Watanzania wengi tuna uraibu wa kukopa

Watanzania wengi tuna uraibu wa kukopa

Suala la kuchukua mikopo ni muhimu na ni Chachu ya Maendeleo ya mtu na biashara yake kiujumla.

Ila Kuna watu hawastaili kuingia kwenye hii mikopo ambayo inasababisha vilio vya Kila siku hasa Kwa kina mama, huku wengi wao wakibaki kutumika kimapenzi bila shurti hasa Kwa mikopo midogo.

Nimekuja kugundua kumbe Kukopa ni ulevi na inaleta uraibu kama ule wa pombe, Kuna jamaa mmoja tunafanya nae kazi ofisini yeye ni Mzee wa Kukopa, mtaani Kila mtu anamdai, ofisi imemkopa, staff wamemkopa, bank mbili zimemkopa, amemshauri na mkewe nae amekopa bank. Huyu jamaa asipokopa anaumwa, ila afadhali huyu ana kazi, Kuna wale wenye biashara ndogo, Kuna ndugu yangu alikufa sukari na presha zilipanda kwakuwa alishindwa kufanya marejesho na lodge zake mbili zikauzwa.

Sasa naona Kuna rafiki yangu wa karibu sana ameshaingia kwenye hii michezo ya Kukopa na ananogewa Sasa hivi anataka akaweke nyumba na hapo awalinalikopa Kwa Kiwanja nikamsaidia kidogo Kiwanja kiende na vimkopo vya sakosi, Sasa anataka kuweka nyumba aende bank kabisa ila naona anapotea, namshaurije.

Hata matajiri wanakopa, ila Kukopa kunakuhitaji uwe na akili mnooo.

Kama unaweza kudunduliza dunduliza usikope, Kukopa Kuna wenyewe wataalamu
Weye naye akili zako utadhani umezikalia.Sasa,nini kinachokushangaza masikini kukopa?
 
Suala la kuchukua mikopo ni muhimu na ni Chachu ya Maendeleo ya mtu na biashara yake kiujumla.

Ila Kuna watu hawastaili kuingia kwenye hii mikopo ambayo inasababisha vilio vya Kila siku hasa Kwa kina mama, huku wengi wao wakibaki kutumika kimapenzi bila shurti hasa Kwa mikopo midogo.

Nimekuja kugundua kumbe Kukopa ni ulevi na inaleta uraibu kama ule wa pombe, Kuna jamaa mmoja tunafanya nae kazi ofisini yeye ni Mzee wa Kukopa, mtaani Kila mtu anamdai, ofisi imemkopa, staff wamemkopa, bank mbili zimemkopa, amemshauri na mkewe nae amekopa bank. Huyu jamaa asipokopa anaumwa, ila afadhali huyu ana kazi, Kuna wale wenye biashara ndogo, Kuna ndugu yangu alikufa sukari na presha zilipanda kwakuwa alishindwa kufanya marejesho na lodge zake mbili zikauzwa.

Sasa naona Kuna rafiki yangu wa karibu sana ameshaingia kwenye hii michezo ya Kukopa na ananogewa Sasa hivi anataka akaweke nyumba na hapo awalinalikopa Kwa Kiwanja nikamsaidia kidogo Kiwanja kiende na vimkopo vya sakosi, Sasa anataka kuweka nyumba aende bank kabisa ila naona anapotea, namshaurije.

Hata matajiri wanakopa, ila Kukopa kunakuhitaji uwe na akili mnooo.

Kama unaweza kudunduliza dunduliza usikope, Kukopa Kuna wenyewe wataalamu
Bro Kuna ubaya kukopa ili usome,au ujenge nyumba au Kununua usafiri.
Shida Ni malengo unakopa ya Kazi gani ,Mimi naamini nyumba ni asset,kusoma Ni asset na ATA biashara ikiferi pia itakuwa umepata elimu Namna Bora ya kuendesha biashara,sema ukiwa hujachukua mkopo unakuwa na Akili nyingi sana na ukishakopa pesa IPO Akili zinaisha na unakuwa Kazi yako kutembea na ATMCARD Ni rahisi kupoteza malengo.
Kuna msemo kwamba pesa ya mkopo inaitaji kabla hujaenda kuitoa uwe umeshapanga rout kutokana na maitaji yako kabla ya mkopo.
Ukikopa Kununua tv itaungua,redio itaungua,sofa zitaliwa na Panya na kuisha,gari itaitaji mafuta,Ila nyumba itakuifadhi.
 
Suala la kuchukua mikopo ni muhimu na ni Chachu ya Maendeleo ya mtu na biashara yake kiujumla.

Ila Kuna watu hawastaili kuingia kwenye hii mikopo ambayo inasababisha vilio vya Kila siku hasa Kwa kina mama, huku wengi wao wakibaki kutumika kimapenzi bila shurti hasa Kwa mikopo midogo.

