Watanzania waliopo Uarabuni na Ulaya wanapokonywa Pasipoti nakutumikishwa; pasipoti hizo zinatumika vibaya. Serikali ifuatilie

Watanzania waliopo Uarabuni na Ulaya wanapokonywa Pasipoti nakutumikishwa; pasipoti hizo zinatumika vibaya. Serikali ifuatilie

Msilielie sana kuhusu GAZA Mwarabu mwenyewe ni katili mara dufu.
 
Naona hili jambo limekuwa sugu na kuna Malalamiko mengi sana, na kuna watu wanaumizwa sana huko!

Mimi nafikiri utaratibu uwekwe! Kama mtu anataka kwenda kufanyakazi nje, kuwepo na mawasiliano kati ya Wizara ya Mambo ya ndani (kwetu) na ubarozi wetu wa nchi kule ambako mtu anataka kwenda kufanyakazi! Akifika huko aripoti kwanza kwa barozi wetu kabla hajaenda kwa Tajiri wake/Kampuni kufanyakazi.
Kwa barozi ataandika taarifa zake, mawasiliano na kueleza kule anakokwenda ni wapi na kwa Tajiri au Kampuni ipi! Then taarifa zile zikabidhiwe kwenye Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi husika! Itasaidia Ubarozi wetu kumsaidia yule mtu anapopata matatizo.

Lakini kama kule mtu anakokwenda, barozi hana taarifa, harafu yakimkuta ndiyo anakumbuka kukimbilia kwa barozi, barozi atamsaidiaje wakati hana taarifa naye?

Anyway ni mtazamo wangu!
 
Wapo Wazazi wengi hasa kanda ya Ziwa wanatafuta namna ya kuwarejesha Watanzania ndugu zao Nchini.

Taarifa za baadhi ya watanzania waliofanikiwa kurejea Nchini zinasema pasipoti zao zinachukuliwa na waajiri mara tu wanapofika ughaibuni na kutokea hapo wanaanza kutumikishwa.

Wanadai wakiripoti ubalozini majibu wanayopewa ni kwamba serikali haikuwatuma waende huko hivyo watajua namna ya kurejea Nchini. Baadhi wanafanya mawasiliano wakiwa tayari wameumizwa kingono au kupigwa au kudhulumiwa haki zao.Hali hiyo ipo sana Malaysia, Uturuki, China, Qatary, Oman, Dubai na Iraq.

Chakushangaza, wanapofanikiwa kutoroka kwa waajiri na kupata wasamaria wema wakuwasaidia hifadhi ili waweze kupata pasipoti za karatasi zakurejea Nchini maafisa ubalozi wengi wanadaiwa kutokufanya yafuatayo

1. Hakuna taarifa za familia inayoshikilia pasipoti zinazochukuliwa badala yake wanalazimisha watanzania waseme wamepoteza pasipoti kitu ambacho siyo kweli.

2. Wanakataa kuwaandikia mamlaka za nchi husika wafanye uchunguzi na kuchukua hatua za kisheria za wanaohusika kuficha pasipoti za Tanzania

3. Wanapoambiwa kwamba baadhi ya pasipoti zinauzwa kwa baadhi ya makundi ya kihalifu waweze kuchunguza hakuna hatua wanazochukua.

4. Wakati mwingine wanaomba kuwasiliana na mamlaka za Tanzania kuhusu hali hii lakini wanadai, ukirudi nyumbani utaenda kusimulia ndugu zako. Unajiuliza watanzania wasipokwenda kwenye haya Mataifa wao watapata kazi yakufanya? Je wageni wa Mataifa hayo huku kwetu balozi zao zinawadharau hivi?

5. Pamoja na madhila wanayopitia wakirejea Tanzania wanahojiwa na kuwajibishwa kama waalifu wakati ukweli ni kwamba wao ni wahanga tu na serikali ilipaswa kuwawajibisha waliowaajiri kwani mikataba ya ajira wanakuwa nayo

Kwa taarifa za vijana hawa wanasema zaidi ya pasipoti elfu tano zinashikikiliwa na waajiri, wanigeria na wahalifu wengine kutoka Afrika magharibi. Siyo hivyo tu bali pasipoti hizo zinatumika na wageni kufungulia akaunti nakuzituma akaunti hizo kuweka fedha za kihalifu kukwepa kukamatwa(huko kwa wenzetu wanashindwa kutofautisha kama tunavyokwama kuwatofautisha wachina hapa bongo).

