Watanzania wengi ni waoga wamebaki kuilaumu CHADEMA

Watanzania wengi ni waoga wamebaki kuilaumu CHADEMA

Sidhani kama watu wanailaum CHADEMA kwa madhila ya CCM,Kutokana na ukweli kwamba ndo chama kikubwa cha Upinzani Tanzania ilitegemewa kiwe kimbilio la watu. Kinalaumiwa kwa kushindwa kuwa chama mbadala wa CCM kilichobeba sura ya kitaifa .CHADEMA inabaki kuwa mali ya watu wa kaskazini.
Kwa hiyo watu watajitokeza kupigania haki zao pale tu ambapo Chadema itakuwa na viongozi wa kabila lao? Hilo litawezekana vipi katika nchi yenye makabila zaidi ya 120! Ma ukitoka hapo utazungumzia suala la dini. Kuna usemi kuwa "haijalishi rangi ya paka mradi anakamata panya". Wewe endelea kutafuta paka wa blue wakati panya wanaendelea kukutesa!

Amandla...
 
Mbowe kapokea uenyekiti toka kwa msukuma Hayati Mzee Bob Nyange Makani ambaye pia alikuwa ni Muislamu.

Mambo ya kukaririshwa na CCM uongo halafu ndiyo uufanye ni uhalisia, yatakuja kukuaibisha siku moja.

CCM watu wa ajabu Sana. Mlikuwa mnasema CUF ni chama cha waislam kisa viongozi wake wengi walitoka Zanzibar.

Mkazusha mpaka kusema eti CUF ikishinda Zanzibar itageuka kuwa paradiso ya waislamu wenye siasa Kali. Na alieandika hayo kwenye Jarida la The Hill la Marekani ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wenu Taifa na ambaye ni muislamu, Abdulrahman Kinana.

Kumbe kwa CCM linapokuja suala la kuzusha hata wale usiowatarajia huzusha. Hivi huko Kaskazini hakuna CCM? Mbona tangu kuanzishwa kwake CHADEMA haijawahi kushinda kwenye Kanda ya Kaskazini hata Kwa asilimia 50 tu?
Mbowe kapokea uenyekiti toka kwa msukuma Hayati Mzee Bob Nyange Makani ambaye pia alikuwa ni Muislamu.

Mambo ya kukaririshwa na CCM uongo halafu ndiyo uufanye ni uhalisia, yatakuja kukuaibisha siku moja.

CCM watu wa ajabu Sana. Mlikuwa mnasema CUF ni chama cha waislam kisa viongozi wake wengi walitoka Zanzibar.

Mkazusha mpaka kusema eti CUF ikishinda Zanzibar itageuka kuwa paradiso ya waislamu wenye siasa Kali. Na alieandika hayo kwenye Jarida la The Hill la Marekani ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wenu Taifa na ambaye ni muislamu, Abdulrahman Kinana.

Kumbe kwa CCM linapokuja suala la kuzusha hata wale usiowatarajia huzusha. Hivi huko Kaskazini hakuna CCM? Mbona tangu kuanzishwa kwake CHADEMA haijawahi kushinda kwenye Kanda ya Kaskazini hata Kwa asilimia 50 tu?
CHADEMA haina watu we
Mbowe kapokea uenyekiti toka kwa msukuma Hayati Mzee Bob Nyange Makani ambaye pia alikuwa ni Muislamu.

Mambo ya kukaririshwa na CCM uongo halafu ndiyo uufanye ni uhalisia, yatakuja kukuaibisha siku moja.

CCM watu wa ajabu Sana. Mlikuwa mnasema CUF ni chama cha waislam kisa viongozi wake wengi walitoka Zanzibar.

Mkazusha mpaka kusema eti CUF ikishinda Zanzibar itageuka kuwa paradiso ya waislamu wenye siasa Kali. Na alieandika hayo kwenye Jarida la The Hill la Marekani ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wenu Taifa na ambaye ni muislamu, Abdulrahman Kinana.

Kumbe kwa CCM linapokuja suala la kuzusha hata wale usiowatarajia huzusha. Hivi huko Kaskazini hakuna CCM? Mbona tangu kuanzishwa kwake CHADEMA haijawahi kushinda kwenye Kanda ya Kaskazini hata Kwa asilimia 50 tu?
Bob Makani alikuwa mwenyekiti miaka 5 (1998-2003)
Baada ya hapo akamuachia Mbowe mpaka leo.Ndo unyumbu tunaouzungumzia CHADEMA hakuna watu wengine wa kushika nafasi hyo.Hilo la kaskazini liko wazi ,hamuwezi kuwadanganya watanzania wote mda wote.
 
Hassani Kwa staili yako ya kufikiri wewe unakuwa miongoni mwa watanzania wanaoifanya CCM ijione imejaza majiniaz.
 
Chadema ilitumia mkakati wa ovyo wa kutaka madaraka(ukabila na ukanda) ,nani alaumiwe?Watanzania hawako tayari kugawanywa Mkuu,badilisheni jina la chadema na pia uongozi wa chama ,hakuna namna hata kidigo wakuu.
Chadema ni chama kilichosambaa nchi nzima. Na kila mahali kuna viongozi wa chama kutoka eneo husika. Hakuna ukabila, ukanda, wala udini, Chadema.
 
