Kinachonishangaza siyo kauli ya huyu mbunge ila ni kwa nini Waziri wa Afya na msaidizi wake bado wapo ofisini, baada ya nchi kupitia kilichotokea kutokana na ushauri mbovu, walipaswa kuonyeshwa mlango wa kutokea.Kuna huyu mbunge wa Tanzania ambaye ni CCM kindakindaki anayeitwa Hamis Kigwagalla, ameshauri waondoe hicho kitu walichoweka kwenye hospitali ya taifa ya Muhimbili na kuanza kukumbatia mifumo na mbinu za kisayansi ili kukabiliana na corona.
Inachekesha sana maana hawa waliimba sana mapambio, ni kama wamepata uhuru wa kuanza kutumia ubongo ghafla......
Kuna yule mwingine anayeitwa Jaffo ambaye ndiye alikua kiongozi wa nyungu, siku hizi ni full barakoa
Ni kweli, Dr. Kigwangwalla kasema hivyo.Bila picha ni sawa na utumbo bila harufu ya nanihii....
The legacy ....!!!Ni kweli, Dr. Kigwangwalla kasema hivyo.
Ni audio nimemsikia imewekwa hapa JF na inasambaa mitandaoni.
Amesema lile dubwasha la kujifukiza pale Muhimbili linapaswa kuondolewa haraka.
Nasikia kuna wasela wamesema kama itaisha wiki mbili kutoka sasa na lile dubwasha la kujifukiza halijaondolewa pale Muhimbili basi watajipanga kwenda kuliondoa wao kinguvu. Wanasema kama mabango ya picha ya Magufuli ambaye alikuwa mtetezi wa wanyonge yanang'olewa kwa kasi mitaani, kwanini lile limtambo (mradi wa watu fulani wanaopiga dili) libakie pale Muhimbili ? Mambosasa bado hajatoa tamko.
Hii Muhimbili ambayo tunapigiwa kelele humu eti best in East and Central Africa? 🤣 🤣 🤣Kuna huyu mbunge wa Tanzania ambaye ni CCM kindakindaki anayeitwa Hamis Kigwagalla, ameshauri waondoe hicho kitu walichoweka kwenye hospitali ya taifa ya Muhimbili na kuanza kukumbatia mifumo na mbinu za kisayansi ili kukabiliana na corona.
Inachekesha sana maana hawa waliimba sana mapambio, ni kama wamepata uhuru wa kuanza kutumia ubongo ghafla......
Kuna yule mwingine anayeitwa Jaffo ambaye ndiye alikua kiongozi wa nyungu, siku hizi ni full barakoa
The legacy ....!!!View attachment 1742952
TujikumbusheKuna huyu mbunge wa Tanzania ambaye ni CCM kindakindaki anayeitwa Hamis Kigwangalla, ameshauri waondoe hicho kitu walichoweka kwenye hospitali ya taifa ya Muhimbili na kuanza kukumbatia mifumo na mbinu za kisayansi ili kukabiliana na corona.
Inachekesha sana maana hawa waliimba sana mapambio, ni kama wamepata uhuru wa kuanza kutumia ubongo ghafla......
Kuna yule mwingine anayeitwa Jaffo ambaye ndiye alikua kiongozi wa nyungu, siku hizi ni full barakoa
Dah!😳😳 Hata hivyo, sioni ajabu kwa mtu kama Kigwangalla maana ni mmoja wa wachumia tumbo. Ndiyo maana huwa siwaamini kabisa wanasiasa...TujikumbusheView attachment 1743032
Kuna huyu mbunge wa Tanzania ambaye ni CCM kindakindaki anayeitwa Hamis Kigwangalla, ameshauri waondoe hicho kitu walichoweka kwenye hospitali ya taifa ya Muhimbili na kuanza kukumbatia mifumo na mbinu za kisayansi ili kukabiliana na corona.
Inachekesha sana maana hawa waliimba sana mapambio, ni kama wamepata uhuru wa kuanza kutumia ubongo ghafla......
Kuna yule mwingine anayeitwa Jaffo ambaye ndiye alikua kiongozi wa nyungu, siku hizi ni full barakoa
Jombaa, wewe ndio ulikuwa balozi mkubwa wa 'tiba'/'chanjo' yenu asili ya kupiga nyungu humu kwenye jukwaa hili. Vipi leo unajitia hamnazo na hutoi maoni yako kuhusu mada halisi ya uzi huu? Ndio maana muda huu wa pasaka tukimkumkumbuka Masiya huwa hatumsahau msaliti wake Judas. [emoji1]Hayo yaliwekwa kwa ajili ya kampeni. Na kampeni zilishaisha, sasa yaendelee kuwepo kwa ajili ya nini tena? Ni sahihi kuyaondoa.
Jombaa, wewe ndio ulikuwa balozi mkubwa wa 'tiba'/'chanjo' yenu asili ya kupiga nyungu humu kwenye jukwaa hili. Vipi leo unajitia hamnazo na hutoi maoni kuhusu mada halisi ya uzi huu? Ndio maana muda huu wa pasaka tukimkumkumbuka Masiya huwa hatumsahau msaliti wake Judas. [emoji1]
Akili za kuambiwa..... jaza pengo na poleni tena kwa msiba.Hakuna kitu ambacho nimebadirisha katika maisha yangu.
Pia nyumbani hali ni ileile.
Mimi namlilia tu mwamba wetu kuondoka katika kipindi tunachomuhitaji.
[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Utumbo bila nziBila picha ni sawa na utumbo bila harufu ya nanihii....
To hell with lockdown, tutaishi na corona kama tunavyoishi na mafua-ukKuna huyu mbunge wa Tanzania ambaye ni CCM kindakindaki anayeitwa Hamis Kigwangalla, ameshauri waondoe hicho kitu walichoweka kwenye hospitali ya taifa ya Muhimbili na kuanza kukumbatia mifumo na mbinu za kisayansi ili kukabiliana na corona.
Inachekesha sana maana hawa waliimba sana mapambio, ni kama wamepata uhuru wa kuanza kutumia ubongo ghafla......
Kuna yule mwingine anayeitwa Jaffo ambaye ndiye alikua kiongozi wa nyungu, siku hizi ni full barakoa
Kampeni ziliisha lini? Kwanini yaondewe sasa na si wakati ule?Hayo yaliwekwa kwa ajili ya kampeni. Na kampeni zilishaisha, sasa yaendelee kuwepo kwa ajili ya nini tena? Ni sahihi kuyaondoa.
Akili za kuambiwa..... jaza pengo na poleni tena kwa msiba.