Huku afrika kusini Wabongo wengi wapo mitaani wakiuza madawa. Jamani watu msikimbilie afrika kusini hata nchi yeyote kama hauna complete plan of what you will do ukiwa huku. Haya si mambo mazuri. madawa yanaua watu yanavunja familia etc.
Hii kesi ya hawa mabinti utagundua kwamba kuna drug barons wako nyuma yao, na watu hawa wana nguvu kubwa sana (UNTOUCHABLES) ambayo hata Nzoa anaifahamu. Haiwezekani 150kg zivushwe hapo JNIA bila kutambulika and yet huyu Nzoa hawajibiki. Ukifuatilia kwa undani hasa ile kesi waliyotaka kumbambikiza yule mtoto wa mnene wa ai pi pi utaona kuwa huyu Nzoa anahusika. Sasa mbona yupo tu kwenye kitengo ambacho kinakamata dagaa wakati papa wanatesa? Au tuamini kuwa kuna agenda ya siri ambayo watawala wanaijua? 150kg kwa watu 2 from Tz to South? No way usitilie mashaka. Hapa kuna mchezo bana!