Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,311
- 1,018
Ukiangalia kwa jicho la kawaida tu, watanzania wengi hawapendi kusafiri hasa kwenda nje ya nchi.
Ndio maana hata fursa nyingi za nje ya nchi zimebebwa na Afrika Magharibi na Kenya.
Why this🤔🤔
Ndio maana hata fursa nyingi za nje ya nchi zimebebwa na Afrika Magharibi na Kenya.
Why this🤔🤔