Wito wangu kwa serikali nikuhakikisha wanawaelekeza mabalozi wetu huko nje wakusanye taarifa za maeneo zilipo pasipoti zetu na kuwajulisha mamlaka za nchi hizo kuchunguza na kuchukua hatua

Pili, Serikali iwekeze kulinda watanzania waliopo nje ya nchi. Tusiwaone kama wahalifu huku tukikumbatia wageni Nchini kwetu

Tatu, pasipoti zinapotolewa na Uhamiaji zikabidhiwe kwa muhusika. Watanzania wengi wanaingizwa matatani na mawakala wanaosafirisha wafanyakazi nje. Mawakala hawa ndio wanaokabidhiwa pasipoti badala ya pasipoti kukabidhiwa kwa wamiliki.

Nne, serikali ihakikishe wafanyakazi hasa wa kazi za ndani wanaposafiri wanakuwa na mikataba.

Tano, pasipoti zote zilizopotea au zinazoshikiliwa na waajria huku zikiwa zimeripotiwa kupotea zitangazwe adharani Dunia ili kuiwekea ulinzi na uaminifu pasipoti yetu.

Sita, kila Mtanzania anayerejea nchini akiwa amepoteza pasipoti alazimishwe kueleza alipoacha pasipoti yake na huyo anayeishikilia huko nje atafutwe na kuchukuliwa hatua. Uzuri tuna mahusiano mazuri na Mataifa mengi. Hii itawafanya waajiri na wahalifu kuacha kutumia weaknes ya uelewa wa watu wetu kujinufaisha

Nasema haya kwa sababu nina uzoefu, kuna kipindi miaka ya nyuma tuliruhusu pasipoti zetu zikawa vulnerable matokeo yake ilikuwa ukisafiri nje na Pasipoti ya Tanzania unapekuliwa hadi kufikia unavuliwa nguo na hakuna tamko lililotolewa na serikali.

Hali hii inayoendelea ya mabalozi wetu kupuuzia hadhi ya pasipoti yetu huko nje itatupekea watanzania kuanza kupata matatizo tunaposafiri, tinapotafuta vibali, tunapotaka kufungua akaunti za fedha au tunapotaka kutumia pasipoti zetu kama vitambulisho.

TUSIPOILINDA KWA GHARAMA KUBWA PASIPOTI YETU TUKAACHA WATU WAZITUMIE WANAVYOTAKA TUNAKWENDA KUUMIA. MATAIFA YOTE YANAYOPIGANIA DIPLOMASIA YA UCHUMI WANAIPA HESHIMA PASIPOTI.

Watu wawe makini sana kwenda nchi za kiarabu. Huko kuna biashara haramu ya viungo vya binadamu

Utadanganywa kuwa kuna kazi. Ukifika huko utatunzwa vizuri. Siku akipatikana mteja wa kununua figo, moyo au ini, unapewa chochote ili uugue, halafu haraka utakimbizwa kupelekwa hospitali kubwa, na utadanganyika na kuamini unapendwa na kuthaminiwa.

Kisha utalazwa usingizi maisha, na viungo vyako vinatolewa kwenda kumwekea mwarabu tajiri. Ndugu watataarifiwa kuwa mauti yamekupata wakati unapewa matibabu.

Kwa mwarabu, mtu mweusi ni kiumbe tu anayefanana na binadamu.
 
Ukatili upo sehemu zote duniani lakini wamanga wamezidi
 
Watu wawe makini sana kwenda nchi za kiarabu. Huko kuna biashara haramu ya viungo vya binadamu

Utadanganywa kuwa kuna kazi. Ukifika huko utatunzwa vizuri. Siku akipatikana mteja wa kununua figo, moyo au ini, unapewa chochote ili uugue, halafu haraka utakimbizwa kupelekwa hospitali kubwa, na utadanganyika na kuamini unapendwa na kuthaminiwa.

Kisha utalazwa usingizi maisha, na viungo vyako vinatolewa kwenda kumwekea mwarabu tajiri. Ndugu watataarifiwa kuwa mauti yamekupata wakati unapewa matibabu.

Kwa mwarabu, mtu mweusi ni kiumbe tu anayefanana na binadamu.
Uongo mtupu.
 
Q q q

Uongo mtupu.
Uisilamu usikufunge macho kiasi hicho.
GettyImages-1141593308_0 (1).jpg
 
Yaan watu wakivurugwa wanaandika chochote mahali popote mkuu. Sasa sijui alijua kaanzisha Uzi mpyaaa ndio kaupload hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hujawashitukia tu watu wa aina hiyo, huyo katumwa 'kwa kazi maalumu' ya ku-disrupt mijadala pevu kwenye mitandao ya kijamii ambayo wanaona inaikaba koo "kitengo chao."
 
Q q q

Uongo mtupu.



Saudi Arabia is known for its poor labour and human rights record, and is widely considered one of the most dangerous places to work in the world. Employers in the Gulf state have been dogged by allegations of physically, mentally and sexually abusing their migrant housekeepers for years; claims which continue to resurface.

