Watanzania wengi wafeli kununua wimbo wa diamond ft neyo - Elimu

me nili udownload itunes jana npo nauckiliza hapa na cwezi kuuweka humu maana hii ni biashara ya watu
 
Mkuu umeongea ukweli..mi ushanichosha aisee!!
 
Tatizo si kununua, tatizo ni nani wakununua..
 
MTU toka asubuhi hajapata msosi atakumbuka kudownload?
 
We jamaa wa wapi?
 
Nawasubiri muununue alafu mi nitaukuta kwenu na hatanikiukosa kwakua najua kabisa dimond ataimbaje....! Sina haja ati
 
Uko sahihi ...km ushabiki wetu tungekuwa tunashindana itune na mkito kudownload nyimbo za wasanii wetu tunaodai kuwakubali wangefika mbali sana
 
tuacheni unafiki darasa bado anatamba sana mana kilakona ni darasa tu
Kwani wimbo wa darasa ulifanyiwa promo?huyo neyo na mondi kama kigoma chao murua tutakisikia lakini kwa sasa wasinitoe darasani waniache tu niendelee kuelimika kiburudani+
 
Ni kweli hata mimi nimeshindwa kuununua na kuudownload, nimeishia kuusikiliza tu kupitia itune kwenye ipod yangu. N uleule ila ndo umeungwa fresh hauna kokoro.
 
itune siendi nakila kitu ila ntaupata tu, naijua sana nchi yangu nawatu wake huwaga hawashindwi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…