ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Kwa matamko tu?Muwe na subira,tuinyooshe nchi kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa matamko tu?Muwe na subira,tuinyooshe nchi kwanza
Kwa manufaa ya nani? UKAWA? Wababaishaji hao? Hatutaki majaribio ya Utawala wa watu wasio na uzoefu !!Watanzania wengi mambo ya katiba mpya siyo priorities. Cha msingi hihi iliyopo tuifanyie amendment kwenye madaraka ya Rais hasa kwenye kuteua..Rais anateua watu wengi sana. Kingne tufanye amendment kwenye Tume ya uchaguzi hasa kwenye sheria ya Tume na uteuzi wake..
Nchi huwezi kuinyoosha , itakunyoosha na mwishowe kukumeza weweMuwe na subira,tuinyooshe nchi kwanza
Ume comment nini sasa na nani asiyefanya kazi !!Wananchi wote na akina nani?wengine hawajui hata kama kuna katiba.Fanyeni kazi
We na nani ?!Kwa manufaa ya nani? UKAWA? Wababaishaji hao? Hatutaki majaribio ya Utawala wa watu wasio na uzoefu !!
Baba yako!!We na nani ?!
Kwa katiba ipi? Huo ni Wimbo mpya kama ule wa 'kafyatueni'Katiba mpya ianzie kwenye vyama vyenu kwanza.Acha tunyooshe nchi
Uzoefu gani unaojivunia? Mwashangaza sanaKwa manufaa ya nani? UKAWA? Wababaishaji hao? Hatutaki majaribio ya Utawala wa watu wasio na uzoefu !!
Kiashiria cha kukaukiwa hoja.Baba yako!!