Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Ndege wafananao huruka pamoja, upo kundi hilo hilo la maskini
Mleta thread ni mrembo haswaaaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndege wafananao huruka pamoja, upo kundi hilo hilo la maskini
Kwa utajiri gani? Umasikini umezidi mpaka kupiga pasi nako ni anasa!Usafi ni kufua, kupiga pasi mwembwe tu.
Watu maskini ndio wenye muda wa hayo makorombwezo ya kunyoosha.
Tajiri hana hizo time
Tahadhari!Watanzania wengi hawana utanashati. Wengi wao wanavaa nguo bila kunyoosha pasi. Nguo inatolewa kwenye kamba inavaliwa ivo ivo unakuta mtu anavaa nguo imejikunja mpaka unajiuliza huyu nyumbani kwake ata kioo hana hakujiangalia wakati anatoka?
Nguo utfikiri imetoka kwenye tumbo la ng'ombe! Watanzania kueni wasafi nyoosheni nguo pasi mweh mnatia aibu.
Afu tabia ya kujipulizia pafyumu zenu za mia mia muache mnatuumiza pua.
Jumlisha na Tattoos,au ndg yangu Huwa unawaelewa?Ila we jamaa!