Na huwa njiuliza sana hawa mabinti wanapata wapi milion 13 ya kumlipia mtu kama faini kirahisi rahisi tu. Ok naanza kupata majibu ya maswal niliokuwa nikijiuliza.
kweli mkuu hata mimi nawazaga sana ukiunganisha biashara zetu hizi na misele ya mtu no advertisement ya biashara yake , nachoka kabisaNa huwa njiuliza sana hawa mabinti wanapata wapi milion 13 ya kumlipia mtu kama faini kirahisi rahisi tu. Ok naanza kupata majibu ya maswal niliokuwa nikijiuliza.
Dah huo mpododo bwana jela anaenda kufaidi.
we unamjua vizuri agnes masogange? Haujui kwamba anaishi s.africa? Haujui kwa alikua anakaa tanzania dsm sinza? Coincidence zote hzo hauamini? Karaga bao thomaso.
Bado ni jambo la kushangaza na kujiuliza hivi kweli walitokea Tanzania na walipitia viwanja vya ndege vya Tanzania??? kama ndio basi hatuna kweli watenda kazi pale kiwanjani kweli wasione mzigo mkubwa hivyo? Mie mwanakijiji nikija Dar huwanajiuliza magari mazuri haya yote ni hela halali na Serkali inaangalia tu Enzi za Mwalimu tayari wote hawa wangekiona. Naomba Serkali iwashughulikie MAPAPA wa madawa ya kulevy kuokoa watoto wetu jamani!!!!1
Hii ni aibu kwa wale waliopewa jukumu la kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya. Wanakula kodi zetu bure huku madawa yakipita kwenye viwanja vyetu vya ndege bila kizuizi chochote. Haiwezekani kg 150 zipite bila kuonekana au wenyewe ndio ninyi mnaopambana na hayo madawa?
Ukaguzi airport zetu bado uko loose sana kama ni deal limesukwa ni rahisi sana hizo drugs kupitishwa!! Siku moja nilishangaa dada mmoja alivyotukagua mizigo yetu pale airport ya Mwanza!! She was so careless and alone!! So mie sishangai hizo drugs kupenya kwenye hizo airports zetu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Huku afrika kusini Wabongo wengi wapo mitaani wakiuza madawa. Jamani watu msikimbilie afrika kusini hata nchi yeyote kama hauna complete plan of what you will do ukiwa huku. Haya si mambo mazuri. madawa yanaua watu yanavunja familia etc.
Hii kesi ya hawa mabinti utagundua kwamba kuna drug barons wako nyuma yao, na watu hawa wana nguvu kubwa sana (UNTOUCHABLES) ambayo hata Nzoa anaifahamu. Haiwezekani 150kg zivushwe hapo JNIA bila kutambulika and yet huyu Nzoa hawajibiki. Ukifuatilia kwa undani hasa ile kesi waliyotaka kumbambikiza yule mtoto wa mnene wa ai pi pi utaona kuwa huyu Nzoa anahusika. Sasa mbona yupo tu kwenye kitengo ambacho kinakamata dagaa wakati papa wanatesa? Au tuamini kuwa kuna agenda ya siri ambayo watawala wanaijua? 150kg kwa watu 2 from Tz to South? No way usitilie mashaka. Hapa kuna mchezo bana!
Hivi si ndiye huyu aliweka picha instagram yuko na maburungutu ya pesa!!!!