DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hapa Tanzania Biashara ya siasa inalipa Sana kuzidi hata kufanya Kazi BOT .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa ya chai hiyo hakosi more than 10 billionmbowe benk hakosi billion 500
mbowe ni tajiri sema sio mshamba wa hela
Nadella alikuwa mlala hoi tuu bila connection yeyote, aliingia US kusoma kama wengine na alipiga box kama kwa kuanzia, tofauti alikuwa smart na harworker kuliko wengineSattya nadella amejiariwa na Microsoft kwahiyo nani lofa hapo kati ya wewe na Nadelaa
Bilioni 500 ni pesa ya chai kwa mbowe?Pesa ya chai hiyo hakosi more than 10 billion
Mkuu nakubali Mbowe tajirii ila hiyo pesa ni ndefuu sanaaaa yaani nahisi hata hujui uhalisia wake. Hiyo pesa inajenga zile tower za NHC Morocco square na chenji inabaki.mbowe benk hakosi billion 500
mbowe ni tajiri sema sio mshamba wa hela
Huyo naona hajui hata anachokiongeaMkuu nakubali Mbowe tajirii ila hiyo pesa ni ndefuu sanaaaa yaani nahisi hata hujui uhalisia wake. Hiyo pesa inajenga zile tower za NHC Morocco square na chenji inabaki.
Unawajua Kiwango Security uko tayari kukabiliana nao ?Mnaonajee tukamteke mbowe
Yani milion laki 5.... Yani unahesabu mafungu ya milion milion mpaka laki tanoUnaijua 500bn wewe ?