monta
JF-Expert Member
- May 6, 2014
- 1,271
- 1,803
Nimegundua watanzania wengi hawajui mpira..
REJEA MECHI YA TAR.2/FEB KAGERA vs YANGA.
hivi kwa akili ya kawaida lile linawezekana vipi kuwa goli?..au hizo camera za azam zinazochelewesha matukio zinawadanganya..angalieni upya ile clip utagundua mchezaji wa KS alikua amezidi kabla mpira haujapigwa ila camera ilichelewa kuonesha like tukio na kuonekana yuko sehemu sahihi..anafunga goli sekunde hiyo hiyo kabaki peke yake inawezekana vipi kuwa goli?.Asante Mungu kwa kunipa akili[emoji120]
REJEA MECHI YA TAR.2/FEB KAGERA vs YANGA.
hivi kwa akili ya kawaida lile linawezekana vipi kuwa goli?..au hizo camera za azam zinazochelewesha matukio zinawadanganya..angalieni upya ile clip utagundua mchezaji wa KS alikua amezidi kabla mpira haujapigwa ila camera ilichelewa kuonesha like tukio na kuonekana yuko sehemu sahihi..anafunga goli sekunde hiyo hiyo kabaki peke yake inawezekana vipi kuwa goli?.Asante Mungu kwa kunipa akili[emoji120]