In Kenya, reports of abuse sparked fresh outrage earlier this month when online photos of a young Saudi-based Kenyan worker, Diana Chepkemoi, looking frail went viral, along with claims that she was facing employer abuse and neglect. Under growing pressure from the public, the government repatriated her and a few other domestic workers facing a similar plight in the Gulf state, including Simiyu.

Until just a few years ago, Saudi Arabia’s kafala system required housekeepers to gain permission from their employer if they wanted to change jobs or leave the country. Rights groups say this policy left them vulnerable to abuse.

This year alone, Haki Africa has received more than 51 complaints of abuse from Kenyan domestic workers based in Saudi Arabia, several videos of distressed women asking for help, and at least 10 new calls for help after reports of abuse resurfaced in September.

The Gulf is plagued by complaints of mistreatment of its domestic workforce, with estimates by the International Trade Union Confederation showing that more than 2.1 million women employed in households across the region are at risk of exploitation.
 
Kuna mashaka makubwa sana kuhusiana na madai yako.
Hoja yako kwa upande wangu inaibua maswali mengi zaidi kuliko majibu.
Kwanza kabisa, kwa jinsi ninavyowafahamu vizuri wa-Tanzania na namna akili zao zilivyo pamoja na utaratibu wao wa maisha ulivyo (hata wakiwa hapahapa nyumbani Tz), nasita kukubaliana moja kwa moja na hizi hoja zako.
Aidha, nchi zote hizo ulizotaja zina mfumo wa hovyo wa utawala kwa ujumla. Zina chembechembe za utawala wa kiimla (udikteta), na wala hakuna demokrasia huko. Zinafuata sera na mfumo wa Ujamaa na/au Ukomunisti, utaratibu wa utawala wa kiimla ambao kamwe haufai kufuatwa kwa sababu raia na wananchi wote ktk nchi wanachukuliwa kama mateka tu wa watawala wachache waliopo mamlakani.
Mashaka gani? Yaani leo ndiyo umesikia manyanyaso ya waarabu kwa watu weusi?
 
Mbona tumemuona Rose akishindikizwa na waajiri wake na watoto wanamlilia hawataki aondoke?


Mitanzania mingi ni mivivu, wanafikiri wakienda huko kuna kubweteka kijinga au kuna kuwacha kazi wakati wowote kama wafanyavyo wakiwa Tanzania.

huko ukifika kwa kuajiriwa passport inazuiliwa mpaka siku yako ya kusafiri, mwajiri wako ndiyo sponsor wako.

hakuwachii mpaka gharama ulizomuingiza mwajiri kukupeleka zirudi. La hutaki unazilipa unapewa passport yako eyapoti wakati unasafirishwa kurudi kwenu.

Kwani walienda kutalii huko hata wakae na passport?

Kinachotakiwa wapewe elimu ya watacho kumbana nacho huko kabla ya kwenda.
Kuna unyanyasaji huko sana
Kuna dada aliendaga huko amerudi
Marinda yake yote yamefumuliwa

Ova
 


Saudi Arabia is known for its poor labour and human rights record, and is widely considered one of the most dangerous places to work in the world. Employers in the Gulf state have been dogged by allegations of physically, mentally and sexually abusing their migrant housekeepers for years; claims which continue to resurface.

In Kenya, reports of abuse sparked fresh outrage earlier this month when online photos of a young Saudi-based Kenyan worker, Diana Chepkemoi, looking frail went viral, along with claims that she was facing employer abuse and neglect. Under growing pressure from the public, the government repatriated her and a few other domestic workers facing a similar plight in the Gulf state, including Simiyu.

Until just a few years ago, Saudi Arabia’s kafala system required housekeepers to gain permission from their employer if they wanted to change jobs or leave the country. Rights groups say this policy left them vulnerable to abuse.

This year alone, Haki Africa has received more than 51 complaints of abuse from Kenyan domestic workers based in Saudi Arabia, several videos of distressed women asking for help, and at least 10 new calls for help after reports of abuse resurfaced in September.

The Gulf is plagued by complaints of mistreatment of its domestic workforce, with estimates by the International Trade Union Confederation showing that more than 2.1 million women employed in households across the region are at risk of exploitation.
Porojo tu hizo.

Wengu wanakwenda huko kwa ajili ya kujiuza.

Kama si kujiuza mnaenda kufanya nini?

Wafanyakazi wa ndani hata Tanzania wanabamizwa hovyo, "beki tatu" ni nani?
 
Hao wanaoenda huko nje hua wanaambiwa kabisa madhila ya huko,lakini hua wanaweka kichwa ngumu kutotaka kuelewa, na baadhi ya nchi zinamatukio ya kujirudia, kikubwa watu wenyewe wachukue tahadhari
sawa ukisahchukua tahadhari chi kama baba lazima akulinde wewe mwanao sasa ubalozi unageuka genge la wahuni.
 
Back
Top Bottom