Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Sehemu kubwa ya watanzania ni waoga sana kwenye kupambana hadharani na CCM.
Lakini watanzania hao hao ni mafundi wabobevu kwenye kuilaumu CHADEMA.
Na watanzania wengi sana ni rahisi na wanaona ni salama kwao kushabikia propaganda za CCM dhidi ya CHADEMA kuliko kuunga mkono ukweli unaosemwa na CHADEMA dhidi ya CCM.
CCM inafanya dhuluma na hujuma lukuki dhidi ya watanzania, lakini watanzania hao hao badala ya kuiona CCM ndiyo chanzo cha matatizo yao wenyewe huishia kuilaumu CHADEMA kwa matendo mabaya wanayotendewa na CCM.
Watanzania waoga hawawezi kuitoa CCM madarakani. Na wale wenye ndoto ya kizazi kingine kije kupambana na CCM, niwaeleze tu kuwa huu uoga na uzembe wetu, tunawarithisha na watoto wetu.
Lakini watanzania hao hao ni mafundi wabobevu kwenye kuilaumu CHADEMA.
Na watanzania wengi sana ni rahisi na wanaona ni salama kwao kushabikia propaganda za CCM dhidi ya CHADEMA kuliko kuunga mkono ukweli unaosemwa na CHADEMA dhidi ya CCM.
CCM inafanya dhuluma na hujuma lukuki dhidi ya watanzania, lakini watanzania hao hao badala ya kuiona CCM ndiyo chanzo cha matatizo yao wenyewe huishia kuilaumu CHADEMA kwa matendo mabaya wanayotendewa na CCM.
Watanzania waoga hawawezi kuitoa CCM madarakani. Na wale wenye ndoto ya kizazi kingine kije kupambana na CCM, niwaeleze tu kuwa huu uoga na uzembe wetu, tunawarithisha na watoto wetu.