoto ajitokeze kueleza matatizo ya nyumbani kwao , in short TZ ni failed state watu wanashida hadi wananuka , mmemsahau yule mze muuza samaki. hata wanaochanga siwaelewi huyo mzazi ni wa kumkamata na kuhakikisha mtoto anasoma shule kwa utaratibu siyo hizi huruma za kijinga zinazotafutwa hapa,
We mbwa katafute nchi ya kuhamia, we unaumwa akili.
 
Watz ni maboya sana, nusu ya watoto wa tanzania wanaishi maisha hayo au mnataka kila mtoto ajitokeze kueleza matatizo ya nyumbani kwao , in short TZ ni failed state watu wanashida hadi wananuka , mmemsahau yule mze muuza samaki. hata wanaochanga siwaelewi huyo mzazi ni wa kumkamata na kuhakikisha mtoto anasoma shule kwa utaratibu siyo hizi huruma za kijinga zinazotafutwa hapa,
Kabisa
Wanautajiri wa mifugo halafu inakuwaje anashindwa kwenda shule?...ashukuriwe Mungu afya zao ni nzuri.
Kuna familia zina dhiki zaidi ya hiyo.....
 
Kwa nini wazazi wake wasiuze ng'ombe wamsomeshe??

Maneno yako ukiyafikiria yana mantiki ndani yake.
Baadhi ya wazazi huwa wanachukuliwa hatua wanapoamua kuchagua ng’ombe Vs elimu kwa watoto wao (Kuolewa kwa mtoto wa kike ili wapate ng’ombe ama mtoto wa kiume kuchunga ng’ombe).

Tumshukuru Mungu watanzania linapokuja suala la dhiki hufungua mioyo yao.
 
Watz ni maboya sana, nusu ya watoto wa tanzania wanaishi maisha hayo au mnataka kila mtoto ajitokeze kueleza matatizo ya nyumbani kwao , in short TZ ni failed state watu wanashida hadi wananuka , mmemsahau yule mze muuza samaki. hata wanaochanga siwaelewi huyo mzazi ni wa kumkamata na kuhakikisha mtoto anasoma shule kwa utaratibu siyo hizi huruma za kijinga zinazotafutwa hapa,
Well said ,yaani tunaishi kama mazombi, yaani mitaani tuñaishi kumejaa watu wenye shida ,akitokewa mmoja na Vyomno vya habari tunajifwnya wenye huruma...

Unafiki mtupu!
 
Maneno yako ukiyafikiria yana mantiki ndani yake.
Baadhi ya wazazi huwa wanachukuliwa hatua wanapoamua kuchagua ng’ombe Vs elimu kwa watoto wao (Kuolewa kwa mtoto wa kike ili wapate ng’ombe ama mtoto wa kiume kuchunga ng’ombe).

Tumshukuru Mungu watanzania linapokuja suala la dhiki hufungua mioyo yao.
Hiyo story ya huyo mtoto tangu naisikia naona kama maigizo fulani hivi au watu wanashindwa kujiongeza, Kama mtoto amekutwa anachunga mifugo ya familia porini badala ya kwenda shule hapo tatizo sio ukosefu wa pesa ya shule bali ni ukosefu wa akili wa wazazi wake au kupuuza kwao tu elimu.
 
Kwahiyo unamuonea wivu? Mungu kaamua asaidiwe Kwa mfumo huo, yule mtoto aliyempeleka baba yake polisi kisa anataka kuuza nyumba Yao! Sahizi kawa mkubwa anapiga kidhungu tu watu wamempeleka, MUNGU alimfungulia mlango Kwa namna hiyo! Usiumie mkuu omba Mungu akukumbuke.
Anasaidiwa kwa sababu zipi wakati wanamiliki mifugo??
 
Basi ibidi afahamishwe kwanza baba yake umhimu wa elimu Kisha auze baadhi ya ng'ombe apelekwe shule
SIdhani kama kuna haja ya kuuza ng"ombe wakati Elimu ni bure, au nakosea?

Ila dogo kusaidiwa ni sawa tu maana anaonekana ana akili, tatizo wanasiasa washaanza kutumia fursa, account ya nini sasa? Nani ataisimamia hiyo account?
 
Viongozi wa ccm wanajitoga ufahamu sana ni kama matatizo ya watoto wa Tanzania hawayaoni huko vijinini,
Huyo mzazi mpaka ana mifugo si tajiri kabisa, Kuna wa bibi huko mtwara na lindi wana lundo la wajukuu walioachiwa na single mother hawaijui hata kesho yao,
Rud kwa mwigulu ukaone dada zake wanavyoo zaa hovyo na kuacha watoto huko vijinini alafu mnashupalia ishu ya mtoto mmoja!
 
SIdhani kama kuna haja ya kuuza ng"ombe wakati Elimu ni bure, au nakosea?

Ila dogo kusaidiwa ni sawa tu maana anaonekana ana akili, tatizo wanasiasa washaanza kutumia fursa, account ya nini sasa? Nani ataisimamia hiyo account?
Basi kama hivyo tuanzishe kampeni ya kuwasaidia wototo waliopo kwenye mazingira magumu maana ni wengi tena wengine wanamazingira magumu zaidi ya huyo dogo
 
Mkuu kama anaemiliki hao ng'ombe ndio babake basi anawajibika kwa huyo mtoto pia labda kama kuna issue ingine inayosababisha watu wachangie.
ndo maana mimi nikasema watoto wa hivyo wapo wengi sana labda tuanze kuwaibua, na cha ajabu hakuna mwanasiasa hata mmoja alitia neno you know why wanajua they have created so many such problems, kuna vitoto vinafarki kwa kukosa matibabu who cares toto afya kadi and NHIF imeparalyse
 
Viongozi wa ccm wanajitoga ufahamu sana ni kama matatizo ya watoto wa Tanzania hawayaoni huko vijinini,
Huyo mzazi mpaka ana mifugo si tajiri kabisa, Kuna wa bibi huko mtwara na lindi wana lundo la wajukuu walioachiwa na single mother hawaijui hata kesho yao,
Rud kwa mwigulu ukaone dada zake wanavyoo zaa hovyo na kuacha watoto huko vijinini alafu mnashupalia ishu ya mtoto mmoja!
maajbau ya watz haya
 
Watanzania wanalalamikia utaratibu uliowekwa na Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma Mh Dina Mathamani wa kumsaidia kijana aliyeibuliwa na mitandao hivi karibuni wa kufunguliwa account za bank wakidai nia yao ni kupewa kijana huyo pamoja na dada yake ili wawasaidie kwa kuwasomesha na sio kuchanga fedha katika account za bank zilizofunguliwa

Malalamiko ya Watanzania yamewasilishwa kupitia comments katika post iliyorushwa na kituo cha habari cha ITV

Ushahidi:
View: https://www.facebook.com/share/v/1JAziEe8oh/

Hao watanzania waliolalamika wako wapi? tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom