Watanzania wana imani kubwa sana na Paul Makonda na kamwe Lissu hawezi kushusha na kuondoa imani hiyo

Ni uzushi tu wa lissu kujaribu kutaka kumchafua Mwamba.ndio maana unaona hana ushahidi wa aina yoyote ile zaidi ya kuitumia Marekani kama ndio ushahidi wake.jambo ambalo nimelitolea ufafanuzi kwenye andiko langu.

Muite Simba please, mama yako kasema! we ni nani usitaje jina kamili. Kwa simba kila chawa atapiga goti
 
Kuna msemo unasema kuwa, siku ya nyoka kufa hutoka shimoni kwenda kujilaza barabarani ili apigwe/agongwe vizuri afe.
 
Nani ana Imani na bashite mfoji vyeti, anachoweza ni uchawa wa kujitoa mhanga, nje ya hapo ni mpigaji, mfujaji wa pesa za wananchi, kawaua binadamu wengi ili kufirahisha viongozi, beni sanane, kuongoza genge la kumuua Lisu dodoma, kumteka mo wa Simba.....kibaka mkubwa huyo
 
Maneno bila ushahidi ni ujinga na utoto tu wa kuropoka ropoka tu
 
Sijasoma hili andiko kwa sababu sijaona umuhimu wa kufanya hivyo lakini ni kwamba Makonda alifanya hivyo baada ya kutumwa na dikteta Magufuli ambaye kwa akili zake alifikiri urais ni uungu.

Serikali ya sasa na yenyewe ipo kulinda maovu ya serikali iliyopita ikiamini kwamba na yenyewe itakuja kulindwa maovu yake na serikali nyingine watakayoiweka mamlakani.

Kama Makonda anaweza akapelekwa kwenye mahakama nchini Uingereza ili akakabiliane na tuhuma zinazomkabili itakuwa ni ushindi mkubwa kwa haki kwani mahakama zetu ni vyombo vinavyotumiwa na serikali kunyanyasa raia wake kwani haziwezi kutoa haki yoyote kwa mhanga wa serikali hiyohiyo.
 
Wewe ndiye una imani naye kwa vile ndiye anakupa hela za kuja kujaza upuuzi wako humu. Huyo bwege sehemu anayostahili kuwa ni gerezani tu akisubiria kunyongwa hadi afe
Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda anaaminiwa na kukubalika na mamilioni ya watanzania.ndio maana unaona na ulikuwa unaona namna watu ambavyo hufurika na kumiminika katika mikutano yake kumsikiliza na kumpelekea kero mbalimbali ili awasaidie.
 
Hivi una matatizo ya akili? Hujasoma halafu unakurupukia kutoa maoni? Kweli ujinga ni mzigo sana.
 

Sio kila Jambo la kutetea,

Mengine kaa kimya Tu
 
Umeongea ukweli mchungu sana .kuwa kwa sasa silaha zake zinaua watu kila siku kuanzia watoto,akina mama hadi wazee kule mashariki ya kati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…