Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World mpaka pale Serikali itakapotoa ufafanuzi

Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World mpaka pale Serikali itakapotoa ufafanuzi

Swala la kuzungumza kama wehu katika mitandao ya kijamii na kwa wananchi moja kwa moja pasipo kufuata taratibu za kisheria ni swala la kupuuzwa kwasababu Serikali ina ofisi hivyo basi maswala yote yanayohusiana na Serikali yanatakiwa kufuata taratibu za kisheria na sii vinginevyo.
🚮🚮🚮🚮🚮
Mbona kama wewe ndiyo mwehu og, halafu unawaita wazima wehu?
Njaa zitawatesa sana nyie pimbi!!!

Yaani umma waone wanaibiwa waziwazi wakae kimya tu kusubiri kupewa ufafanuzi baadaye? Duh
 
Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World kwasababu kauli zao hazina staha, hazifuati taratibu za kisheria katika uwasilishwaji wake hivyo ni sawa na kelele na usumbufu kwa wanchi hivyo basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wale wote wenye nia ya kuikashifu Serikali.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa watu wa kuzungumza kwa lengo la kupotosha uma na sii kujenga, hivyo kupelekea kauli hizo za kupinga mkataba kuonekana kama kelele.

Aidha wale wote wanopinga mkataba huu hawazungumzi kwa staha, wana lengo la kuikashifu na kuichonganisha Serikali na Wananchi wake na kupelekea kauli hizo kuoneka kama matusi mbele ya Serikali.

Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.

Swala la kuzungumza kama wehu katika mitandao ya kijamii na kwa wananchi moja kwa moja pasipo kufuata taratibu za kisheria ni swala la kupuuzwa kwasababu Serikali ina ofisi hivyo basi maswala yote yanayohusiana na Serikali yanatakiwa kufuata taratibu za kisheria na sii vinginevyo.


Usitupotezee mda, Bandari haiuzwi, sisi tufuate utaratibu wa kuishauri serika maana na yenyewe imefuata utaratibu wa kutushirikisha?
 
Nikuulize kitu..Umetumwa na slayqueen au umetumia akili zako timamu kabisa ukaelewa mkataba na umeona the best option nikuwashauri watanzania wenzako sijui wa wapi wakae kimya kabisa nakusubili ufafanuzi wa watu ambao kila mtu anaongea lake?
 
Mt
Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World kwasababu kauli zao hazina staha, hazifuati taratibu za kisheria katika uwasilishwaji wake hivyo ni sawa na kelele na usumbufu kwa wanchi hivyo basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wale wote wenye nia ya kuikashifu Serikali.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa watu wa kuzungumza kwa lengo la kupotosha uma na sii kujenga, hivyo kupelekea kauli hizo za kupinga mkataba kuonekana kama kelele.

Aidha wale wote wanopinga mkataba huu hawazungumzi kwa staha, wana lengo la kuikashifu na kuichonganisha Serikali na Wananchi wake na kupelekea kauli hizo kuoneka kama matusi mbele ya Serikali.

Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.

Swala la kuzungumza kama wehu katika mitandao ya kijamii na kwa wananchi moja kwa moja pasipo kufuata taratibu za kisheria ni swala la kupuuzwa kwasababu Serikali ina ofisi hivyo basi maswala yote yanayohusiana na Serikali yanatakiwa kufuata taratibu za kisheria na sii vinginevyo.
Mtu aliyetia pamba masikini bila makelele anaweza kusikia? Bila kelele sio bandari tu, hata raia watauzwa utumwani kule uarabuni
 
Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.
Wameishafanyia kazi mapendekezo ya Tanganyika Law Society?
 
Tena mshukuru hata tunapiga kelele ingekua ni ufaransa tungesha kinyofoa hicho kibibi hapo juu na kukata shingo yake , pumbafu kabisa majizi tangu lini yakasikia lugha ya staha.

Dawa ya majizi ni kuyakoromea kwa ukali na hata ikibidi kuyaadabisha kwa kutenganisha shingo na kiwiliwili.
 
Watanzania wanashauriwa kukaa kimya
Sawa, Ila WaTanganyika tupo mstari wa mbele mpaka Kieleweke....wacha Wale Wazanzibari wanyamaze. Shhhhhh!
kuhusiana na mkataba wa DP World kwasababu kauli zao hazina staha,
Waarabu wana staha?
hazifuati taratibu za kisheria katika uwasilishwaji wake hivyo ni sawa na kelele
Mkataba mzima haufuati kanuni za Kibiashara, sembuse Kisheria-Umeusikia uwasilishwaji wake?? Wamekurupushwa haooooo!
na usumbufu kwa wanchi hivyo basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wale wote wenye nia ya kuikashifu Serikali.
Ukiweka kauli na matamshi ya watu wa Serikali utatamani ufute uliyoyaandika au labda kuwa Umejiondoa ufahamau....ilitakiwa wajiuzulu mapema sana. Wame tupotosha sana.
Baadhi ya Watanzania wamekuwa watu wa kuzungumza kwa lengo la kupotosha uma na sii kujenga, hivyo kupelekea kauli hizo za kupinga mkataba kuonekana kama kelele
Naamini kelele hazijapigwa bado.
.

