Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Kwa hiyo watu watajitokeza kupigania haki zao pale tu ambapo Chadema itakuwa na viongozi wa kabila lao? Hilo litawezekana vipi katika nchi yenye makabila zaidi ya 120! Ma ukitoka hapo utazungumzia suala la dini. Kuna usemi kuwa "haijalishi rangi ya paka mradi anakamata panya". Wewe endelea kutafuta paka wa blue wakati panya wanaendelea kukutesa!Sidhani kama watu wanailaum CHADEMA kwa madhila ya CCM,Kutokana na ukweli kwamba ndo chama kikubwa cha Upinzani Tanzania ilitegemewa kiwe kimbilio la watu. Kinalaumiwa kwa kushindwa kuwa chama mbadala wa CCM kilichobeba sura ya kitaifa .CHADEMA inabaki kuwa mali ya watu wa kaskazini.
Mbowe kapokea uenyekiti toka kwa msukuma Hayati Mzee Bob Nyange Makani ambaye pia alikuwa ni Muislamu.
Mambo ya kukaririshwa na CCM uongo halafu ndiyo uufanye ni uhalisia, yatakuja kukuaibisha siku moja.
CCM watu wa ajabu Sana. Mlikuwa mnasema CUF ni chama cha waislam kisa viongozi wake wengi walitoka Zanzibar.
Mkazusha mpaka kusema eti CUF ikishinda Zanzibar itageuka kuwa paradiso ya waislamu wenye siasa Kali. Na alieandika hayo kwenye Jarida la The Hill la Marekani ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wenu Taifa na ambaye ni muislamu, Abdulrahman Kinana.
Kumbe kwa CCM linapokuja suala la kuzusha hata wale usiowatarajia huzusha. Hivi huko Kaskazini hakuna CCM? Mbona tangu kuanzishwa kwake CHADEMA haijawahi kushinda kwenye Kanda ya Kaskazini hata Kwa asilimia 50 tu?CHADEMA haina watu weMbowe kapokea uenyekiti toka kwa msukuma Hayati Mzee Bob Nyange Makani ambaye pia alikuwa ni Muislamu.
Mambo ya kukaririshwa na CCM uongo halafu ndiyo uufanye ni uhalisia, yatakuja kukuaibisha siku moja.
CCM watu wa ajabu Sana. Mlikuwa mnasema CUF ni chama cha waislam kisa viongozi wake wengi walitoka Zanzibar.
Mkazusha mpaka kusema eti CUF ikishinda Zanzibar itageuka kuwa paradiso ya waislamu wenye siasa Kali. Na alieandika hayo kwenye Jarida la The Hill la Marekani ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wenu Taifa na ambaye ni muislamu, Abdulrahman Kinana.
Kumbe kwa CCM linapokuja suala la kuzusha hata wale usiowatarajia huzusha. Hivi huko Kaskazini hakuna CCM? Mbona tangu kuanzishwa kwake CHADEMA haijawahi kushinda kwenye Kanda ya Kaskazini hata Kwa asilimia 50 tu?Bob Makani alikuwa mwenyekiti miaka 5 (1998-2003)Mbowe kapokea uenyekiti toka kwa msukuma Hayati Mzee Bob Nyange Makani ambaye pia alikuwa ni Muislamu.
Mambo ya kukaririshwa na CCM uongo halafu ndiyo uufanye ni uhalisia, yatakuja kukuaibisha siku moja.
CCM watu wa ajabu Sana. Mlikuwa mnasema CUF ni chama cha waislam kisa viongozi wake wengi walitoka Zanzibar.
Mkazusha mpaka kusema eti CUF ikishinda Zanzibar itageuka kuwa paradiso ya waislamu wenye siasa Kali. Na alieandika hayo kwenye Jarida la The Hill la Marekani ni aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wenu Taifa na ambaye ni muislamu, Abdulrahman Kinana.
Kumbe kwa CCM linapokuja suala la kuzusha hata wale usiowatarajia huzusha. Hivi huko Kaskazini hakuna CCM? Mbona tangu kuanzishwa kwake CHADEMA haijawahi kushinda kwenye Kanda ya Kaskazini hata Kwa asilimia 50 tu?
Baada ya hapo akamuachia Mbowe mpaka leo.Ndo unyumbu tunaouzungumzia CHADEMA hakuna watu wengine wa kushika nafasi hyo.Hilo la kaskazini liko wazi ,hamuwezi kuwadanganya watanzania wote mda wote.
