Watanzania wengi hawaogi na hawapaki deodorant

Watanzania wengi hawaogi na hawapaki deodorant

Ee mana inakuaje mtu mzima haogi hadi abembelezwe. Ni aibu kubwa
Shangaa hata wewe, huwa nawaza pale nyumbani kijana asuse kula kwenye nyumba ya nani, huyo hata kwa mkewe hawezi fanya hivyo, hawa sasa wanaolelewa kwenye ma hotpot balaa
 
si uzembe mke anapohakikisha unatoka vizuri nje, umevaaje na utarudi una hali gani katika suala la usafi na unadhifu. Sasa kama una mke mzembe hajui hata kukuchagulia ni nguo gani uvae unapotoka nje, huyo ni mke au kinyago tu? Mke ana nafasi kubwa katika kuangalia usafi na unadhifu wa mume wake, wanawake kwa usafi unadhifu ndiyo jadi yao, waangalie pia waume zao wakoje kiusafi
usafi wa mwili wako ujishughulikie mwenyewe kwanza, huyo mke wako atakuwa ziada tu.
 
Kuna siku nilipanda daladala dah, nikatamani kushuka fasta
Heri ya sikukuu ya sabasaba.

Kwa masikitiko makubwa naomba niwakilishe malalamiko yangu kuhusu ndugu zangu na wananchi wenzangu. Wengi wenu hamuogi, hamfui nguo zenu na hampaki deodorant achilia mbali perfume.

Jana nilikua kwenye misongamano ya watu sehemu mbili tofauti katika jiji la Dar es Salaam, yaani uvundo na harufu mbaya za watu karibu zinifanye nihairishe safari zangu. Imagine unakwenda kumuangalia mgonjwa kwenye wodi ya hospitali ya Muhimbili, kwenye ngazi unapishana na kundi la watu wanaonuka mchanganyiko wa harufu mbaya zenye kustaajabisha.. Halikadhalika, mikusanyiko ya watu kama kwenye maonesho ya sabasaba unaweza kuchefukwa na harufu mbaya za watu na ukastaajabu..

Kwa maoni yangu, sehemu kubwa ya watu hawa hawaogi, hawafui nguo zao, wana magojwa ya fungus miguuni, hawapaki deodorant au manukato.

Nini kifanyike?

1. Elimu ya usafi wa mwili itolewe kuanzia shule za chekechea mpaka vyuoni. Raia wafundishwe umuhimu wa kuoga na kupaka deodorant. Waeleweshwe kwamba kutofanya hivyo ni ukatili kwa wengine kwani kunawasababishia maumivu ya kiakili na kero kubwa;

2. Watu wasiooga au kupaka deodorant wakibainika watozwe fine kwa uchafuzi wa mazingira na kusababishia raia wengine kero na maumivu ya kiakili; na mwisho

3. Wasiruhusiwe kuja mjini.

Namshukuru mkuu wa mkoa mstaafu bwana Paul Makonda aliwahi kulishughulikia ili swala, natumaini Raisi wangu msikivu atalishughulikia pia.

Naomba k
 
Heri ya sikukuu ya sabasaba.

Kwa masikitiko makubwa naomba niwakilishe malalamiko yangu kuhusu ndugu zangu na wananchi wenzangu. Wengi wenu hamuogi, hamfui nguo zenu na hampaki deodorant achilia mbali perfume.

Jana nilikua kwenye misongamano ya watu sehemu mbili tofauti katika jiji la Dar es Salaam, yaani uvundo na harufu mbaya za watu karibu zinifanye nihairishe safari zangu. Imagine unakwenda kumuangalia mgonjwa kwenye wodi ya hospitali ya Muhimbili, kwenye ngazi unapishana na kundi la watu wanaonuka mchanganyiko wa harufu mbaya zenye kustaajabisha.. Halikadhalika, mikusanyiko ya watu kama kwenye maonesho ya sabasaba unaweza kuchefukwa na harufu mbaya za watu na ukastaajabu..

Kwa maoni yangu, sehemu kubwa ya watu hawa hawaogi, hawafui nguo zao, wana magojwa ya fungus miguuni, hawapaki deodorant au manukato.

Nini kifanyike?

1. Elimu ya usafi wa mwili itolewe kuanzia shule za chekechea mpaka vyuoni. Raia wafundishwe umuhimu wa kuoga na kupaka deodorant. Waeleweshwe kwamba kutofanya hivyo ni ukatili kwa wengine kwani kunawasababishia maumivu ya kiakili na kero kubwa;

2. Watu wasiooga au kupaka deodorant wakibainika watozwe fine kwa uchafuzi wa mazingira na kusababishia raia wengine kero na maumivu ya kiakili; na mwisho

3. Wasiruhusiwe kuja mjini.

Namshukuru mkuu wa mkoa mstaafu bwana Paul Makonda aliwahi kulishughulikia ili swala, natumaini Raisi wangu msikivu atalishughulikia pia.

