tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
- Thread starter
- #41
Utaelewa tu mkuu. Ni kwamba wakati Rose alipopata masaibu yaliyomkumba watanzania hawakuonesha moyo wa kumsaidia hadi alipoenda kuibukia kwa Pastor Ng'ang'a aliyemuombea akapona na leo anapiga kazi vizuri ya kuihubiri injili pale nchini Kenya. Je, wewe unaona walichofanya watanzania kumtelekeza Rose ni kitendo cha kiungwana?Cjaelewa tumemtupa vp Kwan kwenye matamasha yake walikua watu wanaingia bure