Chadema ni chama kilichosambaa nchi nzima. Na kila mahali kuna viongozi wa chama kutoka eneo husika. Hakuna ukabila, ukanda, wala udini, Chadema.Chadema ilitumia mkakati wa ovyo wa kutaka madaraka(ukabila na ukanda) ,nani alaumiwe?Watanzania hawako tayari kugawanywa Mkuu,badilisheni jina la chadema na pia uongozi wa chama ,hakuna namna hata kidigo wakuu.
Mbona wasemaji ni watatu tu ,Lema,Mbowe na Mrema?Chadema ni chama kilichosambaa nchi nzima. Na kila mahali kuna viongozi wa chama kutoka eneo husika. Hakuna ukabila, ukanda, wala udini, Chadema.
Mbona wasemaji ni watatu tu ,Lema,Mbowe na Mrema?
Tumeandaliwa kuto kuhoji na tatizo la kuhoji linaanzia ngazi ya familia, kuna vitu ukihoji kwenye ngazi ya familia utaambia kama umekua uondoke hili limebebwa hadi kwenye ngazi zote za maisha, kanisani, shuleni, kazini, na kwenye mihimiliSehemu kubwa ya watanzania ni waoga sana kwenye kupambana hadharani na CCM.
Lakini watanzania hao hao ni mafundi wabobevu kwenye kuilaumu CHADEMA.
Na watanzania wengi sana ni rahisi na wanaona ni salama kwao kushabikia propaganda za CCM dhidi ya CHADEMA kuliko kuunga mkono ukweli unaosemwa na CHADEMA dhidi ya CCM.
CCM inafanya dhuluma na hujuma lukuki dhidi ya watanzania, lakini watanzania hao hao badala ya kuiona CCM ndiyo chanzo cha matatizo yao wenyewe huishia kuilaumu CHADEMA kwa matendo mabaya wanayotendewa na CCM.
Watanzania waoga hawawezi kuitoa CCM madarakani. Na wale wenye ndoto ya kizazi kingine kije kupambana na CCM, niwaeleze tu kuwa huu uoga na uzembe wetu, tunawarithisha na watoto wetu.
Na kama unafikiri utawala wa chadema utakupa ajira na kumaliza mgao wa maji kalaga baho๐Wanafikiri chadema ndiyo chanzo cha shida zao za migao ya maji isiyoisha na ukosefu wa ajira
Kabisa ni watu waoga na wajinga sana!Sehemu kubwa ya watanzania ni waoga sana kwenye kupambana hadharani na CCM.
Lakini watanzania hao hao ni mafundi wabobevu kwenye kuilaumu CHADEMA.
Na watanzania wengi sana ni rahisi na wanaona ni salama kwao kushabikia propaganda za CCM dhidi ya CHADEMA kuliko kuunga mkono ukweli unaosemwa na CHADEMA dhidi ya CCM.
CCM inafanya dhuluma na hujuma lukuki dhidi ya watanzania, lakini watanzania hao hao badala ya kuiona CCM ndiyo chanzo cha matatizo yao wenyewe huishia kuilaumu CHADEMA kwa matendo mabaya wanayotendewa na CCM.
Watanzania waoga hawawezi kuitoa CCM madarakani. Na wale wenye ndoto ya kizazi kingine kije kupambana na CCM, niwaeleze tu kuwa huu uoga na uzembe wetu, tunawarithisha na watoto wetu.
Ila nawe jamaa una ubongo unatepeta mno bana!Utabisha ila hilo liko wazi,miaka nenda rudi mwenyekiti ni Mbowe baada ya ba mkwe wake.CCM unaweza observe hvyo leo,lakini miaka 5 iliyopita viongozi asilimi 70% walikuwa wakristo si ajabu miaka mitano ijayo pia ikabadilika.Utatumia nguvu nyingi hila kwenye hilo CHADEMA imefeli period.
Kwa ivo Kwa CCM hizo ni shida za kudumu?Na kama unafikiri utawala wa chadema utakupa ajira na kumaliza mgao wa maji kalaga baho๐
Nani amekuambia kuwa mimi ni CCM, au kila mtu anayepingana na machadema ni CCM?Kwa ivo Kwa CCM hizo ni shida za kudumu?
Kwa ivo Kwa CCM nakisi ya ajira inatakiwa iwe asilimia ngapi toka hizi asilimia 70 za sasa?
Unatambulika u- CCM wako tena ni ule wa ubobevu. CCM mnajulikana kirahisi Kwa jinsi mnavyotumia akili ZENU๐๐๐๐Nani amekuambia kuwa mimi ni CCM, au kila mtu anayepingana na machadema ni CCM?
Umekosea, tena sana๐Unatambulika u- CCM wako tena ni ule wa ubobevu. CCM mnajulikana kirahisi Kwa jinsi mnavyotumia akili ZENU๐๐๐๐