Watanzania wengi hawajui mpira

Watanzania wengi hawajui mpira

monta

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2014
Posts
1,271
Reaction score
1,803
Nimegundua watanzania wengi hawajui mpira..
REJEA MECHI YA TAR.2/FEB KAGERA vs YANGA.

hivi kwa akili ya kawaida lile linawezekana vipi kuwa goli?..au hizo camera za azam zinazochelewesha matukio zinawadanganya..angalieni upya ile clip utagundua mchezaji wa KS alikua amezidi kabla mpira haujapigwa ila camera ilichelewa kuonesha like tukio na kuonekana yuko sehemu sahihi..anafunga goli sekunde hiyo hiyo kabaki peke yake inawezekana vipi kuwa goli?.Asante Mungu kwa kunipa akili[emoji120]
 
Nimegundua watanzania wengi hawajui mpira..
REJEA MECHI YA TAR.2/FEB KAGERA vs YANGA.

hivi kwa akili ya kawaida lile linawezekana vipi kuwa goli?..au hizo camera za azam zinazochelewesha matukio zinawadanganya..angalieni upya ile clip utagundua mchezaji wa KS alikua amezidi kabla mpira haujapigwa ila camera ilichelewa kuonesha like tukio na kuonekana yuko sehemu sahihi..anafunga goli sekunde hiyo hiyo kabaki peke yake inawezekana vipi kuwa goli?.Asante Mungu kwa kunipa akili[emoji120]

Picha yako tu inaonyesha wew unawaza kwa kifupi
 
Kwa angle iliyochukuliwa na camera za Azam zinaonesha hakuwa katika eneo la kuotea. Ila camera haikuwa angle sahihi ya kuhukumu offside position. Azam waboreshe camera zao
 
Kwa angle iliyochukuliwa na camera za Azam zinaonesha hakuwa katika eneo la kuotea. Ila camera haikuwa angle sahihi ya kuhukumu offside position. Azam waboreshe camera zao

Umemaliza mkuu.
 
Kwa angle iliyochukuliwa na camera za Azam zinaonesha hakuwa katika eneo la kuotea. Ila camera haikuwa angle sahihi ya kuhukumu offside position. Azam waboreshe camera zao
Siyo kuboresha kamera, waongeze kamera
 
Nimegundua watanzania wengi hawajui mpira..
REJEA MECHI YA TAR.2/FEB KAGERA vs YANGA.

hivi kwa akili ya kawaida lile linawezekana vipi kuwa goli?..au hizo camera za azam zinazochelewesha matukio zinawadanganya..angalieni upya ile clip utagundua mchezaji wa KS alikua amezidi kabla mpira haujapigwa ila camera ilichelewa kuonesha like tukio na kuonekana yuko sehemu sahihi..anafunga goli sekunde hiyo hiyo kabaki peke yake inawezekana vipi kuwa goli?.Asante Mungu kwa kunipa akili[emoji120]
Title na ulichoandika ndani yake ni sawa na kaskazini na kusini
 
Nimegundua watanzania wengi hawajui mpira..
REJEA MECHI YA TAR.2/FEB KAGERA vs YANGA.

hivi kwa akili ya kawaida lile linawezekana vipi kuwa goli?..au hizo camera za azam zinazochelewesha matukio zinawadanganya..angalieni upya ile clip utagundua mchezaji wa KS alikua amezidi kabla mpira haujapigwa ila camera ilichelewa kuonesha like tukio na kuonekana yuko sehemu sahihi..anafunga goli sekunde hiyo hiyo kabaki peke yake inawezekana vipi kuwa goli?.Asante Mungu kwa kunipa akili[emoji120]
Duh, Watanzania Wengi hatujui Mpira...!

Huu utafiti unapatikana Kwenye Jarida rasmi lipi?

Acha kuwakejeli WaTz...!
 
Nimegundua watanzania wengi hawajui mpira..
REJEA MECHI YA TAR.2/FEB KAGERA vs YANGA.

hivi kwa akili ya kawaida lile linawezekana vipi kuwa goli?..au hizo camera za azam zinazochelewesha matukio zinawadanganya..angalieni upya ile clip utagundua mchezaji wa KS alikua amezidi kabla mpira haujapigwa ila camera ilichelewa kuonesha like tukio na kuonekana yuko sehemu sahihi..anafunga goli sekunde hiyo hiyo kabaki peke yake inawezekana vipi kuwa goli?.Asante Mungu kwa kunipa akili[emoji120]
Mkuu ukishaambiwa Kule Simba kumejaa mambumbumbu!! Tena aliyetuhakikishia hilo ni Mwenyekiti wa zamani wa Simba!
 
Back
Top Bottom