Aidha wale wote wanopinga mkataba huu hawazungumzi kwa staha, wana lengo la kuikashifu na kuichonganisha Serikali na Wananchi wake na kupelekea kauli hizo kuoneka kama matusi mbele ya Serikali.

Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.
Hayo sasa ndio matusi!
Swala la kuzungumza kama wehu katika mitandao ya kijamii na kwa wananchi moja kwa moja pasipo kufuata taratibu za kisheria ni swala la kupuuzwa kwasababu Serikali ina ofisi hivyo basi maswala yote yanayohusiana na Serikali yanatakiwa kufuata taratibu za kisheria na sii vinginevyo
Mara wehu, wana matusi, hawana staha,wanapiga makelele, wanausumbua na maneno mengi- Wakati Watanganyika wanasema, Rudini mezani hamtaki, basi ondokeni kimoja.
 
Nikweli muheshimiwa, utaratibu wa mapendekezo ya mkataba unatakiwa kuwasilishwa Serikalini kwa njia nzuri kwasababu Serikali inapokea maoni ya wananchi wake kwa taratibu za kisheria.

Serikali ina ofisi kwahiyo wale wote wenye mapendekezo ya mkataba wanatakiwa kufuata taratibu za kuwasilisha mapendekezo yao. Serikali haipokei maoni ambayo hayafuati utaratibu wa kisheria.

Tatizo kubwa la Wananchi ni kuwa wana maoni na mapendekezo juu ya mkataba wa DP World lakini namna ya uwasilishaji wa maoni hayo sio nzuri na haufuati taratibu za uwasilishaji badala yake wanakashifu na kuichonganisha Serikali na Wananchi wake jambo ambalo ni kosa kisheria.
 
Mpaka leo uteuzi ajaupata Ila anakazamoyo
Sio kwamba Serikali haitaki maoni ya Wananchi, lah hasha ni kuwa Serikali inataka maoni yawasilishwe kwa kufuata taratibu za kisheria na sio kutukana na kuidhalilisha Serikali katika mitandao ya kijamii
 
Watanzania wanashauriwa kukaa kimya kuhusiana na mkataba wa DP World kwasababu kauli zao hazina staha, hazifuati taratibu za kisheria katika uwasilishwaji wake hivyo ni sawa na kelele na usumbufu kwa wanchi hivyo basi hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wale wote wenye nia ya kuikashifu Serikali.

Baadhi ya Watanzania wamekuwa watu wa kuzungumza kwa lengo la kupotosha uma na sii kujenga, hivyo kupelekea kauli hizo za kupinga mkataba kuonekana kama kelele.

Aidha wale wote wanopinga mkataba huu hawazungumzi kwa staha, wana lengo la kuikashifu na kuichonganisha Serikali na Wananchi wake na kupelekea kauli hizo kuoneka kama matusi mbele ya Serikali.

Hakukuwa na haja ya kuzungumza maneno mengi sawa na vichaa badala yake wataalamu wa sheria walipaswa kuonana na Serikali ili kupeleka mapendekezo yao.

Swala la kuzungumza kama wehu katika mitandao ya kijamii na kwa wananchi moja kwa moja pasipo kufuata taratibu za kisheria ni swala la kupuuzwa kwasababu Serikali ina ofisi hivyo basi maswala yote yanayohusiana na Serikali yanatakiwa kufuata taratibu za kisheria na sii vinginevyo.
Rubbish! Lini umeona Mwizi au kibaka akistahili staha! Halafu nimeona wapuuzi, majizi yakizunguka nchi nzima kutetea wizi. Hayataki kufafanua hata kifungu kwenye mkataba ila mipasho na matusi kwa wazalendo wetu! Ok chukueni hatua kwa wazalendo wetu na kuwaacha wale wanawaita wazazi wa Tapeli.
Mnafahamishwa hili halina UDINI wala staha ni mtindo wa PIGA WEZI tuuuuu
 
Rubbish! Lini umeona Mwizi au kibaka akistahili staha! Halafu nimeona wapuuzi, majizi yakizunguka nchi nzima kutetea wizi. Hayataki kufafanua hata kifungu kwenye mkataba ila mipasho na matusi kwa wazalendo wetu! Ok chukueni hatua kwa wazalendo wetu na kuwaacha wale wanawaita wazazi wa Tapeli.
Mnafahamishwa hili halina UDINI wala staha ni mtindo wa PIGA WEZI tuuuuu
Serikali ipo tayari kupokea maoni ya wananchi, swali ni kuwa maoni hayo yanapelekwa kwa matusi? Hivi ndivyo wananchi wanavyowasilisha maoni yao jambo ambalo ni la kukemea
 
Back
Top Bottom