Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Unadhani huyo mwenyeki hataenda huko akhera?Kwa hapa duniani nipo tayari sasa kazi ipo kwako kwenda kuandamana kwa ajili ya mwenyekiti huko akhera
Nyumbu hovyo kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani huyo mwenyeki hataenda huko akhera?Kwa hapa duniani nipo tayari sasa kazi ipo kwako kwenda kuandamana kwa ajili ya mwenyekiti huko akhera
mafisadi ya sisiemu yalikua yanalipwa hela nyingi tu ila yalikua bado yanaibaPia mishahara inatofautiana Sana. Kulikuwa FM mtanzania alkuwa akilipwa 1.5 m akaajirwa mhindi akawa analipwa $3000 na tsh 400000 Kama allowance. Ukimlipa hiyo hela mtz ataiibia kweli hiyo kampuni?
Nadhani Wana wasiwasi na uwezo wetu vichwani
Chama Cha Kufisadimafisadi ya sisiemu yalikua yanalipwa hela nyingi tu ila yalikua bado yanaiba
Watanzania waaminifu ni wachache sana wengi ni waizi Ila hawajapata nafasikuna shirika flani linaitwa la msalaba mwekundu lilinaendeshwa na watanzania 100% lilipewa kazi ya kusimamia mambo ya afya kwenye kambi za wakimbizi likawa liko funded na mashirika ya nje UNHCR, UN, NK wao ikawa kila mwaka hesabu zao ni loss wakat mashirika mengine hayana loss, mpaka masponsor wakajitoa, shirika likaanza kua linawalipa mishahara wafanyakazi wake kwa kusua sua hadi inapita miez miwili kapa,
hapo ndo nilijua mtanzania haaminiki
Jiwe gizani aisee , naona kuna mtu hapa limempata anaanza kupiga mayoweMwizi ni babako na ukoo wenu wote
Umeonaeeeeee?Jiwe gizani aisee , naona kuna mtu hapa limempata anaanza kupiga mayowe
kwakweli huu ndio ukweli mchungu, asilimia kubwa sisi ni wezi na kila mmoja huiba kwa nafasi yake,
mimi nimefanya hata kazi kwenye mashirika ya kimataifa wenye vyeo vya juu kule ni watu wa kenya, uganda, zimbabwe na nchi zingine vyeo vya chini wamewapa watanzania wanaogopa kuwapa vyeo vya juu wataiba,
nimefanya kazi mashirika ya wakimbizi kambi za kigoma kwenye yale mashirika wanaogopa kuwapa vyeo watanzania wakiwatilia mashaka asiyeamini akaangalie mashirika yote yaliyopo kwenye kambi za wakimbizi watanzania wana nafasi gani,
Nimepata kuishi kwenye wilaya flani walikua wanajenga barabara kwa kiwango cha Rami, ndugu zangu watanzania walineemeka kwa wizi wa cement, nondo, mafuta na kokoto, wizi ulikua mkubwa sana watu walijenga mijengo kwaajili ya wizi mpaka mchina alinyoosha mikono, ulikua hata ukiitaji cement ya elfu tano unapata
maofisini kwetu ndio kabisaaa haina haja ya kuuliza, ilifika hadi hatua madereva wa halimashauri wanaenda kupiga nyoka mafuta ya serikali yananyonywa vichochoroni tubadilike tuache wizi,
hebu angalia hii video hapo chini hao Raia nao wana uhalali gani wa kuhoji serikali ilihali nao ni wezi?
Tubadilike jamani
View attachment 1918587
😀😀Ni kweli kabisa na hiyo inadhihirka pale wanapopandishiwa bei za vitu kama mafuta, mbolea, sukari, tozo mbalimbali kama za miamala, majengo, watanzania hutawaona wakilalamika kwa uwazi (maandamano) ili kuonesha mshikamano ya kuwa wanaumia. Kila mtu anatazama maisha yake, kama ana njia kama hizo za wizi, haoni maana ya kulalamika.