Watanzania Wawili wakamatwa South Africa na Madawa

Tukiuza maji baridi typhod,bangi haramu,mihogo na lupilipili ma na luchumvi ma inakolea kosingo kipindupindu.

hahahahahahah! na kuhusu matumizi ya pombe ya viroba?
vita hii kweli inahitaji watz wote tushirikiane kuipinga; tukitaka kuona ubaya wake kwa ukaribu zaidi tufikirie hao tunaowaona wamedhurika kwa hali zao hizo vipi wangekuwa ni watoto wako; kaka zako; dada zako; au hata wazazi wako ambao wanatakiwa wahudumie familia? hayafai
 
Mkuu alikuwa uko juzi kati. Tegemea yaliyotokea china kutokea na sauzi pia.
 
Ndio maana wanapokuwa stageni wanashika sehemu za siri na makalio kumbe ni athari za madawa.

Wanamziki waliyoitangaza nchi yetu na ambao miziki yao haichuji ni masikini sana na wengine wamekufa masikini.

Hawa vijana wanaoimba madudu eti ni matajiri kumbe wauza UNGA? Wizi mtupuuuuuu!

Eti MASOGANGE
 
Sasa napata picha kwa nini Ray C alisaidiwa na mkulu wa ikulu
 
Reactions: kui
Movie ishaisha hakuna kifungo tena hapo Mkuu wa Kaya alivyokwenda South tu na kupiga picha na mwenye Home Shopping Center nikajua basi tena hakuna kesi hapo. Watakamatwa Dagaa tu wala sio Papa.
 
Lazima madawa hayo ya over 6 billion yalikuwa ya wakubwa kwa mantiki hiyo polisi walishatumwa kupooza mambo na binti atarudi home!! Mtandao wa madawa ni zaidi ya mimi na wewe tujuavyo!! Alikuwa amebeba mzigo wa wakubwa ati!!
 
Unadhani kilo 160 zitakuwa za njinga njinga tu? Lazima ni za tycoon.
Sijui nao wamepewa Nkasi, maana Mtwara ina wenyewe.
 
On point

Za wenyewe, na wameshasawazisha

Lazima madawa hayo ya over 6 billion yalikuwa ya wakubwa kwa mantiki hiyo polisi walishatumwa kupooza mambo na binti atarudi home!! Mtandao wa madawa ni zaidi ya mimi na wewe tujuavyo!! Alikuwa amebeba mzigo wa wakubwa ati!!
 
On point

Za wenyewe, na wameshasawazisha

Mkuu yaani nakuambia tukubali kuwa serikali imekuwa dhaifu na legelege!!!! Serikali imara ni China na waliweza at some point kusimamia kidete hili suala la madawa. Huku kwetu wenye hizi dili kama nilivyosema ni wakubwa wenyewe na ninasikitika ni kwa nini hawa vijana wanatumika hawawataji hawa mafirauni tu. Wameshatuharibia kizazi chetu, kama wanaoa hawataharibika kwa madawa basi hata wajukuu watanaswa. Nina hasira na hii nchi, we need to overhaul it like an engine!!!
 
As usual
(33 members and 135 guests)

(36 members and 137 guests). Na ingekuwa ni thread ya mchana wangeongezeka zaidi. Ni very sensitive issue kwa Tanzania na tunatia aibu. Imagine of a few days past wamekamatwa wanne Watz Hongkong!!! Ukifika China/Hongkong wakiona tu passport ya Tz wanakumulika hadi nguo unavua wanakupiga x=ray kabisa. Tanzania ilikuwa na sifa nzuri ila miaka ya hivi karibuni tumekuwa hovyo. Mabomu, fujo, uchomaji nyumba za ibada, madawa, udikteta, umaskini, wizi, ujambazi, etc, etc yaani it is a living hell!!
 
Tulitegemea nini kuwapa wah.uni ikulu?
Na 2015 utaona kama tutakuwa tumejifunza, hadi inaudhi ujue.

 
On point

Za wenyewe, na wameshasawazisha

Na kwa mujibu wa gazeti la dira leo cctv za airport SA inaonyesha walikua na mwanaume mmoja,ametoweka pale uwanjan na mabegi matatu,Masogange na mwenzie walikamatwa na mabegi sita(6) na mpaka sasa yamebaki matatu,mengine yameshaondoka mikononi mwa polis

Wabongo wa SA ambao ni wenzao walianza michango ya kumaliza soo lakini miongoni mwao mmoja ameitip polisi na hao warembo wamefutiwa dhamana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…