Watu wajinga wanafikiri CCM itaamka tu asbuhi iwapatie Katiba mpya & afu iwakabidhi nchi waiongoze - hilo watanzania wasahau halipo.
Hata wana wa Islael pamoja na kuwa na Mungu wao ambaye kuwaahidi kuwatoa Misri haikuwa lelemama kuna gharama walizilipa tena ni nyingi na za hatari kubwa.
 
Chadema ni chama kilichosambaa nchi nzima. Na kila mahali kuna viongozi wa chama kutoka eneo husika. Hakuna ukabila, ukanda, wala udini, Chadema.
Mbona wasemaji ni watatu tu ,Lema,Mbowe na Mrema?
 
Mbona wasemaji ni watatu tu ,Lema,Mbowe na Mrema?

Chadema kila mtu ni msemaji. Wana uhuru mkubwa sana wa kutoa mawazo yao. Ukifuatilia ktk mtandao utaona Chadema kila mahali wanakisemea chama chao.
 
Sehemu kubwa ya watanzania ni waoga sana kwenye kupambana hadharani na CCM.

Lakini watanzania hao hao ni mafundi wabobevu kwenye kuilaumu CHADEMA.

Na watanzania wengi sana ni rahisi na wanaona ni salama kwao kushabikia propaganda za CCM dhidi ya CHADEMA kuliko kuunga mkono ukweli unaosemwa na CHADEMA dhidi ya CCM.

CCM inafanya dhuluma na hujuma lukuki dhidi ya watanzania, lakini watanzania hao hao badala ya kuiona CCM ndiyo chanzo cha matatizo yao wenyewe huishia kuilaumu CHADEMA kwa matendo mabaya wanayotendewa na CCM.

Watanzania waoga hawawezi kuitoa CCM madarakani. Na wale wenye ndoto ya kizazi kingine kije kupambana na CCM, niwaeleze tu kuwa huu uoga na uzembe wetu, tunawarithisha na watoto wetu.
Tumeandaliwa kuto kuhoji na tatizo la kuhoji linaanzia ngazi ya familia, kuna vitu ukihoji kwenye ngazi ya familia utaambia kama umekua uondoke hili limebebwa hadi kwenye ngazi zote za maisha, kanisani, shuleni, kazini, na kwenye mihimili
 
Sehemu kubwa ya watanzania ni waoga sana kwenye kupambana hadharani na CCM.

Lakini watanzania hao hao ni mafundi wabobevu kwenye kuilaumu CHADEMA.

Na watanzania wengi sana ni rahisi na wanaona ni salama kwao kushabikia propaganda za CCM dhidi ya CHADEMA kuliko kuunga mkono ukweli unaosemwa na CHADEMA dhidi ya CCM.

CCM inafanya dhuluma na hujuma lukuki dhidi ya watanzania, lakini watanzania hao hao badala ya kuiona CCM ndiyo chanzo cha matatizo yao wenyewe huishia kuilaumu CHADEMA kwa matendo mabaya wanayotendewa na CCM.

Watanzania waoga hawawezi kuitoa CCM madarakani. Na wale wenye ndoto ya kizazi kingine kije kupambana na CCM, niwaeleze tu kuwa huu uoga na uzembe wetu, tunawarithisha na watoto wetu.
Kabisa ni watu waoga na wajinga sana!
 
Kikubwa ni kukaza kupambania maisha yako binafsi kwanza.Achana na kupambania maisha ya watu waoga na wajinga.
 
CDM haijafeli kwa lolote zaidi sana imezidiwa kwa hila na ghiliba za kimfumo zinazofavour CCM.

Matatizo yaliyopo CDM ni ya kawaida na yanatatulika,

Tatizo ni Watanzania wenyewe.
 
Utabisha ila hilo liko wazi,miaka nenda rudi mwenyekiti ni Mbowe baada ya ba mkwe wake.CCM unaweza observe hvyo leo,lakini miaka 5 iliyopita viongozi asilimi 70% walikuwa wakristo si ajabu miaka mitano ijayo pia ikabadilika.Utatumia nguvu nyingi hila kwenye hilo CHADEMA imefeli period.
Ila nawe jamaa una ubongo unatepeta mno bana!
Hoja za kishamba unaibuka nazo huku.
 
Na kama unafikiri utawala wa chadema utakupa ajira na kumaliza mgao wa maji kalaga baho😂
Kwa ivo Kwa CCM hizo ni shida za kudumu?

Kwa ivo Kwa CCM nakisi ya ajira inatakiwa iwe asilimia ngapi toka hizi asilimia 70 za sasa?
 
Sasa kama wanataka kuuana wasilaumiwe?
 

Attachments

  • IMG-20241117-WA0032.jpg
    IMG-20241117-WA0032.jpg
    118.5 KB · Views: 0
Back
Top Bottom