Watanzania Wawili wakamatwa South Africa na Madawa

Watanzania Wawili wakamatwa South Africa na Madawa

Sembe kutoka Tanzania
Watanzania Agnes na Melisa wakamatwa Afrika Kusini na

Agnes 25 (miaka ya kuzaliwa)
Melisa 24 (miaka ya kuzaliwa)

MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:: MATATANI KWA KUKUTWA NA MIHADARATI
Abdula 30 (miaka ya kuzaliwa)
Mohamed 18 (miaka ya kuzaliwa)

Wasaniii wamekuwa si kiooo cha Jamiii kama ilivyokuwa hapo zamani za kale

Jamani vijana ni nguvu kazi ya Taifa


*******Je hii ni kwa sababu huhitaji VISA kusafiri kwenda africa kusini?
Tanzania inaingia kwenye ramani ya dunia...wasafiri kutoka Tanzania watakuwa wanakaguliwa ka mmbwa mwizi

Tafakari chukua hatua
 
Si ndo alikuwa anasema oooh naendaga south kupumzika sababu wananaume wa bongo wanamsumbua sababu ya makalio yake

True nskumbuka aliwahi kutuhumiwa kuaa SA anaenfaga kuuza mashimo yake ya chini akaja juu sana kukanusha eti anaendaga kupumzika tuu bongo wanaume wanamsumbua sana.
Loh sasa utapumzika kweli.
 
Hawa vijana wa kisasa na hasa wasanii wa kizazi kipya na waigizaji wanaishi kwenye nchi za kufikirika. Wanataka maisha ya bei kubwa kama ya wenzao wa ulaya na marekani bila kujua kuwa wale wapo kwenye ulimwengu wa kwanza wakati sisi hata kwenye ule wa tatu tulishatoka tunaelekea kwenye ulimwengu wa tano sana. Matokeo yake wanajikuta wakilazimika kufanya biashara haramu ili kujionesha kuwa nao wako juu. Pumb.................ffffff.
 
Mbona kichwa cha habari na mada husika havendani??
 
hii ni sifa kubwa sana kjwa taifa hawa vijana wameitangaza Tanzania hata waliokuwa hawaijui wameisoma ..hongera kwa TISS na wafanyakazi wa JK Nyerere airport kwa export za nguvu zinazofanyika pale
 
Ulimbukeni umewaponza hawa madada,majitambo na sifa na kurukia mambo yasiyo sizi yao.najua kuna watu wanafanya sana biashara jiz za madawa na wapo salama kila siku sababu ni kwamba wanafanya kwa siri na kwa kutumia akili.picha hao za majigambo na sifa zimesababisha wanausalama kuwafuatilia imi kujua hasa kinachowaleleka bondeni kila mara ni nini??.kwa mjda wa miez miwil wamefuatiliwa na hatimaye wamekamatwa japo pale mwalimh nyerer walitoka salama.mtandao huu ni mkubwa na nivigumu muuumaliza,.



Take.wasanii na wanamuziki msikubali kutumika kama njia ya kusafirisha vitu haramu kama madawa ya kulevya.ishini uhalisia sio maisha ya kufikirika .na jikubalinibkwamba hamna kitu maana hata familia mnazotoka tunazijua.Tandem kazi na kuacha maisha ya starehe yanayowapeleaka ubaya kilabsiku
 
...Picha za Melisa Edward

Mellis Edward
Inahisiwa kuwa huyu mwanamke wa pili aliyetajwa na Kamanda Nzowa kwa jina la "Melisa Edward" ni mdogo wake na Agnes ambaye katika akaunti ya facebook anayo tumia jina la (MELLIS EDWARD) , Agnes amemuweka katika orodha ya family kama ‘sister' katika akaunti yake ya Facebook.picha na bongo clan​

[TABLE="class: tr-caption-container, width: 655"]
[TR]
[TD]
318889_247867705248972_361763577_n.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]AKIWA NA MSANII IZZO B BATANI[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
45471_142819129087164_4966203_n.jpg
38812_137013026334441_1707146_n.jpg
218069_196238717078538_6131850_n.jpg
189967_189886294380447_1972413_n.jpg






Source: Bloggers
 
Jk airport ndiyo njia kuu ya madawa kwa nchi za africa mashariki na kayti na nchi ya msumbiji mpaka south watanzani ndiyo makontena na manaigeria
 
Huwa sin imani na kamanda Nzowa! Nakumbuka aliwahi kutuhumiwa kutaka kumbambika mtoto wa Mengi drugs lakini hiyo issue ilipotezewa kiaina hebu tukumbushane iliishaje??

