BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Ni MAZWAZWA tu kama wewe wanaosherehekea Maendeleo FAKE ambayo yanatuletea hasara kubwa walipa kodi. Angalia ununuzi wa ndege ambao si kipaumbele cha Watanzania sasa hasara ni mabilioni ya pesa zetu walipa kodi lakini ZWAZWA wewe unashangilia. Angalia ujenzi wa chato airport bilioni 200 bila idhini ya Bunge kwa ndege moja tu lakini MPUUZI wewe hili hulioni. 2.7 trillions zimepotea hazina hizi ziko kwenye ripoti za CAG Assad na Kichere uchunguzi kaugomea lakini ZWAZWA wewe hulioni hilo. Amka wewe acha kuchapa usingizi huku Nchi yako INAFILISIWA!
Nyie ndio wajinga nambari moja aliyewaambia kuwa wapinzani ni kupinga kila kitu ni nani?
Na kama sio kushabikia floods hiyo link yako ni ya nini?
Mpunguze upambavu japo kidogo
October 28th kura zote ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA