Mbowe kapokea uenyekiti toka kwa msukuma Hayati Mzee Bob Nyange Makani ambaye pia alikuwa ni Muislamu.
Mambo ya kukaririshwa na CCM uongo halafu ndiyo uufanye ni uhalisia, yatakuja kukuaibisha siku moja.
CCM watu wa ajabu Sana. Mlikuwa mnasema CUF ni chama cha waislam kisa viongozi wake wengi walitoka Zanzibar.
Mkazusha mpaka kusema eti CUF ikishinda Zanzibar itageuka kuwa paradiso ya waislamu wenye siasa Kali. Na alieandika hayo kwenye Jarida la
The Hill la Marekani ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wenu Taifa na ambaye ni muislamu, Abdulrahman Kinana.
Kumbe kwa CCM linapokuja suala la kuzusha hata wale usiowatarajia huzusha. Hivi huko Kaskazini hakuna CCM? Mbona tangu kuanzishwa kwake CHADEMA haijawahi kushinda kwenye Kanda ya Kaskazini hata Kwa asilimia 50 tu?
Mbowe kapokea uenyekiti toka kwa msukuma Hayati Mzee Bob Nyange Makani ambaye pia alikuwa ni Muislamu.
Mambo ya kukaririshwa na CCM uongo halafu ndiyo uufanye ni uhalisia, yatakuja kukuaibisha siku moja.
CCM watu wa ajabu Sana. Mlikuwa mnasema CUF ni chama cha waislam kisa viongozi wake wengi walitoka Zanzibar.
Mkazusha mpaka kusema eti CUF ikishinda Zanzibar itageuka kuwa paradiso ya waislamu wenye siasa Kali. Na alieandika hayo kwenye Jarida la The Hill la Marekani ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wenu Taifa na ambaye ni muislamu, Abdulrahman Kinana.
Kumbe kwa CCM linapokuja suala la kuzusha hata wale usiowatarajia huzusha. Hivi huko Kaskazini hakuna CCM? Mbona tangu kuanzishwa kwake CHADEMA haijawahi kushinda kwenye Kanda ya Kaskazini hata Kwa asilimia 50 tu?
CHADEMA haina watu we
Mbowe kapokea uenyekiti toka kwa msukuma Hayati Mzee Bob Nyange Makani ambaye pia alikuwa ni Muislamu.
Mambo ya kukaririshwa na CCM uongo halafu ndiyo uufanye ni uhalisia, yatakuja kukuaibisha siku moja.
CCM watu wa ajabu Sana. Mlikuwa mnasema CUF ni chama cha waislam kisa viongozi wake wengi walitoka Zanzibar.
Mkazusha mpaka kusema eti CUF ikishinda Zanzibar itageuka kuwa paradiso ya waislamu wenye siasa Kali. Na alieandika hayo kwenye Jarida la The Hill la Marekani ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wenu Taifa na ambaye ni muislamu, Abdulrahman Kinana.
Kumbe kwa CCM linapokuja suala la kuzusha hata wale usiowatarajia huzusha. Hivi huko Kaskazini hakuna CCM? Mbona tangu kuanzishwa kwake CHADEMA haijawahi kushinda kwenye Kanda ya Kaskazini hata Kwa asilimia 50 tu?
Bob Makani alikuwa mwenyekiti miaka 5 (1998-2003)
Baada ya hapo akamuachia Mbowe mpaka leo.Ndo unyumbu tunaouzungumzia CHADEMA hakuna watu wengine wa kushika nafasi hyo.Hilo la kaskazini liko wazi ,hamuwezi kuwadanganya watanzania wote mda wote.