Watanzania wengi ni wajinga, mtu anapokubali kuwa raia wa Tanzania halafu ana kipaji badala ya kufurahia wao wanachukia.

Watanzania wengi ni wajinga, mtu anapokubali kuwa raia wa Tanzania halafu ana kipaji badala ya kufurahia wao wanachukia.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Miaka 2 nyuma niliandika sana mitandaoni kuwa serikali impe uraia Mayele . Mayele ni hazina.
Kuna wachezaji majuzi wamepewa uraia kuna watu wanakwazika. Hii ni roho ya kichawi. Tanzania ina mapori mengi hayana watu. Tukigawa kwa square meter bado kila Mtanzania ataweza kumiliki eneo kubwa la ardhi. Sasa chuki za nini?
Au tatizo ni uelewa mdogo?
Kuna member mmoja humu mpaka anatamani John pombe afufuke ili awatimue hao wageni.
John pombe mungu wa wajinga na wapumbavu mbona mnautukuza sana huku hana maajabu?
Acheni uchawi na roho za kishamba.
Kama mtu anaweza kupewa uraia maana yake anaweza pia kunyang'anywa muda wowote. Hofu yenu iko wapi?
Mbona Mtanzania akipewa uraia wa harakaharaka South Africa, Namibia au US hampigi kelele.
Tatizo hata exposure hamna, mkisafiri na Shabib, Saibaba au super Feo ndio mmemaliza.
Washamba wanakuja na hoja ooohoo Sheria hazijafuatwa. Ukimuuliza Sheria zipi hana jibu anabaki kukodoa macho kama mjusi.
 
Miaka 2 nyuma niliandika sana mitandaoni kuwa serikali impe uraia Mayele . Mayele ni hazina.
Kuna wachezaji majuzi wamepewa uraia kuna watu wanakwazika. Hii ni roho ya kichawi. Tanzania ina mapori mengi hayana watu. Tukigawa kwa square meter bado kila Mtanzania ataweza kumiliki eneo kubwa la ardhi. Sasa chuki za nini?
Au tatizo ni uelewa mdogo?
Kuna member mmoja humu mpaka anatamani John pombe afufuke ili awatimue hao wageni.
John pombe mungu wa wajinga na wapumbavu mbona mnautukuza sana huku hana maajabu?
Tanzania ina raia mil 60 plus. Sidhani kama tuna uhaba wa wachezaji. Tatizo ni uendelezaji vipaji. Tuwape uraia watu wenye manufaa na siyo hawa mabwanga wanaofifisha akili za wabongo ili wafikirie mpira muda wote.
 
Kwanini wasiende kuchezea huko kwao, watanzania wengi wana vipaji ukienda ndondo unawaona unajiuliza huyu mbona hata pale Arsenal anamkalisha bench B.Saka. Tatizo ni figisufigisu usimamizi mbovu, kutoa uraia sio solution nzuri.
...
kuna madogo wa mtaani walishinda world cup pale brazil leo wako wapi kuna kizazi dhahabu cha serengeti boys kiko wapi leo.
af mgeni anakuja anapewa uraia kwamba tunyamaze tu.
 
Miaka 2 nyuma niliandika sana mitandaoni kuwa serikali impe uraia Mayele . Mayele ni hazina.
Kuna wachezaji majuzi wamepewa uraia kuna watu wanakwazika. Hii ni roho ya kichawi. Tanzania ina mapori mengi hayana watu. Tukigawa kwa square meter bado kila Mtanzania ataweza kumiliki eneo kubwa la ardhi. Sasa chuki za nini?
Au tatizo ni uelewa mdogo?
Kuna member mmoja humu mpaka anatamani John pombe afufuke ili awatimue hao wageni.
John pombe mungu wa wajinga na wapumbavu mbona mnautukuza sana huku hana maajabu?
😃Tukuhoji tukianza kupokea Kila kizuri tutakuwa na vingapi ?mfano mpira tunachukuwa wazuri,bado mziki, wafanyabiashara n.k wakati Hali ya nchi yako unaijua vzr Tu ....La msingi tutambue ukiona vyaelea ujue vimeundwa tujipange vzr wakina Msuva watakuwa weeng Tu mbona
 
Miaka 2 nyuma niliandika sana mitandaoni kuwa serikali impe uraia Mayele . Mayele ni hazina.
Kuna wachezaji majuzi wamepewa uraia kuna watu wanakwazika. Hii ni roho ya kichawi. Tanzania ina mapori mengi hayana watu. Tukigawa kwa square meter bado kila Mtanzania ataweza kumiliki eneo kubwa la ardhi. Sasa chuki za nini?
Au tatizo ni uelewa mdogo?
Kuna member mmoja humu mpaka anatamani John pombe afufuke ili awatimue hao wageni.
John pombe mungu wa wajinga na wapumbavu mbona mnautukuza sana huku hana maajabu?
Kati ya John pombe na wewe nani mtu wa maana? akili zako hazina akili...
 
