Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Unasikiliza maneno ya maaskofu mtapeli?Ikulu kulikuwa na shetani ......askofu Mwingira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasikiliza maneno ya maaskofu mtapeli?Ikulu kulikuwa na shetani ......askofu Mwingira.
Sasa wewe hasira zako za kubutuliwa na Magufuli unataka kila mtu awe nazo?Jiwe alikuwa dikteta,. Aliiba, aliua ,aliteka na kupora.
Tuseme wote, never and never again.
Kuna raisi unayemjua wewe ambaye hayo mambo hajawahi kuyafanya? Nitajie hapaJiwe alikuwa dikteta,. Aliiba, aliua ,aliteka na kupora.
Tuseme wote, never and never again.
Zitto ni maf tu .....watanzania tunataka rais dictator mzalendo kama jpm siyo huyu nguchiro mvaa mashungiAkiwa katika mahojiano na clouds, Zitto amekiri Watanzania walifurahi ujio wa Rais Magufuli na waliona Mambo yanakwenda, dunia hii Mungu atunusuru na makasuku, leo anaongea hili kesho anaongea Lile.
View attachment 2523907
Hakika !!Usitake kulimit mazuri ya Magufuli kwenye utumishi wa umma tu. Kama ubora wa Magufuli ungeishia kwenye utumishi wa umma tu asingekuwa na sifa ya kuwa miongoni mwa maRais bora kabisa Tanzania iliwahi au itakuja kupata.
Sifa kubwa ya Rais Magufuli ni kuwa aliongoza kwa maono na fikra. Kila alichokuwa akikifanya kiliongozwa na msukumo fulani wa dhana, mfano, Tanzania huru na kujitegemea, Tanzania imara kitaasisi, n.k. Hata yale yaliyokuwa yakionekana kama "mabaya ya Magufuli" yalitafsirika hivyo tu kwa sababu alikuwa akiongoza nchi ambayo raia wake wengi wana akili za kumbi kumbi, wanaopenda kuridhika leo kuliko kuitazama kesho.
Rais SamiaKuna raisi unayemjua wewe ambaye hayo mambo hajawahi kuyafanya? Nitajie hapa