Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World mpaka pale Serikali itakapotoa ufafanuzi

Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World mpaka pale Serikali itakapotoa ufafanuzi

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World kwasababu kauli zao hazina staha, hazifuati taratibu za kisheria katika uwasilishwaji wake hivyo ni sawa na kelele na usumbufu kwa wanchi hivyo basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wale wote wenye nia ya kuikashifu Serikali.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa watu wa kuzungumza kwa lengo la kupotosha uma na sii kujenga, hivyo kupelekea kauli hizo za kupinga mkataba kuonekana kama kelele.

Aidha wale wote wanopinga mkataba huu hawazungumzi kwa staha, wana lengo la kuikashifu na kuichonganisha Serikali na Wananchi wake na kupelekea kauli hizo kuoneka kama matusi mbele ya Serikali.

Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.

Swala la kuzungumza kama wehu katika mitandao ya kijamii na kwa wananchi moja kwa moja pasipo kufuata taratibu za kisheria ni swala la kupuuzwa kwasababu Serikali ina ofisi hivyo basi maswala yote yanayohusiana na Serikali yanatakiwa kufuata taratibu za kisheria na sii vinginevyo.
 
Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World kwasababu kauli zao hazina staha, hazifuati taratibu za kisheria katika uwasilishwaji wake hivyo ni sawa na kelele na usumbufu kwa wanchi hivyo basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wale wote wenye nia ya kuikashifu Serikali.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa watu wa kuzungumza kwa lengo la kupotosha uma na sii kujenga, hivyo kupelekea kauli hizo za kupinga mkataba kuonekana kama kelele.

Aidha wale wote wanopinga mkataba huu hawazungumzi kwa staha, wana lengo la kuikashifu na kuichonganisha Serikali na Wananchi wake na kupelekea kauli hizo kuoneka kama matusi mbele ya Serikali.

Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.

Swala la kuzungumza kama wehu katika mitandao ya kijamii na kwa wananchi moja kwa moja pasipo kufuata taratibu za kisheria ni swala la kupuuzwa kwasababu Serikali ina ofisi hivyo basi maswala yote yanayohusiana na Serikali yanatakiwa kufuata taratibu za kisheria na sii vinginevyo.
Nani ameshauri?
 
Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.

Swala la kuzungumza kama wehu katika mitandao ya kijamii na kwa wananchi moja kwa moja pasipo kufuata taratibu za kisheria ni swala la kupuuzwa kwasababu Serikali ina ofisi hivyo basi maswala yote yanayohusiana na Serikali yanatakiwa kufuata taratibu za kisheria na sii vinginevyo.
Naunga mkono hoja
P
 
Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World kwasababu kauli zao hazina staha, hazifuati taratibu za kisheria katika uwasilishwaji wake hivyo ni sawa na kelele na usumbufu kwa wanchi hivyo basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wale wote wenye nia ya kuikashifu Serikali.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa watu wa kuzungumza kwa lengo la kupotosha uma na sii kujenga, hivyo kupelekea kauli hizo za kupinga mkataba kuonekana kama kelele.

Aidha wale wote wanopinga mkataba huu hawazungumzi kwa staha, wana lengo la kuikashifu na kuichonganisha Serikali na Wananchi wake na kupelekea kauli hizo kuoneka kama matusi mbele ya Serikali.

Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.

Swala la kuzungumza kama wehu katika mitandao ya kijamii na kwa wananchi moja kwa moja pasipo kufuata taratibu za kisheria ni swala la kupuuzwa kwasababu Serikali ina ofisi hivyo basi maswala yote yanayohusiana na Serikali yanatakiwa kufuata taratibu za kisheria na sii vinginevyo.
Kama hutaji aliyetoa ushauri huo basi hii stori umejitungia.
Mwambie bibiTozo akauze bandari za kwao Zanzibar za Tanganyika aziache.
 
