Watanzania wamshukia gavana wa Kenya baada ya kumkashifu Magufuli

Watanzania wamshukia gavana wa Kenya baada ya kumkashifu Magufuli

Naton Jr

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
7,867
Reaction score
19,250
Nimepita YouTube watanzania wamemwaga povu ambalo sijawahi kulishuhudia tokea nizaliwe kha kwa kweli watanzania nimewavulia kofia hilo puvu aliloshushiwa huyo gavana atajuta kumchokonoa Magufuli na Tanzania.

Kwa kifupi huyu gavana ana lugha chafu sana na anaonekana ni mvuta bangi chronic kiasi cha kukosa maadili ya kuongea na kiongozi wa nchi utadhani anaongea na hawara yake kiukweli nimewapenda watanzania wenzangu kwa huo mnyuko naomba muendelee hivyo hivyo popote wapuuzi wapuuzi kama hawa wanapotaka kuleta ufala kwenye maslahi mapana ya taifa

 
Kwani hapo Gavana alikosea wapi?! Waulize wafugaji wa Tanzania walivyopata hasara kwa mifugo yao kuuzwa bila sababu za msingi. Tena wafugaji wengi ni wasukuma waulize
Hivi hata kama ni mbowe kawa Rais, angeambiwa maneno hayo na mpumbavu flani kama huyo gavana kutoka nchi nyingine mngefurahia tu? Tokea lini Rais akafundishwa namna ya kuongoza nchi yake?
 
Hata angekua sahihi 900000855842.7% lakini kaipata fresh ya shamba comments za watanzania zote zimemshushua na hiyo ni message wapinzani mpo jf tu na id's kumi kwa kila member

Kutoka kwa warundi sisi atusapoti ujinga
 
100% za comments za watanzania zimeonesha hayupo sahihi wapinzani mpo jf tu mitaani huko kila mtu JPM ndo maana mlipigwa 42;1
Wewe ni mbwiga tu. Kwa hiyo jf ni mtaa gani? Kuna watu wanaishi jf?
 
Wamuache Magufuli wetu wasimuongezee frustrations, ikiwezekana hao Maasai wakikatiza na wao wapigwe mnada ama wachomwe moto isiishie tu kwa ng'ombe na vifaranga.
 
Back
Top Bottom