Watanzania wanaosoma Urusi huwa wanachezewa akili na Warusi?

Ukifuatilia vizuri Warusi siyo watu wazuri hasa ukienda kule ukaendekeza suala la wanawake, ulevi n.k wanakufanya mbaya , Mfano walichokua wanakifanya warusi Kwa wageni hasa waafrika ilikuwa ni kutia makemiko kwenye chakula ili kuwaasi na hii wa kiasi kikubwa walijiona kiburudisho chao kikubwa ni pombe wengi waliathirika sana kiakili. Na Mara nyingi warusi huwa hawataki mbegu zetu waafrika.
 
Nahisi kuna tatizo hapo,km kuna ushahidi kwa baadhi ya watu waliosoma Russia kuharibikiwa akili baada ya kurudi,na nadhani inahitajika uchunguzi wa kina kujua tatizo ni nn , aidha ni pombe kupita kiasi au kuna zaidi ya hapo kuliko kuendelea kulipinga.hili litajibu swali la "kwanini baadhi ya watz waliosoma Russia wanapata matatizo ya akili baadae?"sikulitilia maanani mpk leo niliposoma hii article na kumkumbuka Dr mmoja aliyesoma Urusi ambaye alikuwa anapata mlipuko wa ukichaa kabisa, ndani ya mwezi analazwa at least once na muda mwingine hata mara 2 , akiwa hakija panda ni Dr mzuri tu .wataalamu wanasema Pombe kupita kiasi ni chanzo kikubwa cha magonjwa ya akili na Urusi inasemekana pombe ni rahisi km kununua soda vile ,lkn je ni kila mtaalamu aliyeathilika alikuwa Mlevi?
 
Mazingira ya kule ni baridi sana tofauti na huku kuna joto kubwa sana, sasa vile vinywaji vikali wanavyopiga vina lengo la kukabiliana na ile baridi sasa wabongo wanafukia tuu wakirudi hali ya hewa inawamaliza.

Pombe mbaya sana.
 
Hata Ngaunje wa chuo cha ualimu klerruu alisoma urusi ni mlevi kupindukia,hana mke wala mtoto
 
Naunga mkono ulichokisema.
Mimi nina wafanyakazi wenzangu ofisini watatu wote wamesoma urusi, ni mmoja tu ndie mawenge yuko sawa na hayo aliyoyasema mtoa mada lakini hawa wawili wako vizuri tena smart sana mmoja baada ya kurudi kaanzisha madrasa ya Qur an na hadi sasa anasomesha wanafunzi na huyu mwengine ile juice ya azam malt haitaki anachukia kisa inatest ya ulabu.
Kwaiyo hakuna kuchezewa akili wala nini ni wao wenyewe tu ndio wanajichezea akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…