Tukikaa kimya hamchelewi kusema tumeridhia, huwa ni wanafiki sana nyie
 
Naunga mkono hoja
P
Makosa ya mkataba huu ni ya wazi na niseme ni ya makusudi. Naweza Sema DP WORLD waliandaa hii rubbish paper na kuwashurutisha watu wetu kusaini (rushwa). Ktk mazingira haya ni lazima wakemewe ili waone hasira za wananchi hatua zichukuliwe ktk mkataba huu na mingine ifuatayo. Lugha ya staha hutumika pale kwenye makosa ya bahati mbaya na si makusudi. Hata Hon president Samia aliwaita STUPID ktk kipindi Cha Ramadan. Wanakera sana
 
Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World kwasababu kauli zao hazina staha, hazifuati taratibu za kisheria katika uwasilishwaji wake hivyo ni sawa na kelele na usumbufu kwa wanchi hivyo basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wale wote wenye nia ya kuikashifu Serikali.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa watu wa kuzungumza kwa lengo la kupotosha uma na sii kujenga, hivyo kupelekea kauli hizo za kupinga mkataba kuonekana kama kelele.

Aidha wale wote wanopinga mkataba huu hawazungumzi kwa staha, wana lengo la kuikashifu na kuichonganisha Serikali na Wananchi wake na kupelekea kauli hizo kuoneka kama matusi mbele ya Serikali.

Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.

Swala la kuzungumza kama wehu katika mitandao ya kijamii na kwa wananchi moja kwa moja pasipo kufuata taratibu za kisheria ni swala la kupuuzwa kwasababu Serikali ina ofisi hivyo basi maswala yote yanayohusiana na Serikali yanatakiwa kufuata taratibu za kisheria na sii vinginevyo.
Hivi huko ulipo wewe, na hao wenzako zinawatosha kweli?

Bila ya hizi kelele wakati huu unajua tungekuwa wapi?

Ziiteni "kelele" hadi hapo zitakapozibua masikio yenu kwa nguvu, sijui hapo mtakuwa mnayo hali gani, maanake kujivimbisha huku mnakokufanya sasa kutakuwa hakupo tena.

Kama mlitaka staha, msingefanya mambo ya kuwahujumu waTanzania kwa hila kama mlivyofanya. Hivi kweli mnajua maana ya "staha" ni nini?

Mlifanya staha gani wakati mnaliingiza taifa kwenye uchafu huu; halafu eti sasa mnataka staha?
Staha itatoka wapi unapovamiwa na jambazi?
 
Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World kwasababu kauli zao hazina staha, hazifuati taratibu za kisheria katika uwasilishwaji wake hivyo ni sawa na kelele na usumbufu kwa wanchi hivyo basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wale wote wenye nia ya kuikashifu Serikali.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa watu wa kuzungumza kwa lengo la kupotosha uma na sii kujenga, hivyo kupelekea kauli hizo za kupinga mkataba kuonekana kama kelele.

Aidha wale wote wanopinga mkataba huu hawazungumzi kwa staha, wana lengo la kuikashifu na kuichonganisha Serikali na Wananchi wake na kupelekea kauli hizo kuoneka kama matusi mbele ya Serikali.

Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.

Swala la kuzungumza kama wehu katika mitandao ya kijamii na kwa wananchi moja kwa moja pasipo kufuata taratibu za kisheria ni swala la kupuuzwa kwasababu Serikali ina ofisi hivyo basi maswala yote yanayohusiana na Serikali yanatakiwa kufuata taratibu za kisheria na sii vinginevyo.
Mara tunaambiwa tuna serikali sikivu inayochujua maoni yetu, mara tukae kimya.

Lipi ni lipi sasa?
 
Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.
Kumbe wewe ni kiazi kabisa?

Mapendekezo yalitakiwa yapelekwe lini, hata hili hulijui?
 
Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World kwasababu kauli zao hazina staha, hazifuati taratibu za kisheria katika uwasilishwaji wake hivyo ni sawa na kelele na usumbufu kwa wanchi hivyo basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wale wote wenye nia ya kuikashifu Serikali.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa watu wa kuzungumza kwa lengo la kupotosha uma na sii kujenga, hivyo kupelekea kauli hizo za kupinga mkataba kuonekana kama kelele.