Kama hali ndio hiyo tutarajie vijana wengi kuharibikiwa na mwisho wa siku mateja kila familia hata za hao wanaouza huo unga hawatapona
 
Ilikuaje ukakaguliwa mizigo kwenye local airport,, kusema kweli sijawai kukaguliwa mizigo mwanza hata mara moja,,

Sehemu wanayokagua mizigo ni JKIA tena ukiwa unaenda nje ya nchi.. But kwa safari za ndani sijawai kusachiwa
Wacha fix wewe kamongo, unadhani airport ni sawa na bandarini? hata ukisafiri vile vindege vidogo ni lazima ukaguliwe, wewe kama ujakaguliwa basi ulisafiri kwa ungo na siyo ndege.
 
Wacha fix wewe kamongo, unadhani airport ni sawa na bandarini? hata ukisafiri vile vindege vidogo ni lazima ukaguliwe, wewe kama ujakaguliwa basi ulisafiri kwa ungo na siyo ndege.

ebu mwelezee huyo sijui alipanda ndege wapi, airport swala la ukaguzi ni compulsory na mizigo yako lazima ipimwe!!
 
hawa Madada ni Ndugu nawajuwa toka wanaingia Bongo mwishoni mwa Mwaka 2008 wakafika Hostels za KAM Mwananyamala wakawa wanazuga wanasoma CBE mara wakisema wapo Tumaini University siku Mmoja wakatibuwana Na Rafiki yao waliokuwa wanaishi nae Somebody Magige akaniambia hawa waongo Mmoja anatoka na Jamaa wa hotel flan maarufu mitaa ya kwa Hayati Baba wa Kaya Mikocheni Ndie Good father wake Wewe anakuzuga tu Duh! Night yake nikampa kipondo huyo Mata.ko makubwa ikabidi aseme ukweli kumbe mdogo mtu Nae alikuwa akienda Rosse Garden kila jioni kupiga Deal Hostel KAM wakafukuzwa akiwemo Pia Elizabeth Michael Lulu Baada ya kubainika hawalali pale ikifika Usiku mlinzi anavuta chake watu wanabeba mizigo Melissa hatimaye akazichanga akapangisha Sinza jirani na Mori tokea kipindi hicho Agnes kashawabadilisha wabongo fleva wote kuanzia Mwanafatuma, Ndomo, Kiba, Tonya, Mnyalu, Blue na wengine wengi Ma Dj wa Clubs na Radio kibao.
Mungu atusitiri Mbaya zaidi Hapendi Kinga na Mchezo wake Ni Ule Ule Simu ya Mchina Line Mbili Ndio anaupenda Saana Mini Kabaaang Zamani alipenda kujiita Riziki Ila siri ikatoka siku moja Rafiki yake anafahamika kwa jina la Ms C Shirima alimwita mbele yangu Agnes hapo Ndugu ndipo nilipoanza kujuwa nipo na Msanii

Mkuu uliyoeleza ni kweli tupu nakumbuka pale Hostel siku za mwisho Agness alikuwa anakula sana vichwa vya serikalini....madereva wa serikali...walikuwa wanaambizana kwamba 0713 yako ni tight...Kwa ujumla mtoto alifanya sana ufedhuli huyu hapo mwananyamala..Ila ni kutokana na taste ya mtu mimi nilikuwa namuona havutii halafu kafupi sana.
 
Mkuu uliyoeleza ni kweli tupu nakumbuka pale Hostel siku za mwisho Agness alikuwa anakula sana vichwa vya serikalini....madereva wa serikali...walikuwa wanaambizana kwamba 0713 yako ni tight...Kwa ujumla mtoto alifanya sana ufedhuli huyu hapo mwananyamala..Ila ni kutokana na taste ya mtu mimi nilikuwa namuona havutii halafu kafupi sana.

du aisee wadada wanapenda maisha ya kusadikika sana sasa naanza kupata picha kina wema,wolper,lulu maisha ya juu wanayoish yanatokana na nini wema ana push vogue na mjengo wa maana kama kapanga atakuwa analipa c chini ya 900 kwa mwezi bado hela ya kulipa walinzi wa3 house gal house boy au kama nyumba yake basi ina thamani ya 450m ametoa wapi? Zaidi ya 100m kainvest kwenye kampuni yake endless film ametoa wapi fedha? Hv uwt hawakagui transaction za watu? Ant money laundaring law haifany kazi? Hawa wadada wanapata hela wapi?
 
