Watanzania wengi sio watanashati

Usafi ni kufua, kupiga pasi mwembwe tu.

Watu maskini ndio wenye muda wa hayo makorombwezo ya kunyoosha.

Tajiri hana hizo time
Kwa utajiri gani? Umasikini umezidi mpaka kupiga pasi nako ni anasa!
 
Tatizo umechukua sample ya washamba wenzio huko simiyu unaconclude kwa nchi nzima.
 
Tahadhari!
Hii post imeandikwa na Mkenya🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…