Aidha wale wote wanopinga mkataba huu hawazungumzi kwa staha, wana lengo la kuikashifu na kuichonganisha Serikali na Wananchi wake na kupelekea kauli hizo kuoneka kama matusi mbele ya Serikali.

Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.

Swala la kuzungumza kama wehu katika mitandao ya kijamii na kwa wananchi moja kwa moja pasipo kufuata taratibu za kisheria ni swala la kupuuzwa kwasababu Serikali ina ofisi hivyo basi maswala yote yanayohusiana na Serikali yanatakiwa kufuata taratibu za kisheria na sii vinginevyo.


Kwamba wananchi wafuate sheria ipi katika kuhihoji serikali yao wanapopatwa na mashaka juu ya utendaji wake?

Na ni sheria ipi ndani ya Katiba ya Tanzania inayomzuia mwananchi kuihoji serikali yake?

Ni nani huyo anaewashauri watanzania wakae kimya?


Pande zote zinazovunja sheria katika hili ‘sakata’ la DP World zichukuliwe hatua stahiki bila kuangalia “sura”.









Naona greasing ya Mzee K inagoma kukamata.
 
Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World kwasababu kauli zao hazina staha, hazifuati taratibu za kisheria katika uwasilishwaji wake hivyo ni sawa na kelele na usumbufu kwa wanchi hivyo basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wale wote wenye nia ya kuikashifu Serikali.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa watu wa kuzungumza kwa lengo la kupotosha uma na sii kujenga, hivyo kupelekea kauli hizo za kupinga mkataba kuonekana kama kelele.

Aidha wale wote wanopinga mkataba huu hawazungumzi kwa staha, wana lengo la kuikashifu na kuichonganisha Serikali na Wananchi wake na kupelekea kauli hizo kuoneka kama matusi mbele ya Serikali.

Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.

Swala la kuzungumza kama wehu katika mitandao ya kijamii na kwa wananchi moja kwa moja pasipo kufuata taratibu za kisheria ni swala la kupuuzwa kwasababu Serikali ina ofisi hivyo basi maswala yote yanayohusiana na Serikali yanatakiwa kufuata taratibu za kisheria na sii vinginevyo.
Dawa ya wanaopotosha ninyi ni kujibu uingo wao

Kwa mfano wakisema mkataba hauna ukomo ninyi muwajibu
Ukomo upo na ni miaka kadhaa 10 au 5 au 99 nk

Bila hivyo ninyi machawa ndo mtakuwa wapotoshaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaunga mkono hoja wananchi kuitwa Vichaa ama kuitwa Wehu?

Kama serikali inataka kufuatwa ofisini kwanini wasifute accounts zao kwenye mitandao ya kijamii?

Wanaoutweza utu katika sakata hili kutoka pande zote wachukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria, bila kuangalia “sura”.
Naunga mkono hoja.
P
 
Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World kwasababu kauli zao hazina staha, hazifuati taratibu za kisheria katika uwasilishwaji wake hivyo ni sawa na kelele na usumbufu kwa wanchi hivyo basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wale wote wenye nia ya kuikashifu Serikali.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa watu wa kuzungumza kwa lengo la kupotosha uma na sii kujenga, hivyo kupelekea kauli hizo za kupinga mkataba kuonekana kama kelele.

Aidha wale wote wanopinga mkataba huu hawazungumzi kwa staha, wana lengo la kuikashifu na kuichonganisha Serikali na Wananchi wake na kupelekea kauli hizo kuoneka kama matusi mbele ya Serikali.

Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.

Swala la kuzungumza kama wehu katika mitandao ya kijamii na kwa wananchi moja kwa moja pasipo kufuata taratibu za kisheria ni swala la kupuuzwa kwasababu Serikali ina ofisi hivyo basi maswala yote yanayohusiana na Serikali yanatakiwa kufuata taratibu za kisheria na sii vinginevyo.
Aliyetoa huo utopolo ni nani ?
 
Back
Top Bottom