Uchaguzi 2020 Watanzania wanamuunga mkono Lissu ni kwa sababu ya sera?

Uchaguzi 2020 Watanzania wanamuunga mkono Lissu ni kwa sababu ya sera?

Simba zee 33

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
1,374
Reaction score
1,564
Mamilioni ya Watanzania wake kwa waume, vijana kwa wazee, masikini na matajiri wametokea kumpenda na kuonyesha hadharani ni jinsi gani wanavyomuunga mkono Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Mh. Tundu Lissu. Nini haswa siri ya mafanikio?
  1. Kwa sababu ya sera zake nzuri na ahadi zinazotekelezeka?
  2. Kwa sababu Watanzania wameichoka CCM?
  3. Kwa sababu Watanzania wameishi vibaya na Mh JPM Sasa hawamtaki tena?
Naomba mjadala nadhifu!
 
Mamilioni ya wapi na wewe acha upambe?

Watanzania wanataka maendeleo sio mambo ya uanaharakati haya yaliisha toka enzi za TAA maana TANU yenyewe ilijikita katika kuleta maendeleo.

Hapa mimi najiuliza sijui JPM ataapishiwa Dar au Dodoma maana kuhusu kushinda hiyo inaeleweka ni kama Pie (22/7 ) yaani USHINDI WA KISHINDO WA JPM HAUEPUKIKI.

October 28 kura zote ni kwa JPM

JPM ANATOSHA

CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mkuu sababu zote 3 zinafanya kazi. Kifupi usanii wa CCM na ukandamizaji ajabu wa haki za watu umewacost....

Lissu mwemyewe alikiwa kaoewa HATI ya kifo...ni muujiza tu leo tupo naye akiwa hai.
 
Unatia huruma kweli unavyojitutumua kuandika UTOPOLO wa Lumumba kwa msaada wa nguvu ya buku 7....
 
Watanzania tunaojitambua tumechoshwa na mediocre performance
Mnajifurahisha tuu USA yenyewe inapatwa na floods itakuwa Tanzania.

October 28th tutamchagua JPM kwa kishindo.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Unatia huruma kweli unavyojitutumua kuandika UTOPOLO wa Lumumba kwa msaada wa nguvu ya buku 7....

Sent from my Infinix X5514D using JamiiForums mobile app
Subiria October 28th ndio utajua haujui kama ilivyo ada..
CCM WATACHUKUWA WATAWEKA WAAA. Na wembe ni ule ule USHINDI.

OCTOBER 28TH KURA ZOTE NI KWA JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Ni vizuri kujifariji.
Mwenzenu ana round trip air ticket October 29 yule Brussels mnabakia kwenye Mataa ila msijali CCM hatutawabagua tutashirikiana nanyi kuijenga Tanzania.

October 28th kura zote ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Kwa hiyo USA kama kuna floods na Tanzania ndiyo kuwe na floods? Mbona Rais wa USA hateui wasimamia chaguzi kule lakini hilo hapa hulipigii debe!? Acha UZWAZWA wewe wa kutaka kuhalalisha uzembe kwa sababu tu unatokea na USA!
Mnajifurahisha tuu USA yenyewe inapatwa na floods itakuwa Tanzania.

October 28th tutamchagua JPM kwa kishindo.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Kwa hiyo USA kama kuna floods na Tanzania ndiyo kuwe na floods? Mbona Rais wa USA hateui wasimamia chaguzi kule lakini hilo hapa hulipigii debe!? Acha UZWAZWA wewe wa kutaka kuhalalisha uzembe kwa sababu tu unatokea na USA!

Sasa kinachowafanya mshabikie floods wakati ndugu zetu wamepoteza maisha ni nini kama sio UZANDIKI NA UFITINI.

CCM OCTOBER 28TH USHINDI WAKE UTAKUWA WA KISHINDO.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
4.Tundu Lissu pia ana akili sana.
Watanzania wanataka rais mwenye akili sasa angalau afananefanane na Nyerere.

Baada ya Mwl tumeongozwa na mashudu tu! Japo hili la sasa limezidi!! Halifai kabisa
 
Acha ujinga wewe! Hivi unajua maana ya neno kushabikia au UMEKURUPUKA TU! Huyo anayejiita MWENDAWAZIMU amekuwepo ujenzi katika awamu za Mkapa na Kikwete miaka 20 na miaka mitano Ikulu kwa maneno fasaha ni robo karne ameshindwa kutatua tatizo la mafuriko Dar. Hafai huyo ni mzembe tu.

Sasa kinachowafanya mshabikie floods wakati ndugu zetu wamepoteza maisha ni nini kama sio UZANDIKI NA UFITINI.
CCM OCTOBER 28TH USHINDI WAKE UTAKUWA WA KISHINDO.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Acha ujinga wewe! Hivi unajua maana ya neno kushabikia au UMEKURUPUKA TU! Huyo anayejiita MWENDAWAZIMU amekuwepo ujenzi katika awamu za Mkapa na Kikwete miaka 20 na miaka mitano Ikulu kwa maneno fasaha ni robo karne ameshindwa kutatua tatizo la mafuriko Dar. Hafai huyo ni mzembe tu.

Sasa kinachowafanya mshabikie floods wakati ndugu zetu wamepoteza maisha ni nini kama sio UZANDIKI NA UFITINI.
Nyie ndio wajinga nambari moja aliyewaambia kuwa wapinzani ni kupinga kila kitu ni nani?

Na kama sio kushabikia floods hiyo link yako ni ya nini?

Mpunguze upambavu japo kidogo

October 28th kura zote ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mamilioni ya Watanzania wake kwa waume, vijana kwa wazee, masikini na matajiri wametokea kumpenda na kuonyesha hadharani ni jinsi gani wanavyomuunga mkono mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Mh. Tundu Lissu. Nini haswa siri ya mafanikio?
  1. Kwa sababu ya sera zake nzuri na ahadi zinazotekelezeka?
  2. Kwa sababu Watanzania wameichoka CCM?
  3. Kwa sababu Watanzania wameishi vibaya na Mh JPM Sasa hawamtaki Tena?
Naomba mjadala NADHIIF!
Sera ni za chama na sio za mtu, I stand to be corrected
 
Back
Top Bottom