Hilo ni kweli mkuu, mpaka imefikia hatua ukivaa kitanashati watu wanahisi upo kikaziWatanzania wengi hawana utanashati. Wengi wao wanavaa nguo bila kunyoosha pasi. Nguo inatolewa kwenye kamba inavaliwa ivo ivo unakuta mtu anavaa nguo imejikunja mpaka unajiuliza huyu nyumbani kwake ata kioo hana hakujiangalia wakati anatoka? Nguo utfikiri imetoka kwenye tumbo la ng'ombe! Watanzania kueni wasafi nyoosheni nguo pasi mweh mnatia aibu. Afu tabia ya kujipulizia pafyumu zenu za mia mia muache mnatuumiza pua.
Usafi ni kufua, kupiga pasi mwembwe tu.Watanzania wengi hawana utanashati. Wengi wao wanavaa nguo bila kunyoosha pasi. Nguo inatolewa kwenye kamba inavaliwa ivo ivo unakuta mtu anavaa nguo imejikunja mpaka unajiuliza huyu nyumbani kwake ata kioo hana hakujiangalia wakati anatoka?
Nguo utfikiri imetoka kwenye tumbo la ng'ombe! Watanzania kueni wasafi nyoosheni nguo pasi mweh mnatia aibu.
Afu tabia ya kujipulizia pafyumu zenu za mia mia muache mnatuumiza pua.
Acha utoto.Watanzania wengi hawana utanashati. Wengi wao wanavaa nguo bila kunyoosha pasi. Nguo inatolewa kwenye kamba inavaliwa ivo ivo unakuta mtu anavaa nguo imejikunja mpaka unajiuliza huyu nyumbani kwake ata kioo hana hakujiangalia wakati anatoka?
Nguo utfikiri imetoka kwenye tumbo la ng'ombe! Watanzania kueni wasafi nyoosheni nguo pasi mweh mnatia aibu.
Afu tabia ya kujipulizia pafyumu zenu za mia mia muache mnatuumiza pua.
Waambie wapambanie katiba mpya na tume huruWatanzania wengi hawana utanashati. Wengi wao wanavaa nguo bila kunyoosha pasi. Nguo inatolewa kwenye kamba inavaliwa ivo ivo unakuta mtu anavaa nguo imejikunja mpaka unajiuliza huyu nyumbani kwake ata kioo hana hakujiangalia wakati anatoka?
Nguo utfikiri imetoka kwenye tumbo la ng'ombe! Watanzania kueni wasafi nyoosheni nguo pasi mweh mnatia aibu.
Afu tabia ya kujipulizia pafyumu zenu za mia mia muache mnatuumiza pua.
π€£π€£π€£π€£Hilo ni kweli mkuu, mpaka imefikia hatua ukivaa kitanashati watu wanahisi upo kikazi
Ila we jamaa!Halafu wanavuta bange,wanaona ujanja ,kurundika mavitu kichwani,Rasta,miwani kofia ,hereni,chains,nk..
Ukivaa kitanashati wanasema wewe shushushu, mpelelezi au askari kanzu ππ nchi ina watu wa hovyo hii hatari πHilo ni kweli mkuu, mpaka imefikia hatua ukivaa kitanashati watu wanahisi upo kikazi
Kuna kupendeza na kujipodoa. Kama mtoto wa kiume unajipodoa lazima uitwe chokoUkipendeza sana unaambiwa ch**ko
Jipe moyo tu utafikaUsafi ni kufua, kupiga pasi mwembwe tu.
Watu maskini ndio wenye muda wa hayo makorombwezo ya kunyoosha.
Tajiri hana hizo time
Gen Z wa Tanzania hawana uthubutu wa kufanya hayo uliyoandikaWaambie wapambanie katiba mpya na tume huru
Huo muda hatuna babu, tuwaze pesa au utanashati?Watanzania wengi hawana utanashati. Wengi wao wanavaa nguo bila kunyoosha pasi. Nguo inatolewa kwenye kamba inavaliwa ivo ivo unakuta mtu anavaa nguo imejikunja mpaka unajiuliza huyu nyumbani kwake ata kioo hana hakujiangalia wakati anatoka?
Nguo utfikiri imetoka kwenye tumbo la ng'ombe! Watanzania kueni wasafi nyoosheni nguo pasi mweh mnatia aibu.
Afu tabia ya kujipulizia pafyumu zenu za mia mia muache mnatuumiza pua.
Watu wamezoea urafurafu tu hata mwenye magari pia hawapigi pasiMazingira yanachangia, we unajua mtiti wa kugombea daladala au mbanano wa mwendo kasi?
AnayoUsafi ni kufua, kupiga pasi mwembwe tu.
Watu maskini ndio wenye muda wa hayo makorombwezo ya kunyoosha.
Tajiri hana hizo time
uongoWatu wamezoea urafurafu tu hata mwenye magari pia hawapigi pasi