Watanzania wanaosafiri kuelekea Malawi, wapewa Namba ya simu ya dharura

Watanzania wanaosafiri kuelekea Malawi, wapewa Namba ya simu ya dharura

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Toka mwaka 2023 uanze hatujasikia lolote toka kwa Mkuu wa shule ya Uongozi.

Hivyo basi, wadau tukiwa bado tunasubiri nondo za shule ya uongozi toka kwa Mheshimiwa Balozi H. Polepole. Ni Bora tuone taarifa mpya kuhusu wanaosafiri kuelekea Malawi, alipo Mkuu wetu wa shule.
hpolepole_1677082197070339.jpg
 
[emoji23][emoji23] Yupo bongo hapa wiki hii..si um-Dm insta? Au nikupe namba ya nanihii wake?[emoji23] Kwamba shule ilifungwa 'until further notice ' sio? [emoji23][emoji23]
 
Huyo ni chawa wa mwendazake.

Ni mmoja wa watu wenye akiki ndogo sana.

Kuna wakati aliita press anapiga hesabu ya upotevu wa 1.5 Trillion.

Upumbavu ni kipaji, amejaaliwa haswa.
 
Mbona bado balozi hajatoa tahadhari ya gonjwa la cholera lililoshamiri huko!
 
Safi sana balozi hapo umeonesha uongozi kwa vitendo na cheo umeweka pembeni. Kiongozi mzuri ni yule anafikika kirahisi na wananchi anao watumikia.
 
Toka mwaka 2023 uanze hatujasikia lolote toka kwa Mkuu wa shule ya Uongozi.

Hivyo basi, wadau tukiwa bado tunasubiri nondo za shule ya uongozi toka kwa Mheshimiwa Balozi H. Polepole. Ni Bora tuone taarifa mpya kuhusu wanaosafiri kuelekea Malawi, alipo Mkuu wetu wa shule.
View attachment 2526640
Jamaa anapiga mizinga sana ukipiga namba hiyo, utasikia aisee kama una hamsini nicheki bana
 
Huyo ni chawa wa mwendazake.

Ni mmoja wa watu wenye akiki ndogo sana.

Kuna wakati aliita press anapiga hesabu ya upotevu wa 1.5 Trillion.

Upumbavu ni kipaji, amejaaliwa haswa.
Mpumbavu ni wewe,ambaye hujui na hujijui kama hujui,kuwa mfuasi wa mwenda zake kuna shida gn?
 
Mpumbavu ni wewe,ambaye hujui na hujijui kama hujui,kuwa mfuasi wa mwenda zake kuna shida gn?
Kwasababu hunijui uko huru kusema chochote, ila nina akili na elimu kuliko wewe na machawa wenzako wa mwendazake combined
 
Back
Top Bottom