Nimegundua watanzania wengi hawajui mpira..
REJEA MECHI YA TAR.2/FEB KAGERA vs YANGA.
hivi kwa akili ya kawaida lile linawezekana vipi kuwa goli?..au hizo camera za azam zinazochelewesha matukio zinawadanganya..angalieni upya ile clip utagundua mchezaji wa KS alikua amezidi kabla mpira haujapigwa ila camera ilichelewa kuonesha like tukio na kuonekana yuko sehemu sahihi..anafunga goli sekunde hiyo hiyo kabaki peke yake inawezekana vipi kuwa goli?.Asante Mungu kwa kunipa akili[emoji120]
Lile ni goal
Mimi ndo shabiki mkuu wa Yanga lakini lile lilikuwa goal la wazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kuboresha kamera, waongeze kameraKwa angle iliyochukuliwa na camera za Azam zinaonesha hakuwa katika eneo la kuotea. Ila camera haikuwa angle sahihi ya kuhukumu offside position. Azam waboreshe camera zao
Siyo Goli na ndiyo maana mechi iliisha kwa suluhu.Lingekuwa Goli refa angeamua kuwa ni Goli.Lile ni goal
Mimi ndo shabiki mkuu wa Yanga lakini lile lilikuwa goal la wazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Title na ulichoandika ndani yake ni sawa na kaskazini na kusiniNimegundua watanzania wengi hawajui mpira..
REJEA MECHI YA TAR.2/FEB KAGERA vs YANGA.
hivi kwa akili ya kawaida lile linawezekana vipi kuwa goli?..au hizo camera za azam zinazochelewesha matukio zinawadanganya..angalieni upya ile clip utagundua mchezaji wa KS alikua amezidi kabla mpira haujapigwa ila camera ilichelewa kuonesha like tukio na kuonekana yuko sehemu sahihi..anafunga goli sekunde hiyo hiyo kabaki peke yake inawezekana vipi kuwa goli?.Asante Mungu kwa kunipa akili[emoji120]
Duh, Watanzania Wengi hatujui Mpira...!Nimegundua watanzania wengi hawajui mpira..
REJEA MECHI YA TAR.2/FEB KAGERA vs YANGA.
hivi kwa akili ya kawaida lile linawezekana vipi kuwa goli?..au hizo camera za azam zinazochelewesha matukio zinawadanganya..angalieni upya ile clip utagundua mchezaji wa KS alikua amezidi kabla mpira haujapigwa ila camera ilichelewa kuonesha like tukio na kuonekana yuko sehemu sahihi..anafunga goli sekunde hiyo hiyo kabaki peke yake inawezekana vipi kuwa goli?.Asante Mungu kwa kunipa akili[emoji120]
kuwa shabiki wa yanga haimaanishi unaujua mpiraLile ni goal
Mimi ndo shabiki mkuu wa Yanga lakini lile lilikuwa goal la wazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwehu!Lile ni goal
Mimi ndo shabiki mkuu wa Yanga lakini lile lilikuwa goal la wazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukishaambiwa Kule Simba kumejaa mambumbumbu!! Tena aliyetuhakikishia hilo ni Mwenyekiti wa zamani wa Simba!Nimegundua watanzania wengi hawajui mpira..
REJEA MECHI YA TAR.2/FEB KAGERA vs YANGA.
hivi kwa akili ya kawaida lile linawezekana vipi kuwa goli?..au hizo camera za azam zinazochelewesha matukio zinawadanganya..angalieni upya ile clip utagundua mchezaji wa KS alikua amezidi kabla mpira haujapigwa ila camera ilichelewa kuonesha like tukio na kuonekana yuko sehemu sahihi..anafunga goli sekunde hiyo hiyo kabaki peke yake inawezekana vipi kuwa goli?.Asante Mungu kwa kunipa akili[emoji120]