Wameandika matusi sana nyingine zinatatanisha nitaligwa lifeban
Hivi hata kama ni mbowe kawa Rais, angeambiwa maneno hayo na mpumbavu flani kama huyo gavana kutoka nchi nyingine mngefurahia tu? Tokea lini Rais akafundishwa namna ya kuongoza nchi yake?Kwani hapo Gavana alikosea wapi?! Waulize wafugaji wa Tanzania walivyopata hasara kwa mifugo yao kuuzwa bila sababu za msingi. Tena wafugaji wengi ni wasukuma waulize
Sio sisi,sema wewe inakuhusu nn wkt wewe ni jaluo ya Kei!!!Sisi inatuhusu nini???
Hivi hata kama ni mbowe kawa Rais, angeambiwa maneno hayo na mpumbavu flani kama huyo gavana kutoka nchi nyingine mngefurahia tu? Tokea lini Rais akafundishwa namna ya kuongoza nchi yake?
Sio sisi,sema wewe inakuhusu nn wkt wewe ni jaluo ya Kei!!!
Hata angekua sahihi 900000855842.7% lakini kaipata fresh ya shamba comments za watanzania zote zimemshushua na hiyo ni message wapinzani mpo jf tu na id's kumi kwa kila member
Wewe ni mbwiga tu. Kwa hiyo jf ni mtaa gani? Kuna watu wanaishi jf?100% za comments za watanzania zimeonesha hayupo sahihi wapinzani mpo jf tu mitaani huko kila mtu JPM ndo maana mlipigwa 42;1