Waliokamatwa na 'unga' wa mabilioni ni mabinti

- Wote ni Watanzania, walianzia safari Dar, washikiliwa Afrika Kusini

NA THOBIAS MWANAKATWE | 9th July 2013


Wanawake wawili raia wa Tanzania wametambuliwa kuwa ndiyo wanaodaiwa kuingiza shehena ya dawa za kulevya zenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 6.8 nchini Afrika Kusini wakitokea Tanzania.

Akizungumza na NIPASHE jana, Kamanda wa Polisi Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya, Geofrey Nzoa, alisema haijafahamika wanawake hao wanatoka mikoa gani.

Kamanda Nzoa aliwataja wanawake hao kuwa ni
Agnes Jerald ambaye alisema hajapiga hesabu ya umri wao, ila alizaliwa mwaka 1988 kwa maana hiyo ana umri wa miaka 25 na Melisa Edward ambaye alisema amezaliwa mwaka 1989 kwa maana hiyo atakuwa na umri wa miaka 24. Wawili hao bado wanaendelea kuhojiwa na polisi wa Afrika Kusini.

Alisema Jeshi la Polisi Nchini kwa upande wake linaendelea kufanya uchunguzi kubaini kama dawa hizo walitoka nazo wapi na pia linawasaka watu ambao watakuwa ndiyo wamiliki wa dawa hizo.

Jumapili iliyopita NIPASHE ilipata taarifa za kukamatwa kwa dawa za kulevya aina ya Crystal Methamphetamine zenye thamani hiyo nchini Afrika Kusini wakati zikisafirishwa kutoka Tanzania.

Taarifa hizo zilionyesha kuwa wanawake wawili walikamatwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Oriver Tambo uliopo eneo la Kempton Park siku ya Ijumaa wiki iliyopita wakitokea Tanzania.

Wanawake hao walikamatwa na maofisa wa Mamlaka ya Mapato ya Afrika Kusini wakiwa na masanduku sita ambayo yalipokaguliwa yalikutwa na takribani kilo 150 za dawa hizo ambazo pia zinajulikana kama ‘Tik’ zikiwa na thamani ya bei ya mtaani ya Randi milioni 42 sawa na Sh. bilioni 6.8.

Baada ya kukamatwa na dawa hizo wanawake hao walikabidhiwa polisi.

Tukio hilo linatoka takribani wiki moja baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Juni 28, mwaka huu kutangaza kuwa tatizo la dawa za kulenya hivi sasa ni janga la kitaifa nchini.

Alisema kumekuwa na wimbi kubwa la Watanzania wanaojiingiza katika biashara haramu ya dawa za kulevya ndani na nje ya nchi na kwamba, katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, watuhumiwa 10,799 walikamatwa kwa kujihusisha na dawa hizo.

Pia alisema katika kipindi hicho, Watanzania 240 walikamatwa katika nchi za Brazil, Pakistan na Afrika Kusini, na hivyo kuharibu taswira ya nchi na kusababisha Watanzania wasio na hatia kupata usumbufu na masharti magumu wanapotaka kusafiri kwenda nchi mbalimbali duniani.

Pinda alisema mwaka huu pekee kumekuwa na ukamataji mkubwa wa dawa za kulevya katika eneo la kimataifa la Bahari ya Hindi karibu na Tanzania.

Alisema hivi sasa mikate, maandazi na askrimu zinazouzwa kwenye shule za msingi, zinawekwa dawa za kulevya.

Alisema vitendo hivyo vinafanya vijana wengi wa shule za msingi na hata sekondari kuwa na tabia za ajabu, ikiwamo kuingia darasani wakiwa na kiatu kimoja mguuni, mkufu wenye nyembe na kidani chenye nyembe kifuani.


CHANZO: NIPASHE Home

###########
Kwa wasomaji

Agnes Gerald, maarufu kama Agnes Masogange Alizaliwa Aprili 23, 1988 kwenye hospitali ya Mkoa wa Mbeya na akasoma Shule ya Msingi na Sekondari ya Sangu.​


kwani nae ni celebrity?

katika maisha hakuna short cut ukitumia jua itakuja kukucost mbele.........

mi nashangaa watu shule hakuna kwao hakuna background kuonyesha kuwa anakara zipo ila daily wanachange mikoko mara hili mara lile kama kunguru mara huku mara huku eti wana exposure mi nasubiri tu na wengi wanakuja
 
Back
Top Bottom