Watanzania wengi tuna upungufu wa IQ

Watanzania wengi tuna upungufu wa IQ

kwa-muda

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2018
Posts
2,097
Reaction score
5,348
Ukitaka kujua akili ta watanzania wengi ilivyo na shida, subiri foleni.

Yani kuna foleni badala watu wakae kwenye line yao wanahamia kwenye line ya magari yanayoelekea uelekeo mwingine. Mwishowe foleni haiendi si kwa magari yanayokwenda wala kurudi.

Sijui watanzania tuna shida gani.

Kuna namna sisi ni binadamu wa kipekee
 
Ukitaka kujua akili ta watanzania wengi ilivyo na shida, subiri foleni.
Yani kuna foleni badala watu wakae kwenye line yao wanahamia kwenye line ya magari yanayoelekea uelekeo mwingine. Mwishowe foleni haiendi si kwa magari yanayokwenda wala kurudi.
Sijui watanzania tuna shida gani.
Kuna namna sisi ni binadamu wa kipekee
Huna akili bro, futa hii
 
Back
Top Bottom