Watanzania wameshauriwa kuondoa hicho kituko cha nyungu kilicho Muhimbili na waanze kufuata mbinu za sayansi

Watanzania wameshauriwa kuondoa hicho kituko cha nyungu kilicho Muhimbili na waanze kufuata mbinu za sayansi

Kampeni ziliisha lini? Kwanini yaondewe sasa na si wakati ule?

Hilo siwezi kulijibia, lkn ukweli ni kuwa kampeni ziliisha, hivyo lazima mabango yashuke. Kwani ya 2015 yaliondolewa lini?
Kaka jaribu kutumia vizuri uwezo wako wa kufikiri.
 
Hilo siwezi kulijibia, lkn ukweli ni kuwa kampeni ziliisha, hivyo lazima mabango yashuke. Kwani ya 2015 yaliondolewa lini?
Kaka jaribu kutumia vizuri uwezo wako wa kufikiri.
Yaliondoka taratibu si kwa style hii ya kushushwa na wafanyakazi rasmi
 
Yaliondoka taratibu si kwa style hii ya kushushwa na wafanyakazi rasmi

Mambo yasiwe mengi na mengi yasiwe mambo, picha zake zitaondoka kila mahali kama unavyotaka. Maofisini watakuwa waliondoa, na sasa wanamalizia kwenye mabarabara.
Lililo kuu ni kuwa:
1. Kamaliza mwendo wake.
2. Katimiza alichoweza.
3. Tuyaenzi mazuri aliyoyafanya Mf. kujadiliana na mabeberu, waAfrika tulikuwa tunatetemeka. Lkn sasa hawata tuchukia poa kama mwanzo.
4. Linalozidi zaidi ya hapo halina tija.
 
Nilisha changanya na zangu,
pia JPM atafuatwa daima.
Hongera kwa kuchukua hatua ya kwanza, hata mwendazake naye angekuwa na ujasiri kama wako hungekuwa unaomboleza sasa hivi.
 
Aloyeshauri ni huyu..miezibya nyuma aliongea haya hivyo ni wazi anajaribu kunata na biti la uteuzi
215AC58F-428F-404C-A87B-2B8B2DE22D50.jpeg
 
Hongera kwa kuchukua hatua ya kwanza, hata mwendazake naye angekuwa na ujasiri kama wako hungekuwa unaomboleza sasa hivi.

Lakini si shida iliyomuua rais wangu kipenzi si unaijua??? mbona unaanza kama kupotosha???
 
Naijua jombaa ni ile ile 'shida' iliyomuua Nkurunzinza. Inaitwa UKAIDI.

Samahani kiongozi, binafsi sijawahi ona au sikia shida kama hiyo. Basi niache tu niendelee kuomboleza.
😭😭😭
 
Huyu mbunge aliunga mkono mbinu za Kinjekitile alizoamini mwendazake sasa amebadilika kama kinyonga.

Haya maneno yalifaa yatamkwe na Dr Nfmdungulile, daktari wa ukweli aliyetueleza madhara ya kujivukiza katika mfumo wa hewa.
wanafki hawakosekani mbele ya Senzo alikaa kimya saa hii anakenua huyu ni kama Mb. Abood aliyenyang'anywa viwanda alivyotelekeza Morogoro akakaa kimya saahii kimbelembele akipongeza Rais Suluhu akitarajia fadhila! Waganga njaa ni wengi! Huyu Kigwangalla tangu atolewe Uwaziri amekuwa na roho ya ukwanini mwingi sasa anajaribu kutafuta bahati yake!
 
Back
Top Bottom