Naomba kuwasilisha
Yaah,
Dar es salaam Kuna kipindi ni Cha joto so mishee mishe zikiwa juani kunuka jasho kawaida.....

Ni tofaut na wanao shinda kwenye kiyoyozi..full AC

PAUL MAKONDA atakumbukwa,

Paul makonda aliwai kuwaambia WATU,
Wanapo kuja dar es salaam Kwa ndugu au kutembea wasikae sanaa........😀😀😊😊😂😂🤣🤣

Pia aliwai kuwa ambia watu kwenye Vyumba vya kupanga wasikae zaidi ya watu WAWILI.....
Una Kuta chumba Cha kupanga kina watu zaidi ya Saba....alikemea sana hili swala.....😊😊😊😊
 
Heri ya sikukuu ya sabasaba.

Kwa masikitiko makubwa naomba niwakilishe malalamiko yangu kuhusu ndugu zangu na wananchi wenzangu. Wengi wenu hamuogi, hamfui nguo zenu na hampaki deodorant achilia mbali perfume.

Jana nilikua kwenye misongamano ya watu sehemu mbili tofauti katika jiji la Dar es Salaam, yaani uvundo na harufu mbaya za watu karibu zinifanye nihairishe safari zangu. Imagine unakwenda kumuangalia mgonjwa kwenye wodi ya hospitali ya Muhimbili, kwenye ngazi unapishana na kundi la watu wanaonuka mchanganyiko wa harufu mbaya zenye kustaajabisha.. Halikadhalika, mikusanyiko ya watu kama kwenye maonesho ya sabasaba unaweza kuchefukwa na harufu mbaya za watu na ukastaajabu..

Kwa maoni yangu, sehemu kubwa ya watu hawa hawaogi, hawafui nguo zao, wana magojwa ya fungus miguuni, hawapaki deodorant au manukato.

Nini kifanyike?

1. Elimu ya usafi wa mwili itolewe kuanzia shule za chekechea mpaka vyuoni. Raia wafundishwe umuhimu wa kuoga na kupaka deodorant. Waeleweshwe kwamba kutofanya hivyo ni ukatili kwa wengine kwani kunawasababishia maumivu ya kiakili na kero kubwa;

2. Watu wasiooga au kupaka deodorant wakibainika watozwe fine kwa uchafuzi wa mazingira na kusababishia raia wengine kero na maumivu ya kiakili; na mwisho

3. Wasiruhusiwe kuja mjini.

Namshukuru mkuu wa mkoa mstaafu bwana Paul Makonda aliwahi kulishughulikia ili swala, natumaini Raisi wangu msikivu atalishughulikia pia.

Naomba kuwasilisha
Kuoga wanaoga ila wengi sana hawapaki deodorant,utasikia mtu mimi sina harufu ya jasho kabisa,anasahau kuwa harufu yako mwenyewe huwezi kuifeel kama ni mbaya kwakuwa ameshaizoea...
 
Kuoga wanaoga ila wengi sana hawapaki deodorant,utasikia mtu mimi sina harufu ya jasho kabisa,anasahau kuwa harufu yako mwenyewe huwezi kuifeel kama ni mbaya kwakuwa ameshaizoea...
Hakika
 
Yaah,
Dar es salaam Kuna kipindi ni Cha joto so mishee mishe zikiwa juani kunuka jasho kawaida.....

Ni tofaut na wanao shinda kwenye kiyoyozi..full AC

PAUL MAKONDA atakumbukwa,

Paul makonda aliwai kuwaambia WATU,
Wanapo kuja dar es salaam Kwa ndugu au kutembea wasikae sanaa........😀😀😊😊😂😂🤣🤣

Pia aliwai kuwa ambia watu kwenye Vyumba vya kupanga wasikae zaidi ya watu WAWILI.....
Una Kuta chumba Cha kupanga kina watu zaidi ya Saba....alikemea sana hili swala.....😊😊😊😊
Cha msingi watu waoge, waoshe vinywa na kupaka deodorants
 
Halafu ukute mwingine hata anapojisaidia during the day hawatawazi vizuri basi weee ni mtihani nakwambia!


Sipati picha!

Halafu Eti akwambie “Mpenzi geukia kwangu” [emoji3][emoji28]

Mmnh hapana jamani!
 
Na wengine hata akioga anafanya kujimwagia tu maji!

Hapaki sabuni na kutoa povu jingi na kujisugua makwapani na huko chini “karakana” kwenye mikunjo.

Unajua maumbile ya kiume yako a bit complex ukilinganisha Na ya mwanamke!
 
And all these begin with mindsets.

Tuchukie uchafu wa aina zote.

Uchafu ni chanzo cha magonjwa mengi sana.

Ndiyo maana wengine wanapata magonjwa ya ngozi , tumbo, n.k.
 
Back
Top Bottom