Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Sio utumbo ni bomba tepetepeUtumbo bila nzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio utumbo ni bomba tepetepeUtumbo bila nzi
Angeliwa kiboga mchana kweupeeKigwa mnafki tu kwanini hakusema wakati wa uhai wa jiwe
HahahahaSio utumbo ni bomba tepetepe
Kampeni ziliisha lini? Kwanini yaondewe sasa na si wakati ule?
Yaliondoka taratibu si kwa style hii ya kushushwa na wafanyakazi rasmiHilo siwezi kulijibia, lkn ukweli ni kuwa kampeni ziliisha, hivyo lazima mabango yashuke. Kwani ya 2015 yaliondolewa lini?
Kaka jaribu kutumia vizuri uwezo wako wa kufikiri.
Yaliondoka taratibu si kwa style hii ya kushushwa na wafanyakazi rasmi
Hongera kwa kuchukua hatua ya kwanza, hata mwendazake naye angekuwa na ujasiri kama wako hungekuwa unaomboleza sasa hivi.Nilisha changanya na zangu,
pia JPM atafuatwa daima.
![]()
No more lockdowns: UK will treat Covid like seasonal flu, says Chris Whitty - City AM
Lockdowns will likely become a thing of the past once England emerges from restrictions in June, Professor Chris Whitty has said, as he suggested Britain will treat coronavirus like the flu in the future. England’s chief medical officer said the UK would have to learn to live with the virus...www.cityam.com
Hongera kwa kuchukua hatua ya kwanza, hata mwendazake naye angekuwa na ujasiri kama wako hungekuwa unaomboleza sasa hivi.
Naijua jombaa ni ile ile 'shida' iliyomuua Nkurunzinza. Inaitwa UKAIDI.Lakini si shida iliyomuua rais wangu kipenzi si unaijua??? mbona unaanza kama kupotosha???
Naijua jombaa ni ile ile 'shida' iliyomuua Nkurunzinza. Inaitwa UKAIDI.
Naijua jombaa ni ile ile 'shida' iliyomuua Nkurunzinza. Inaitwa UKAIDI.
The legacy ....!!!View attachment 1742952
wanafki hawakosekani mbele ya Senzo alikaa kimya saa hii anakenua huyu ni kama Mb. Abood aliyenyang'anywa viwanda alivyotelekeza Morogoro akakaa kimya saahii kimbelembele akipongeza Rais Suluhu akitarajia fadhila! Waganga njaa ni wengi! Huyu Kigwangalla tangu atolewe Uwaziri amekuwa na roho ya ukwanini mwingi sasa anajaribu kutafuta bahati yake!Huyu mbunge aliunga mkono mbinu za Kinjekitile alizoamini mwendazake sasa amebadilika kama kinyonga.
Haya maneno yalifaa yatamkwe na Dr Nfmdungulile, daktari wa ukweli aliyetueleza madhara ya kujivukiza katika mfumo wa hewa.
...Nnya..![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bila picha ni sawa na utumbo bila harufu ya nanihii....