Nimekuja kugundua kumbe Kukopa ni ulevi na inaleta uraibu kama ule wa pombe, Kuna jamaa mmoja tunafanya nae kazi ofisini yeye ni Mzee wa Kukopa, mtaani Kila mtu anamdai, ofisi imemkopa, staff wamemkopa, bank mbili zimemkopa, amemshauri na mkewe nae amekopa bank. Huyu jamaa asipokopa anaumwa, ila afadhali huyu ana kazi, Kuna wale wenye biashara ndogo, Kuna ndugu yangu alikufa sukari na presha zilipanda kwakuwa alishindwa kufanya marejesho na lodge zake mbili zikauzwa.

Sasa naona Kuna rafiki yangu wa karibu sana ameshaingia kwenye hii michezo ya Kukopa na ananogewa Sasa hivi anataka akaweke nyumba na hapo awalinalikopa Kwa Kiwanja nikamsaidia kidogo Kiwanja kiende na vimkopo vya sakosi, Sasa anataka kuweka nyumba aende bank kabisa ila naona anapotea, namshaurije.

Hata matajiri wanakopa, ila Kukopa kunakuhitaji uwe na akili mnooo.

Kama unaweza kudunduliza dunduliza usikope, Kukopa Kuna wenyewe wataalamu
Hakuna ulichogundua Bali Kuna watafiti walisema hivyo mapema wiki hii na wakopajo wengi wanakopa kujikimu basic needs
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio kila kitu jini, though sikatai kuna roho za madeni lakini changamoto kubwa ya watanzania sio pesa. Ni elimu ya kumiliki pesa, a. k. a financial literacy hiyo ndio shida. Ndio maana poor people hufanya kazi ili walipe bills, middle class hufanya kazi ili walipe bills na kununua liabilities wakidhani ni assets ila rich guys wenyewe hufanya kazi kisha hununua assets ambazo zinaweza ku generate income halafu hizi income wanaziwekeza tena halafu wao wanaacha kufanya kazi na kubaki kwenye management huku hela zao zikiwafanyia kazi usiku na mchana tirelessly.
Kwa kiswahili Assets na liabilities msaada
 
Suala la kuchukua mikopo ni muhimu na ni Chachu ya Maendeleo ya mtu na biashara yake kiujumla.

Ila Kuna watu hawastaili kuingia kwenye hii mikopo ambayo inasababisha vilio vya Kila siku hasa Kwa kina mama, huku wengi wao wakibaki kutumika kimapenzi bila shurti hasa Kwa mikopo midogo.

Nimekuja kugundua kumbe Kukopa ni ulevi na inaleta uraibu kama ule wa pombe, Kuna jamaa mmoja tunafanya nae kazi ofisini yeye ni Mzee wa Kukopa, mtaani Kila mtu anamdai, ofisi imemkopa, staff wamemkopa, bank mbili zimemkopa, amemshauri na mkewe nae amekopa bank. Huyu jamaa asipokopa anaumwa, ila afadhali huyu ana kazi, Kuna wale wenye biashara ndogo, Kuna ndugu yangu alikufa sukari na presha zilipanda kwakuwa alishindwa kufanya marejesho na lodge zake mbili zikauzwa.

Sasa naona Kuna rafiki yangu wa karibu sana ameshaingia kwenye hii michezo ya Kukopa na ananogewa Sasa hivi anataka akaweke nyumba na hapo awalinalikopa Kwa Kiwanja nikamsaidia kidogo Kiwanja kiende na vimkopo vya sakosi, Sasa anataka kuweka nyumba aende bank kabisa ila naona anapotea, namshaurije.

Hata matajiri wanakopa, ila Kukopa kunakuhitaji uwe na akili mnooo.

Kama unaweza kudunduliza dunduliza usikope, Kukopa Kuna wenyewe wataalamu
Tanzania hakuna wakopaji bhana nchi za wenzetu huko mtu anafanya kazi kila kitu amekopa kabla nyumba gari vitu vya ndani.

Ni hatari.

Hapa bongo hatuna utaratibu mzuri wa watu kukopa ila kungekuwa na utaratibu wa kurleweka tungekopa sana.
 
Kukopa ni kawaida tu
Sema serikali yetu haiwajali wananchi kwa kuweka utaratibu mzuri wa kukopa
Wananchi wenyewe no defaulters wazuri ndo maana riba imewekwa kubwa kufidia
 
Kuna taasisi Fulani inakopesha inaitwa OYA microcredit....wanatembelea vi IST. Wanadai haooo. Yaani ukichelewesha rejesho, vinaongozana vigari hata sita kuja kukudai mtu mmoja
Nimeiona mara kibao Tegeta
 
Tatizo si kukopa,ila mfumo wa kibepari uliopo kwenye hiyo mikopo.Riba, retention fee,bima and processing charge. Huu mfumo umekua chanzo Cha kuendeleza umaskini kuliko kumkwamua mkopaji. Serikali inapaswa kuweka utaratibu sawia kwa Kila taasisi kuhusu mikopo. Mf.Benk zetu riba ni 16%-17%. Kwenye biashara halali yaani mtu asikwepe Kodi yeyote hawezi kurejesha na apate faida zaidi ya benk. Hivyo kama riba ingekua 3%-4%. Mikopo ingesha tajirisha watu wengi.
 
Back
Top Bottom