Wewe ni mpumbavu,siku moja jaribu kutoka nje ya hii nchi ukaone jinsi watu walivyomakini na suala la uraia,huwezi kupewa uraia kwa mambo ya Kisenge kama hayo na ww unakuja humu kuandika huu Upuuzi,unapo mpa mtu uraia sababu ya mpira unapaswa ujiulize siku akipata ajali au kiwango chake kikishuka je? Uzalendo wake upo wapi?

Na siku akigombea Ubunge au Uraisi mtampa au ndio mtasema ni Mghana?

Hii nchi ina mengi ya kufanya zaidi ya mpira na Usalama wa nchi na watu wake ni suala la kwanza sio kila mtu anapaswa kuwa raia,

Nenda Rwanda au Kenya ukacheze mpira kisha ndani ya muda mfupi ukaombe uraia wao km utapewa Kisenge namna hii,

Uraia hautolewi sababu ya kipaji cha mpira pekee bali kwa anayeomba kuamini kuwa yupo tayari kuilinda na kuipigania nchi hiyo sio kwa mambo yenu ya Kisenge,

Tanzania imekuwa nchi ya wapumbavu sana,unaacha kuwapa uraia Innovators walete tija kwenye ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini unaenda kuwapa wacheza mpira ili watanzania waendelee kuchekacheka,

Sasa ni wakati hii nchi iendeshwe kwa mfumo wa Majimbo ili wanaopenda mambo ya Kisenge na Ushoga wawe kwao na wale waliopo siriazi na maisha na hii wakae kwao.

Huu mtandao umekuwa wa kipumbavu sana yaani Home Of Great Thinkers km ndio hawa na mada za Kisenge namna hii au mada za kila siku ni kuwatukana Single Mother itatuchukua miaka hata 100 kuifikia Kenya tu katika kujitambua.
 
Wewe mwenye akili ipo siku kagame au museven watakuja omba uraia huku ili wagombee urais utaanza tena kuwalaumu watanzania wenzio kuwakatalia uraia kisa wana vipaji
 
Jiulize km Wana nia njema hivo kwnn hawataki Sheria ya uraia pacha!!!km umewahi kuomba passport ya tz utaelewa vikwazo vilivopo sasa ndo mana jamii inapiga kelele kwnn mpira TU mtu apewe uraia ???
 
Akili yako inawaza mapori na ardhi tu.

Kwanza ni ngumu mno mtu kuikana nchi yake ghafla vile kwa utashi wake tu labda ingekuwa kapata Ulaya hivi,lazima kuna shinikizo!

Wachezaji wenyewe ni kachumbari tupu,hakuna mpira wowote wa maana mle ni hitaji la kukwepa kanuni tu.

Kuna wakimbizi mamia wamepewa uraia nchi hii,uliwahi kusikia mjadala wa kuwakataa?

Mchakato unatia shaka!
 
Miaka 2 nyuma niliandika sana mitandaoni kuwa serikali impe uraia Mayele . Mayele ni hazina.
Kuna wachezaji majuzi wamepewa uraia kuna watu wanakwazika. Hii ni roho ya kichawi. Tanzania ina mapori mengi hayana watu. Tukigawa kwa square meter bado kila Mtanzania ataweza kumiliki eneo kubwa la ardhi. Sasa chuki za nini?
Au tatizo ni uelewa mdogo?
Kuna member mmoja humu mpaka anatamani John pombe afufuke ili awatimue hao wageni.
John pombe mungu wa wajinga na wapumbavu mbona mnautukuza sana huku hana maajabu?
Siyo wote wajinga mkuu! Waliyoanzisha hii agenda ni makolo aka mbumbumbu pamaja wachambuzi fake ambao ni mameneja wa wachezaji wanahofia kukosa soko kwa wachezaji wao wabovu!

Kumbukeni hawa wachambuzi fake ambao ni mameneja wa hao wachezaji waliwahi kuja na agenda ya wazawa kwanza ikafeli sasa wanatokea huku🚮🚮
 
Miaka 2 nyuma niliandika sana mitandaoni kuwa serikali impe uraia Mayele . Mayele ni hazina.
Kuna wachezaji majuzi wamepewa uraia kuna watu wanakwazika. Hii ni roho ya kichawi. Tanzania ina mapori mengi hayana watu. Tukigawa kwa square meter bado kila Mtanzania ataweza kumiliki eneo kubwa la ardhi. Sasa chuki za nini?
Au tatizo ni uelewa mdogo?
Kuna member mmoja humu mpaka anatamani John pombe afufuke ili awatimue hao wageni.
John pombe mungu wa wajinga na wapumbavu mbona mnautukuza sana huku hana maajabu?
Zifuatwe Sheria kwenye kuwapa huo uraia na sio mihemko na machizi kama wewe
 
Back
Top Bottom