Watanzania wapenda kusomesha nje ya nchi pelekeni watoto Ufilipino bei rahisi elimu kubwa inatambuliwa Marekani

Vyuo vikuu vya ufilipino Ada nafuu haizidi dola 2500 kwa mwaka na elimu yao iko juu sana. Marekani na Canada wanaikubali sana
Ufilipino njaa Sana huwezi hata kubeba box wengi wao wamejaa UAE, Bahrain, Qatar na Oman. Ogopa wafia dini pendwa full umaskini
 
Mfano, wa vyuo na kozi wanazozitoa
vyuo vikuu viko vingi google lakini nikupe course zinazotolewa na chuo kikuu cha ufilipino

Hizo hapo

 
Vyuo vikuu vya ufilipino Ada nafuu haizidi dola 2500 kwa mwaka na elimu yao iko juu sana. Marekani na Canada wanaikubali sana

Kwanini reference ya kukubalika ni kwa beberu? Si ungesema inakubalika kwa donor country - Tanzania?

Au wewe Tanzania ni model kwenye corona na chaguzi tu?
 
Ufilipino njaa Sana huwezi hata kubeba box wengi wao wamejaa UAE, Bahrain, Qatar na Oman. Ogopa wafia dini pendwa full umaskini
Naongelea kupata elimu siongelei kupata kazi.Ukimaliza vyuo elimu inatambuliwa USA na CAnada.

Wafilipino wamejaa nchi kibao duniani hasa zinazoelendelea na zilizoendelea sio hizi zetu maskini kwa sababu kuu tatu.

Moja Elimu yao inatambuliwa na nchi nyingi duniani kuwa ni bora.

Mbili ni wachapa kazi mno na hawachagui kazi. Mfilipino hata awe na degree mbili aweza ajirika kama house girl bila shida kama kazi hana na akachapa kazi hasa.

Tatu kiwango chao cha uaminifu ni kikubwa kuliko nchi yeyote duniani.

Ndio maana unakuta hata Wajapan wakiwa na pesa akitaka kuoa wazo lake la kwanza sio kuoa mwanamke wa kijapani mwenzie anataka mwanamke wa kifilipino.Wafilipino ndio wanaongoza duniani kwa kuolewa na Wajapani.
 
Naomba connection ya kufika ufilipino, gharama muda utaotumika mpaka kufika,gharama za maisha.

Mwisho kabisa naomba unisaidie jinsi ya kupata scholarship ambayo ni full funded
 
Naomba connection ya kufika ufilipino, gharama muda utaotumika mpaka kufika,gharama za maisha.

Mwisho kabisa naomba unisaidie jinsi ya kupata scholarship ambayo ni full funded
Kazi yote hiyo nikufanyie mimi wewe umekaa tu una chat watsap na kuangalia movie!!!! Unasubiri katiketi upandege uondoke!!! Life is not like that.Ukipata CLUE.

Muda mwingi ingia internet search hivyo vyote ulivyoniomba hapo nikufanyie.Life is not about chating na kuangalia movie!!!! Na kusubiri mtu fulani akufanyie kwa niaba yako awe mimi ,serikali,mzazi au yeyote!!! !!!!!! Wake up
Sifanyi hata moja ya hayo uliyoniomba fanya mwenyewe

Do your homework
 
Sasa elimu gani haitambulik huko US? Hatupelek watoto nje kutafuta status Bali fursa huko ng'ambo. Angalia rafiki zako waliosoma India wamerudi wamefubaa Kama ngozi ya kende linganisha na aliyesoma Australia.
 
India bora urudi na taaluma yako usizidishe
Sasa elimu gani haitambulik huko US? Hatupelek watoto nje kutafuta status Bali fursa huko ng'ambo. Angalia rafiki zako waliosoma India wamerudi wamefubaa Kama ngozi ya kende linganisha na aliyesoma Australia.
 
Lol
 
Naomba connection ya kufika ufilipino, gharama muda utaotumika mpaka kufika,gharama za maisha.

Mwisho kabisa naomba unisaidie jinsi ya kupata scholarship ambayo ni full funded
Haya basi nimekutafutia na tena sio huko njaa kali
Ukimaliza kazi yako u ADMIN wa magroup yako, angalia hizo link chini

Tuone basi kama unayaweza 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…