Watanzania wanawatumia wakenya kama kilinganishio (benchmark) cha maendeleo

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Endapo kuna kitu kimezinduliwa tz mara nyingi huenda social networks za wakenya na kuanza kudiscusa kilichoInduliwa ili kuoata attention kwa wakenya watoe feesback

Endapo kuna baya limetokea kenya basi watanznia with a lighting speed huenda kwene majukwaa ya wakenya kwenda kuwaambia hali ipo shwari Tz wao hawana tatizo lililopo kenya.

Mifano ni mingi sana kufikia hata kuanzisha mijadala ya kulinganisha airports mfano mwanza airport vs kisumu airport, majiji kama mwanza vs mombasa, n.k

Ila hata hivyo kwa uchunguzi yakinifu niliofanya bado unakuta mwitikio wa wakenya kuanza kujadili hizi maada ni mdogo sana, unakuta mjadala kuna watz 50 waliochangia lakini ni wakenya watano tu.

Anyway nilikuwa najiuliza hapa, Wakenya hutumia benchmark ipo kwenye maendeleo yao.
 
Marekani..

Unaswali jengine..??
 
Ramani hii itajibu swali lako?
joto la jiwe mkorinto Geza Ulole Mkikuyu- Akili timamu Ndekrepha ichoboy01 tuusan Mbolabilika
 
Wakenya wanatumia DuduJeupe
 
Wewe dudu utakua huna akili

Kila siku Magufuli anasema nataka Tanzania IWE KAMA ULAYA halafu unakuja kutuletea utopolo wako hapa sijui wa failed state gani?

Kiongozi wa nchi kila siku anasema anataka kuifanya Tanzania iwe kama ulaya sababu ameona hapa Africa Hakuna wa kumuiga

Juzi kwenye manifesto kasema atajenga viwanda vya nguo nchini Tuachane na mitumba kabisa na mitumba yetu itakua sasa inaenda ulaya, hao Kenya hata akili ya kufikiria hivyo wanayo? Achia mbali kudare
 
unadhani baada ya BRT pia yulienda kujilinganisha na kenya?? vipi kuhusu SGR??

hawa tunafanya kuwajibu tu, wajue GDP sio kigezo cha maisha bora.
 
Watanzania wako sahihi kukesha humu huku wakitumia Kenya kama benchmark maana siku zote unakimbia umfikie aliye mbele yako, lakini pia haiwezekani ukakimbia huku ukijilinganisha na uliowaacha nyuma, ndio maana huwapati Wakenya humu wakibanana na Watanzania kwenye hizi hoja za kulinganisha urefu wa dushe. Walio huku ni wachache kama mimi ambaye nimewahi kuishi Tanzania, na wengine ambao labda walikua wanapita wakagundua JF, hutupia neno moja na kuendelea na shughuli zao.

Wakenya tuna upweke sana hapa Afrika mashariki na kati hadi DRC kote huko, maana hatuna aliyefikia level yetu wa kuendana naye, hivyo huwa tunajikuta tukipimana na Afrika Kusini.
 
Hii ramani umeitoa wapi? Nataka nikasome article yake. Naomba link.
Hakunaga article wala credible source, Imetungwa na a biased Twitter account inaitwa Africa facts sijui, basi sasa ndio bakora yao, ila haina ukweli wowote.
Lkn kama unavyowajua wakenya, lazima wabebe iyo urongo, sababu it's in their DNA kudanganya na kudanganywa
 
dudu jeupe umeamka hauna pesa ya chai nn ? Iv hapa Tz kuna raia ambae ana habar na nchi iliyo jaa corona ...? Siai tuna wavamia endapo mnapo tuvamia maana mna niq ya kutuharibia nchi ninyi kisa shangaz yenu corona. ...nenda kaoge ujiandae kumsaidia mkeo kuosha vyombo hapo kunyaland
 
Huko Tz mliacha kula kinyesi kwa njaa? Utapia mlo pia inawadhuru watoto wa Tz.
tanzania njaa ni historia, hatuwezi lingana na nyie mapopoma mnaojisifu mnauchumi mkubwa akati hamuwezi gharamia chakula mpaka mpewe chakula cha msaada.
 
Embu mwambie moderator akusaidie kurekebisha icho kiswahili cha chooni ata kichwa cha habari ya nchi yako huwezi kuandika vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…