Watanzania wanaosoma Urusi huwa wanachezewa akili na Warusi?

Watanzania wanaosoma Urusi huwa wanachezewa akili na Warusi?

Dr shika nasikia mpk leo anasubiria mabag yake kutoka urusi aliyaacha
 
Thanx dada angu yuko vizuri japo kawa big spender ila kwa malecturer wangu ka Dr. Maganga naona ka kuna tatizo ndani mwa akili zao
 
URUSI NI KAMA UMEKWENDA KUSOMA UCHAGAJI.MITUNGI HATA KAMA ULIKUW HUNYWI UTAANZA KUPIGA TU!!
 
Nasikia Dr shika alienda kusoma bachelor ya MD urusi
 
Hili la waliosoma urusi naona lina ukweli kiasi,hapa mtaani yupo nmoja kasoma urusi lakini mh,,,hajawahi vaa shati wala t shirt,yeye ni koti reeeef hata jua liwake vipi huwezi kuta kavaa tofauti
 
Hivi yule aliejifanya kununua nyumba za Lugumi si alisomea Urusi daah yupo kama kichaa fulani hivi daah Warusi wanatuchezea sana tusijue sana vya kwao kazi ipo
 
si kweli,ni ww utakapo jiachia na kutokujitambua,wao kuuza pombe bei nafuu haikufanyi ushindwe kujijua umefuata nn.
i mis nihzy novgorody
 
Wengine hata mpakani mwa Tz hatupajui..
kweli Mungu wa kwetu sote[emoji125][emoji125]
 
something is wrong there msitudanganye ooh Russia is very cold ooh Russia vodka and bla bla bla is very cheap mbona wasomi wanaotoka nchi zingine hawafanani na wanaotoka Russia? kwani uko Europe na Scandinavian country Russia pekee ndo ina baridi? na izo vodka, whisky zinapatikana uko tu
 
Back
Top Bottom