Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kichwa yake ina akili kushinda huyo wenu mwenye bonde kichwani
Nimeiona Tanzania pekee, ikipigwa na the man himself, tinga tinga.
Wewe hata moja huwezi kupiga. Ndio maana wamshangaa anaeweza kupiga kumi na zaidi, kwa kadamnasi, pu$$y
Eti gavana kiswahili chenyewe tatizo, labda gavana la milembe au ni lunatics representative huko kwenye council?
[emoji106] [emoji106]Je hizo pushups wewe na mumeo na watoto wako zinawasaidia nini
Hakuna ukweli sababu huwezi kuingiza mifugo kwenye hifadhi ukachekewa watanzania mifugo yao inapigwa mnada kila uchwao alafu mijitu kutoka nchi gani huko iingize mifugo yao utadhani hakuna sheria au shamba la mifugo wachekewe labda kwenye nchi ya mbowe.Ishu ni kuwa kuna ukweli wa alichokisema? Tuanzie hapo.
Fala wewe!Hahaha kumbe warundi ndio waliowachabanga 42 :1, mtaisoma number
Hakuna ukweli sababu huwezi kuingiza mifugo kwenye hifadhi ukachekewa watanzania mifugo yao inapigwa mnada kila uchwao alafu mijitu kutoka nchi gani huko iingize mifugo yao utadhani hakuna sheria au shamba la mifugo wachekewe labda kwenye nchi ya mbowe.
Wewe si ndo mleta mada unaletaje uzi nusunusu kama unakimbizwa na vibaka.Bundle lako tu au unatumia free data?
Hahaha kwa raha zetu, na 2020 mbowe akirudi bungeni shukuru Mungu lazima tuwanyoe kiduku
Bora yako wewe umekuja na point ya kuanzia...Ishu ni kuwa kuna ukweli wa alichokisema? Tuanzie hapo.
Wewe mshenzi una viroja leo mara ujifanye mtanzania mara uwe mkenya hata sikuelewi au kuna basha lako umelisahau Tanzania?
Wewe mshenzi una viroja leo mara ujifanye mtanzania mara uwe mkenya hata sikuelewi au kuna basha lako umelisahau Tanzania?