Watanzania wameendesha makampuni ya usafirishaji abiria nchini lakini Serikali inaamini hawawezi kuendesha kampuni ya Mwendokasi

Tatizo ni hao hao watia saini wanataka cha juu sasa humu ndani wanahofia unoko ni hayo tu vinginevyo watanzania wanaweza kuendesha mwendo kasi kwa ufanisi mkubwa tuu,
 
Unaelewa kulinda rasilimali za nchi? Kwa hiyo wewe unaamini zabuni kutangazwa kwenye magazeti ndio ushindani? Kwamba waarabu unaamini walishinda zabuni au wametumia connection
Mnakosea mnapoleta ubaguzi kwenye biashara. Kwa hiyo ungeona Wazungu wemeshinda zabuni ungesikia raha?

Pesa ziko Uarabuni ndiyo maana hata Waingereza wenyewe wame surrender clubs zao za EPL kwa waarabu. Angalia Newcastle, Mancity, Arsenal etc.

Hata bandari ya Portsmouth pale Uingereza inaendeshwa na DP WORLD, wewe ni nani udharau waarabu
 
Kwa nauli za mwendokasi, kampuni ya usafirishaji mikoani ikijiendesha Kwa namna hiyo inakufa hapo hapo. Basi la zaidi ya milioni 500 linajiendesha Kwa nauli ya 1000 unadhani Kuna mmiliki hajui hiyo hasara?
Umepuu
 
Mleta mada hujielewi matajiri wote wakubwa wa safari ndefu hawataki kabisa kufanya biashara hizi za daladala za mijini wanasema hazilipi kama bus za safari ndefu

Ndio maana matajiri wote wa magari ya safari ndefu aweza kuwa na mabadi hata mia na hazuiwi kununua mabadi afanye daladala unakuta hawataki

Ndio maana utakuta mabasi mapya yote huwa ya safari ndefu tu .Used bus choka mbaya ndio watu wanatumia kuganga njaa kama daladala sababu bovu na linafanta safari fupifupi hata likifa poa tu

Basi daladala mpya ukiziona ni za mwendo kasi tu na yenyewe wazawa imetushinda ndio maana wanaachiwa wawekezaji wajaribu wao

Tajiri mwenye mabasi safari ndefu hakuna aliye tayari kufanya biashara za daladala mijini kwa taarifa yako mleta mada.wangetaka wangeshajitosa miaka mingi hizo biashara za daladala hawataki wamewaachia waganga njaa wahangaike nazo hata wewe agiza ka used bus kako ugange njaa kwenye route za daladala
Mdio.maana sio rahisi.kumkuta mumiliki wa daladala bila kujali ziko ngapi mijini mwenye pesa ya maana .Anaganga njaa tu
 
mkataba wao unafanana na wetu?
 
mkataba wao unafanana na wetu?
Masuala ya mkataba ni endelevu na yanaongeleka. Hata mkataba wa DP WORLD tulioingia ni tofauti na IGA ambayo Mwabukusi na Lissu walishadadia uwongo
 
Uendeshaji wa Mabasi ya mikoani ni tofauti na mabasi ya mjini.
Tena mno daladala zimejaa gari mbovu za safari fupi

Na usimamizi wake pasua kichwa hata uwe na daladala mbili tu ndio maana sio rahisi kukuta mijini tajiri mwenye daladala mfano mia hawezi usinamizi wake

Safari ndefu wanaweza.Ndio maana matajiri wakubwa hawataki kujitosa biashara ya daladala mijini wanaachia waganga njaa na husema wazi hailipi upotezaji muda kuwa huwezi tajirika kwa biashara za daladala

Usafiri uko siku nyingi na wazi kwa yeyote hao matajiri wakubwa wa.mabasi ya mikoani wala hawajawahi kuwa hata na wazo au mpango wa kununua daladala za kusafirisha watu mijini na hawana mpango
 
Zabuni ya wazi ilitangazwa kwenye vyombo vya habari. Waulize hao wasafirishaji wa ndani kama waliona au hawakuiona kabla hujaanza kulaumu kama vyama vya upinzani.
Hiyo Zabuni ilitangaziwa wapi?
 
Kwa nauli za mwendokasi, kampuni ya usafirishaji mikoani ikijiendesha Kwa namna hiyo inakufa hapo hapo. Basi la zaidi ya milioni 500 linajiendesha Kwa nauli ya 1000 unadhani Kuna mmiliki hajui hiyo hasara?
Basi Linaweza kuwa hata tshs.1bln, nauli ikawa tshs500 bado ikakulipa.
 
Daladala zote mbovu karibu 95% zinamilikiwa na askari uchwara.

Walio serious wote na biashara ya usafirishaji huwezi kuta wanakaa na daladala zilizochoka.
Hii ipo researched kwa Arusha na Dar.
 
Waombe waoneshe huo uwezo wao.Uzawa sio kigezo Cha ufanisi.

Hawa Waarabu hapa wanaendesha Mwendokasi Egypt na kwingine ikiwemo UAE.

View: https://www.instagram.com/p/C5GNiD9Iwsd/?igsh=NWMzcnBwYmFtY2Ru
 
Kwa kweli inasikitisha
 
Chako ni chako ila cha serikali ni sandakalawe kila mmoja anadaka tu
Wenye mabasi na daladala ni watu binafsi wanaochunga mali zao

Ingawa nao wanaibiwa lakini kama akipata anachotegemea sawa
Lakini tukija kwa wazee wa madili mali zote ni zao wanapiga mpaka betri
Yaani fungu likitoka tu linaelekezwa tofauti na huko

Mkuu mnaelewa kuwa serikali haiwezi kufanya biashara
Yaani wanaojiweza ni wa kupima mizani tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…