Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 6,383
- 9,337
Sembe kutoka Tanzania
Watanzania Agnes na Melisa wakamatwa Afrika Kusini na
Agnes 25 (miaka ya kuzaliwa)
Melisa 24 (miaka ya kuzaliwa)
MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:: MATATANI KWA KUKUTWA NA MIHADARATI
Abdula 30 (miaka ya kuzaliwa)
Mohamed 18 (miaka ya kuzaliwa)
Wasaniii wamekuwa si kiooo cha Jamiii kama ilivyokuwa hapo zamani za kale
Jamani vijana ni nguvu kazi ya Taifa
*******Je hii ni kwa sababu huhitaji VISA kusafiri kwenda africa kusini?
Tanzania inaingia kwenye ramani ya dunia...wasafiri kutoka Tanzania watakuwa wanakaguliwa ka mmbwa mwizi
Tafakari chukua hatua
Watanzania Agnes na Melisa wakamatwa Afrika Kusini na
Agnes 25 (miaka ya kuzaliwa)
Melisa 24 (miaka ya kuzaliwa)
MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:: MATATANI KWA KUKUTWA NA MIHADARATI
Abdula 30 (miaka ya kuzaliwa)
Mohamed 18 (miaka ya kuzaliwa)
Wasaniii wamekuwa si kiooo cha Jamiii kama ilivyokuwa hapo zamani za kale
Jamani vijana ni nguvu kazi ya Taifa
*******Je hii ni kwa sababu huhitaji VISA kusafiri kwenda africa kusini?
Tanzania inaingia kwenye ramani ya dunia...wasafiri kutoka Tanzania watakuwa wanakaguliwa ka mmbwa mwizi
Tafakari chukua hatua
